Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

POLE SANA MKUU OLA TAMBUA PALE KWENYE UGUMU NDIPO KUNA NEEMA NA PIA MAJARIBU NI MTAJI WA KUELEKEA KWENYE WOKOVU
 
Mkuu unaamini ukirudi huko kilingeni utapata shuruhisho la matatizo yako hapa Duniani na mbinguni? Kama unaamini.!
 
Ulienda kujifunza uchawi kabisa baada ya kuona ule wa kwenye mitandao haukupi matokeo unayohitaji, vipi lakini kilinge utakiweka wapi au utaamua kubaki tu mchawi usumbue majirani zako ?
 
Ulienda kujifunza uchawi kabisa baada ya kuona ule wa kwenye mitandao haukupi matokeo unayohitaji, vipi lakini kilinge utakiweka wapi au utaamua kubaki tu mchawi usumbue majirani zako ?
Nini kimekusibu mpaka umekuwa mwema kwangu?
 
Niliacha siasa za kugombea kwasababu ya watu wanaoitwa wachawi ni watu wabaya sana
Nimejifunza kuitunza imani yangu imenifaa kwa mambo mengi
 
Unaangalia utoke vipi tena baada ya kupoa muda mrefu. Jamaa yangu mmoja naye hutumia mbinu kama yako
 
Dawa ya wachawi pombe tu na kitimoto. Hawasogei nyumbani kwako. Kula mdudu nyumbani baadhi ya mifupa weka karibu na kwako umemaliza kazi
 
Uko tayari kutoa watoto 6 ili upatiwe ule wenyewe wa kutoka ziwa Tanganyika
 
@
Mshana Jr mlokole wa Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…