Confession

Duuh so unataka kusema zile response zako ulikua humaanishi?. Stop acting like hujui wewe tyr ulisha mpa greenflags kingine hapo kazini ni mademu wote maana asinge fanya huo ujinga!
 
Angekusaga ndio bye byee, ungekuwa unaendelea kusagwa kukobolewa kama mahindi
 
Sasa Mungu akusaidie kwa lipi hapo,

Binadamu mmekosa vya kumwomba Mungu
 
Mreport HR office haraka, analeta mambo ya kiresbiani offisini. Ukichelewa atakuingizia tango pori, uwe wale wanaitwa "mabwawa" na upoteee kabisa huko
 
 
Mkuu si ungeandika lugha moja wapo kati ya kiswahili au hicho Kikorinto?
Maana hapa umetupa kazi ya kuchagua sentesi za kusoma zingine tunaziruka hatuelewi umeandika lugha ipi!
Kiswahili na English ni lugha rasmi za Tanzania ndiyo maana zinafundishwa mashuleni na zote zinatumika maofisini/serikalini.

Pili, miaka hii ya sasa kukomaa na lugha moja pekee ni ufala wa hali ya juu sana. Jitahidi ujue angalau mbili au tatu
 
Utoto Raha Sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…