Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation

Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,319
Reaction score
3,097
Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation.

Siwezi kuwataja (wanaona hii tweet)

Leo nitakupa sori na njia wanazotumia kupata hizo pesa

Wengine wapo chuo, dropout

GlNf4jeWsAAKkJ5.jpg

Nimewashuhudia wakiwa wanaanza from scratch, yani wakiwa hawajui hata kutumia socia media.

Lakini mpaka sasa hivi, content zao mnazisoma kila siku.

Nina uhakika namba zao unazo
(wapo zaidi ya kumi)

Leo nitakupa siri jinsi walivyofika hapo

Ndani ya miezi mitatu tu
GlNf6fbXgAAlgrd.jpg

1. Kitu cha kwanza walichagua niche
(nakumbuka niliwapatia kitabu cha dan koe kinaitwa make it profitable)
Njoo DM

Kiliwasaidia sana kuchagua niche zinazowapa pesa hawajafika hata miaka 20

Baadhi ya niche wanazotumia ni hizi👇

GlNf7qcWwAAVXGx.jpg

2. Niche za muhimu ni

👉 Cooking na recipes
👉 Health and fitness
👉 Technology / AI
👉 Travel / Tourism
👉 Educational content
👉 Relationship and sex
👉 Money / wealth
👉 Burudani / comedy

Kwenye kuchagua niche ndo kuna kufanikiwa au kupoteana
3. Hatua ya tatu

Ni kuchagua na ku optimize profile zao.

Tayari una niche yako,
Utachagua brand name yako,

Unaweka taarifa zako zote kwenye profile yako.

Contact, vitu utakavyokuwa unauza, call to action.

Hapa ni kujifanya mtaalamu wa kitu ulichochagua.

4. Baada ya hapo walianza kutengeza engaging content Non stop

24/7 mwaka mzima huku wakikusanya traffic whatsapp na kwenye offer zao.

Hapa kuna content za kufundisha, za kuuza, za kukusanya leads.

Content is the king.

Ukiweza kucheza na algorithm. Hiyo 15 M inakuja fasta
5. Kitu kingine walichofanya ni
Kukusanya Audience

Especially whatsapp

(HAKUNA WATU WANANUNUA KAMA WATU WENYE NAMBA ZAKO)

Wanakujua vizuri sana huwa wanasubiri uwatangazie offer.

Hawa vijana walikuwa wanasevu namba 20 kila siku kwa mwaka mzima

Guess what.... More sales
GlNf-P8XgAApQZA.jpg

6. Njia nyingine waliyoitumia

Kuwekeza kwenye matangazo ya kulipia.

Ukishaona bidhaa yako inapendwa sana na watu

Unaiwekea bajeti ya matangazo.

Hiyo mimeona kija anaweka
Laki moja kwenye tangazo linamletea sales za millioni within a week
7. Njia ya mwisho wanayoutumia ni
Kutengeneza products zao wenyewe

Haoa kuna kanuni moja
Inasema

More offers = More sales = More money

Wengi wanafeli kwenye kutengeneza products zao hasa physical products
Wanategemea kuuza za wengine.
Mwisho kuna tools za muhimu ambazo ni lazima kuzitumia.

Design tools ( Canva, Capcut, adobe)
Scheduling (later, Hootsuite, Buffer)

Pia automation tools kibao

Utazipata hapa wa.me/+255693880325
 
Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation.

Siwezi kuwataja (wanaona hii tweet)

Leo nitakupa sori na njia wanazotumia kupata hizo pesa

Wengine wapo chuo, dropout

View attachment 3266653
Nimewashuhudia wakiwa wanaanza from scratch, yani wakiwa hawajui hata kutumia socia media.

Lakini mpaka sasa hivi, content zao mnazisoma kila siku.

