Right here! I will never under any circumstance work there....never.
lete ushahidi ni wapi JM alisema maneno hayo na alimwambia nani
and ??????? ...Jamani hii nimeinyofoa kwa mchangiaji mmoja kule bidiiforum
"Nadhani, mtu kama Mzee Shelukindo akiwa na miaka 71 kwenda kugombea na
kijana mdogo kama Januari Makamba sio afya kwa Taifa. Januari agombee Ubunge na vijana wenzake au watu wazima kidogo na Mzee Shelukindo apumzike".
Angalia sasa unajivua nguo mchana kweupe. Ni aibu kwa kweli una michango mingi tu mizuri lakini unapojibadilisha kama kinyonga hapo ndio unapopotea step. Tuliza boli unahitaji kujipumnzisha na kufikiri hakuna kinders hapa.
Tupingane kwa hoja na sio kama vinyonga au nani kapayuka zaidi.
.
Mkuu Malafyale,
Sio kwa niko upande wa kumtetea Januari, bali kukumegea kipande kidogo tuu cha professionalism ya kazi ya mshauri, advisor. Mshauri anatoa ushauri kwa mhusika under fidushiary relationship kama ilivyo kwa daktari na mgonjwa, baba na mwana, mwalimu na mwanafunzi, wakili na mteja etc. Kipimo cha uzuri ama efectiveness ni kwenye end results kwa aliyehudumiwa. Hivyo Jan kama mshauri wa Kikwete, hawajibiki kukueleza mimi wewe na sisi amemshauri nini JK, wala si mimi wewe au sisi tunaoweza kuupima ushauri wake zaidi ya JK mwenyewe. Hivyo please don't waste time kuuliza ameshauri nini au kafanya nini, its on the shoulders za mshauriwa.
Ukienda kwa daktari ukasema unaumwa, unachoumwa ni siri yako na daktari wako, atakuambia unachoumwa na atakutibia, ukipona wewe ndio utajua wasifu wa daktari huyo na utamrecomend kwa wengine, usipopona, utatafuta daktari mwingine kuendelea kuhangaika.
Vivyo hivyo kwa wakili, mtenda ana uhuru hadi kumweleza wakili kuwa ni kweli aliuwa na jinsi alivyouwa, na bado wakili akamshauri a plead not guilty na kumtetea. Hawajibiki kusema ukweli wowote, ni siri na kuaminiana.
Bahati nzuri kijana simfahamu zaidi ya kumsoma, kama ilivyo kwa Nape, the guy seems smart. Huhitaji kujua Zitto amewafanyia nini Kigoma kujua he is briliant, hivi kabla hajaingia bungeni, alifanya nini kustahili kuchaguliwa.c
Hoja ya msingi ni kila mtu ahukumiwe on his own merit na sio kwa sababu ya jina la baba yake japo jina kisiasa ni mtaji sometimes jina hilo hilo linaweza lisiwe mtaji, bali liability.
Nape, Ridhwan, January etc wanasimama wenyewe kwa merits zao wenyewe regadless ni watoto wa nani, naomba tuwahukumu wao kama wao na sio kwa majina ya baba zao .
Let us try and be honest here, are you really sure of this considering the way our political system operates ? Kwamba mtoto wa mkulima anayo nafasi sawa na mtoto wa Raisi na Mwenyekiti wa CCM au mtoto wa Katibu Mkuu wa CCM ? Let's not kid ourselves, kwa mambo yanavyoendeshwa Tanzania hili ni kama vile kudai vyama vya upinzani vina safasi sawa na CCM. Kwa mfumo wetu wa utawala huku ni kudanganyana na kuamini hivyo ni kama sawa na kuiga tabia ya mbuni - by burying our heads in the sand.
- Glad kwamba finally umekubali kwamba kupingana kwa hoja ndio muhimu, maana unajua perosnal utachafuka maana ulishachafuka sana kwenye really life licha ya hapa, sasa I am back bring it on anyway, perosnal au hoja you know better,
- Nilikuwa nimetoka kidogo, sasa nipo bring it on! kama ulivyosema mwenyewe hakuna mtoto hapa wote watuwazima, I love it! ila nenda kule kwenye mjadala wa Ngeleja utakuta majibu yako very clear na niGnaweza kurudia na kuongeza tena, hutishi mtu hapa tisha wajinga hao hao huko kwenu!
es!
