CONFIDENTIAL: Barua Pepe zaonesha Maafisa 62 wa Serikali ya Tanzania akiwemo IGP walihongwa Fedha na ACACIA (2008/2015)

CONFIDENTIAL: Barua Pepe zaonesha Maafisa 62 wa Serikali ya Tanzania akiwemo IGP walihongwa Fedha na ACACIA (2008/2015)

Ukiwaona walivyovaa suti na tai na kujiita niwazalendo utafikiria ni wa maana. Hizi aibu tutaziona nyingi sana sababu ya kupenda kwetu rushwa kulikopitiliza
Nay wa Mitego aliimba kuwa "viongozi wetu ni panya road walio vaa suti ".
Hebu jenga picha mtaani unakutana na kikundi cha vijana wako smart ndani ya suti si utaibiwa hadi boksa maana hutakuwa na tahadhari ukidhani ni wema
 
Kwani IGP siyo jeshi la polisi?
Kwa hiyo Kila Co nchi hii akitoa ulinzi anapata maokoto! Basi raha sana. Kuna kazi za utajiri! Hapa mabenki yamekuwekea hela huku acacia, kule wasafirishaji , hapa watu Gani sijui....sio kuna makando kando anayapitisha? Ukipikea 21m Kwa makampuni au individuals hiyo account ya IGP itakua nono kweli.

Anyway ilikua ya ulinzi
 
Kwa hiyo Kila Co nchi hii akitoa ulinzi anapata maokoto! Basi raha sana. Kuna kazi za utajiri! Hapa mabenki yamekuwekea hela huku acacia, kule wasafirishaji , hapa watu Gani sijui....sio kuna makando kando anayapitisha? Ukipikea 21m Kwa makampuni au individuals hiyo account ya IGP itakua nono kweli.

Anyway ilikua ya ulinzi
Hayo ni mawazo yako wewe na sina sabau ya kukupinga, isipokuwa elewa haya:


Ukienda kupaki gari nje ya polisi unaweza kuulizwa pesa za ulinzi na unalipa cash na siyo kosa la jinai kwa Tanzania.
 
Hayo ni mawazo yako wewe na sina sabau ya kukupinga, isipokuwa elewa haya:


Ukienda kupaki gari nje ya polisi unaweza kuulizwa pesa za ulinzi na unalipa cash na siyo kosa la jinai kwa Tanzania.
Pesa inatakiwa iingie kwenye account ya jeshi then from hapo ifanyiwe matumizi hii ya kumlipa IGP direct hata kama ni halali Kwa sisi matomaso inaleta maswali....
 
Pesa inatakiwa iingie kwenye account ya jeshi then from hapo ifanyiwe matumizi hii ya kumlipa IGP direct hata kama ni halali Kwa sisi matomaso inaleta maswali....
Sijaona makubaliano yao na kwanini kampuni kubwa iwe inalipa na malipo yanajadiliwa kwenye mikutano ya pamoja na IGP na wao wenyewe.

Sijawahi kuona wala kusikia rushwa ya sampuli hiyo.
 
Ndio maana walimuua yule bwana "dhalimu " aliyezuia michongo yao ili kupisha kazi iendelee. Hakika angebaini hili angewameza kwa meno yake
 
Tarnishing of other people's image is a bad habit......

No one is guilty until it's proven otherwise.....
Sasa kama CCM walishawaondolea Kinga ya kuwashitaki wakifa au wakiwa hai nani ataweza kuprove?
Maana mahakama ndio chombo pekee nchi chenye manlaka ya kumtia mtu hatia.
Jiwe fisadi. I know him more than you know. Mimi namjua sana. Nina mpaka namba za simu za watu wa familia yake
 
Sasa kama CCM walishawaondolea Kinga ya kuwashitaki wakifa au wakiwa hai nani ataweza kuprove?
Maana mahakama ndio chombo pekee nchi chenye manlaka ya kumtia mtu hatia.
Jiwe fisadi. I know him more than you know. Mimi namjua sana. Nina mpaka namba za simu za watu wa familia yake
Acha utoto....

Si ujinga katiba kuweka kipengele cha KINGA dhidi yao....

Una uhakika mimi simjui na familia yake ?!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Muulize Furaha Dominick atakueleza [emoji1787][emoji1787]
 
Huwezi kufahamu mazingira yalomfanya JPM amteue Mwanyika (ambae alikuwa akirekodiwa simu zake na watu wa JPM) maana suala la Acacia lilikuwa ni zito kupita maelezo
It doesn't matter we all know JPM hakuwahi succumb to pressure kwenye lolote. Sasa kwa issue ya Mwanyika alifikishwa mahakamani na akakiri kosa la uhujumu uchumi na kulipa almost 2 Billion means kwenye file lake ni FISADI ALIYEKIRI MAKOSA.

Sasa mtu kama huyo alipata vipi uhalali wa kugombea ubunge let alone kusafishwa na JPM ambaye tulimuita mzalendo? Kumbuka akitoka mapovu na kumuita Lissu msaliti kisa kuwasiliana na Mwanyika kwa simu Cha ajabu yeye akamteua kugombea na akampigia kampeni!!

Hizi double standards haziwezi lisaidia taifa letu. Na sio kwake tu kwenye ripoti ya Makinikia walitajwa watumishi wengi tu almost 17 na wote ni CCM kuanzia kina Chenge mpaka Yona ila sikuona serikali ikichukua hatua yoyote badala yake ikaanza kudeal na Lissu ambaye hahusiki na mikataba.
 
Acha utoto....

Si ujinga katiba kuweka kipengele cha KINGA dhidi yao....

Una uhakika mimi simjui na familia yake ?!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Muulize Furaha Dominick atakueleza [emoji1787][emoji1787]
Magu kwanza ana roho mbaya sana. Waliokuwa karibu na magufuli hawakuinuka kiuchumi kama wale waliokuwa na Kikwete. Mmoja alikuwa analia ada ya mwanae huku anafanya kazi kwa mkuu. Nilimuonea huruma sana. Alitamani kuhama ahamie ofisi nyingine lakini alipomwambia Jiwe alimkaripia akaufyata.
 
raisi yoyote yule ataefanikiwa kupiga vita ufisadi Tanzania bila kupoteza uhai wake.
Hii si kweli hakuna ufisadi JPM alipambana nao nachojua alideal na wapinzani wake tu kisiasa. Mfano kina Bulembo walikuwepo kwenye list ya mafisadi wa Mali za CCM so was Rostam ila sikuona walichukuliwa hatua sasa ni vita Gani hiyo ambayo ipo mdomoni tu sio kwenye vitendo.
Tumeona wenyewe hayati JPM kajaribu lakini tumempoteza, huo ndo ukweli.
Hapana huyu alikua na maadui wengi sababu ya nature ya uongozi wake wa kiherere here na ujuaji mwingi na sio kupambana na ufisadi. Kwani huwezi kupambana na ufisadi mpaka utukane watu hadharani?
Mtu anaefanya ufisadi akigundulika ni kifungo cha maisha jela.
Unfortunately kwenye nchi za demokrasia Hili hakiwezekani maana Ili uwe Rais lazima uwe na kundi la wafuasi hivyo ukisema uchukue hatua uwe tayari kugombana na chama kizima
 
Back
Top Bottom