Nina uhakika namba zao unazo
(wapo zaidi ya kumi)

Leo nitakupa siri jinsi walivyofika hapo

Ndani ya miezi mitatu tu
View attachment 3266654
1. Kitu cha kwanza walichagua niche
(nakumbuka niliwapatia kitabu cha dan koe kinaitwa make it profitable)
Njoo DM

Kiliwasaidia sana kuchagua niche zinazowapa pesa hawajafika hata miaka 20

Baadhi ya niche wanazotumia ni hizi👇

View attachment 3266655
2. Niche za muhimu ni

👉 Cooking na recipes
👉 Health and fitness
👉 Technology / AI
👉 Travel / Tourism
👉 Educational content
👉 Relationship and sex
👉 Money / wealth
👉 Burudani / comedy

Kwenye kuchagua niche ndo kuna kufanikiwa au kupoteana
3. Hatua ya tatu

Ni kuchagua na ku optimize profile zao.

Tayari una niche yako,
Utachagua brand name yako,

Unaweka taarifa zako zote kwenye profile yako.

Contact, vitu utakavyokuwa unauza, call to action.

Hapa ni kujifanya mtaalamu wa kitu ulichochagua.

4. Baada ya hapo walianza kutengeza engaging content Non stop

24/7 mwaka mzima huku wakikusanya traffic whatsapp na kwenye offer zao.

Hapa kuna content za kufundisha, za kuuza, za kukusanya leads.

Content is the king.

Ukiweza kucheza na algorithm. Hiyo 15 M inakuja fasta
5. Kitu kingine walichofanya ni
Kukusanya Audience

Especially whatsapp

(HAKUNA WATU WANANUNUA KAMA WATU WENYE NAMBA ZAKO)

Wanakujua vizuri sana huwa wanasubiri uwatangazie offer.

Hawa vijana walikuwa wanasevu namba 20 kila siku kwa mwaka mzima

Guess what.... More sales
View attachment 3266658
6. Njia nyingine waliyoitumia

Kuwekeza kwenye matangazo ya kulipia.

Ukishaona bidhaa yako inapendwa sana na watu

Unaiwekea bajeti ya matangazo.

Hiyo mimeona kija anaweka
Laki moja kwenye tangazo linamletea sales za millioni within a week
7. Njia ya mwisho wanayoutumia ni
Kutengeneza products zao wenyewe

Haoa kuna kanuni moja
Inasema

More offers = More sales = More money

Wengi wanafeli kwenye kutengeneza products zao hasa physical products
Wanategemea kuuza za wengine.
Mwisho kuna tools za muhimu ambazo ni lazima kuzitumia.

Design tools ( Canva, Capcut, adobe)
Scheduling (later, Hootsuite, Buffer)

Pia automation tools kibao

Utazipata hapa wa.me/+255693880325
Lipia TANGAZO
 
Tafuteni kazi za kufanya...
Ukicheki umri unakwenda itafikia kipindi utaitwa baba broo kaza
 
Kuna watu wametegeshewa punje za mtama kwenye tundu la mtego, sasa hivi atalizwa mtu hapa.
 
Kumbe ni tangazo.
Mananilii yako .
Tengeneza wewe mabilioni.
Hii ni sawa na wale wauza mikeka ya betting. Wanakuambia kwa elfu 5 unakula million 5. Mimi nawaambia weka laki Tano ili upate upate million mia Tano ya chap au weka million tano ulizopiga kwenye betting ule bilioni 5 chap
 
So why usizidi kutengeneza hela mkuu so unawapenda mno watu kuwa wawe na hela Ila kwanza inabidi wakupe hela ili uwaelekeze sijui uwauzie kitabu wakajifunze namna ya kumeki mane na ilhali na wewe mwenyewe mawazo hayo umeshindwa kuyatumia kumeki hizo hela so ni nini kinachokuambia kuwa huyo yeye atafanikiwa kwa maneno yako ama kwa akili zako. Kama umefanikiwa na unawapenda watu why usiende yatima kituo ukasaidia hao watt wasio na wazazi ama usomeshe hata vijana kumi tu, acha ujanja ujanja wa kuonyesha sms za hela ambazo watu Wanameki ili watu waingie tamaa wake kwako wanunue kitabu sijui uuze kitabu, anayetaka kujua mbona anajua hizo Mambo ziko free mtandaoni mkuu.
Tafuta kazi nyingine ufanye upate hela
 
Back
Top Bottom