CONFIDENTIAL: Barua Pepe zaonesha Maafisa 62 wa Serikali ya Tanzania akiwemo IGP walihongwa Fedha na ACACIA (2008/2015)

Mbona JPM alimsafisha, alimpigia kampeni na kumpa ubunge!! Hii nchi ngumu sana
Huwezi kufahamu mazingira yalomfanya JPM amteue Mwanyika (ambae alikuwa akirekodiwa simu zake na watu wa JPM) maana suala la Acacia lilikuwa ni zito kupita maelezo.

Halikadhalika Acacia walikuwa na hasira ya kupoteza mabilioni ya fedha za kitanzania kwa watu ambao wao (Acacia) walikuwa wakifahamu hawastahiki fedha hizo.

Na hapohapo Acacia walikuwa wakidaiwa kodi ya malimbikizo kutokea miaka ya nyuma.

JPM alikuwa "under severe pressure" kuwa aendelee kubana vyuma au asikilize ushauri nasaha.
 
Hakuna raisi yoyote yule ataefanikiwa kupiga vita ufisadi Tanzania bila kupoteza uhai wake.

Tumeona wenyewe hayati JPM kajaribu lakini tumempoteza, huo ndo ukweli.

Ni lazima raisi huyo atakaepiga vita ufisadi achukue hatua walizochukua maraisi Vladimir Putin na Xi Jingpin hadi sasa nchi zao zimenyooka.

Au ikiwezekana kwenda njia za Korea Kaskazini au Iran.

Mtu anaefanya ufisadi akigundulika ni kifungo cha maisha jela.

Akiwa tishio basi ipo dawa ingine.
 
Hatua za nini sasa, wao wenyewe wakubaline kulipia ulinzi halafu waseme rushwa?

Hao wanatufanya waafrika wajinga sana, wao wameshtakiwa wajibu mashtaka yao, siyo kuhamisha magoli.
Ulinzi analipwa IGP as an individual au zilitakiwa zilipwe kwenye account ya jeshi la polisi? Hivi kuna uhusiano gani kati ya kuwa mfuasi wa Mwamvua na kutokuwa na akili?
 
Nasikia huko batiki kila member wa task force ya akina mruma alikuwa akilipwa billion 3 na Bado serikali inawalipa mshahara tena.

Niliwaambia jpm hakuwa mzalendo hata kidogo alikuwa fisadi mjanja mjanja tu. Huwezi kufight ufisadi gizani I..e vyombo vya habari umezima, mikutano ya siasa umekataza. Sasa unapambaba na ufisadi au unaiba kimyakimya!!!
 
Umetoka huko na ulimbukeni wako wa kifisadi, hujui kusoma hata emails unakuja kuropoka hapa. Haya kasome tar za zile mails zote ni kabla JPM hajawa Rais, zote ni Sept 2015 na kabla ya hapo.
Pia ni taskforce ya usalama, IGP wa Msoga na watu wake ndio walikuwa wanasomba hizo pesa.
 
Billion 3 kalipwa nani
 
Tupe ushahidi wa uyaandikayo, bila ushahidi hii itabaki kuwa ni uzushi na kupakaziana kijinga tu.
 
eti unasikiaa wewe vp huna shulee
 
Huyu naye kakurupukia chooni. Taarifa zinasema hizo email zilitumwa kati ya 2008 mpaka 2015 wewe unakuja hapa na magufuli ili na wewe uonekane umenzisha uzi.
Kabla ya kukurupuka jiridhishe na taarifa yako kima wewe
 
.........moja ya changamoto tuliyonayo ni kutaka kuwa wa kwanza kupost kila jambo kama vile Max anatulipa, job true true.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…