Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

Then izo nguvu za kichawi zitageukia upande wa FAIDA.

YOU ARE SO MUCH INFORMED.[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Kilinge uliuza, hela uliyouza ukala sasa hapo umefanya nini, hiyo hela ungeleta tujengee choo cha kanisa, tuyazike mapepo huko.

Hope huko ulikokuwa ndo asili ya mauchawi yako sasa yana njaa na yangekukunywa damu.

Vile uko kijana mdogo tena handsome hivyo, Mamndenyi stop
 

 
We mwongo sana huna lolote
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38]KWANINI
Kwanza unaijua dini na una ihubiri, pili una mkiri kristo kwa mijibu wa nyuzi na coment zako tatu ni muwazi sana kwenye mambo ya upande wa pili yaani kwa obilisi, unatoa siri nyingi kiasi cha kwamba wewe hauko upande wao.

Pia kuna mambo mengi kidogo nimechukua kutoka kwako kupitia nyuzi na coment zako, sasa kama wewe ni 'mzee wa busara' ina maana nimechukua ushauri wa giza kwa muktadha wa nuru!
 
[emoji1545][emoji1534][emoji1534][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mkuu mimi naomba unirithishe uchawi.

Niko serious.


"TUMERITHISHWA, TUWARITHISHE"

by Tanzania Safari Channel
 
Hapo uliposema.umegawa vifaa vya kazi ndo unanipa ukakasi kiongozi.. Yaan ni sawa uamue kuacha ujambaz then ugawe zana za ujambaz kwa jambazi mwingine aendeleze ujambazi

Si ungetupa na kuchoma.vyote mkuu .... Huwez kuacha uovu kwa kuhamisha kuupeleka kwa mwingine aendelee...
 
Mkuu mimi naomba unirithishe uchawi.

Niko serious.


"TUMERITHISHWA, TUWARITHISHE"

by Tanzania Safari Channel
Hahaha kuna masharti ya kufanya hivyo utayaweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…