Mkuu FMES,
Sometimes your arrogance startles! Hakuna mahali niliposoma uliposolewa ama hoja yako kupingwa na kukubali! There are people who know better/more than you can imagine. Anyway peace! Pamoja na ubishi wako naiheshimu michango yako!
Quote:
halafu wewe FME's utapoteza heshima bure kwa arguement zisizo na maana usifikiri watu wajinga humu ndani.
It is clear kwenye hii issue kuwa Waziri hajatumia busara
sasa wewe unajifanya mtetezi.
hata kama mlinzi alikosea Ngeleja could have done better than this .
Sasa wewe unajulikana kwa hoja zako nzuri angalia usijejifunjia heshima kwa kutetea ujinga.
Si Unamkumbuka Zitto jinsi chata ilivyoshuka.
Inawezekana Ngeleja ni mshikaji wako .. basi walau kaa kimya kuliko kusafisha mtu kwa "maji taka"
Kile kitendo tu cha kuongea na simu kwenye ATM na huku watu wanasubiri hata kama alipigiwa na Kikwete ni ujinga.
Halafu zile ATM zina kamera kwa hiyo ushahidi utakuwepo.
Umeboa sana
Khe khe khe nicheke mie. Sasa unaongelea my personal real life? Mjadala wa Ngeleja unanihusu nini mimi? Je, nimesema chochote huko? Sasa huku kwetu ni wapi kuliko na wajinga?
Sikiliza haya ndiyo mambo ya kutishana nyau ambayo yanajidhihirisha jinsi unavyojivua nguo tena kwa hiari yako mwenyewe. Mimi bado nasimama kwa dhati kwa kile nilichokiandika hapa kwenye hii forum. Kila nilichoandika ni kweli tupu. Jazba unazoonyesha ni kuashiria jinsi gani ambavyo hujakomaa kihoja - inatia aibu. Ukiangalia post yako ya #98 ulisema mimi nimemtukana January Makamba nikakuuliza unaweza kunionyesha hapo? No hukuweza kujibu hilo, Now unataka personal life na wajinga wa huku. Haya nyie werevu vipi?
Ku circumvent issues zinzogusa character na integrity ya January directly, na kuzifunika kwa ku address issues weak za familia yake hakuondoi ukweli kwamba January aliwakejeli wananchi wa Tanzania kama "A million flies who eat shit, they can't be wrong".
Anaweza kuya own maneno haya kabla hajawaletea wananchi longolongo nyingine? Maana isije kuwa anakenua meno katika kutafuta kura huku moyoni akifikiri kwamba "you all are shit eating flies".
Msitake kumtetea mtu majununi kama huyu.
Babu, gaffe kama hizo zinagharimu kwenye jamii zilizo na sophisticated. Bongo hata unaweza ukawatukana watu bila hata ya wao kujua na bado wakakuchagua vilevile.
For real?
Mbona kuna mzee mmoja alisema "You all can go to hell" halafu hao hao unsophisticated peeps wakamtoisa?
Tusi wa underestimate watu, inabidi tuwaeleze huyu January ni nani.Mimi tatizo ninaloliona ni kwamba watu hawana access na JF, na hatuna press ya ku pick up on a line like this. Lakini kama anabanwa kujieleza kuhusu hili mbele ya wananchi watu watamuona mtu wa ajabu kutaka kura za hawa nzi wala mavi.
- Nonsense na irrelevant to the ishu at hand, Januari ana haki zote za kugombea ubunge, wewe huna kwa sababu sio raia wa Tanzania kama sisi, sasa tuachie taifa letu bro, unaweza kushauri tu lakini huwezi kutuamulia anything, sisi wenye taifa letu ndio tutaamua nani anafaa na nani hafai, the rest of your rants ni kawaida yako miaka 62 sasa lakini akili za mtoto wa miaka 10 na kulala humu JF, na mi-ID 1000, aibuu sana kwa umri wako na elimu uliyonayo, inatia kinyaa sana!
- Wewe umekomaa kihoja sasa why waste your time na wasiokomaa kihoja, unaona unajivua nguo mwenyewe na uwezo mdogo wa kufikiri, kila kukicha kunifuata fuata na huku sijakomaa kihoja Bwa1 ha! ha! ha! ha!
- Pole sana mkuu ila hatishiki mtu hapa na mi-ID yako, unaweza kubadili as much as you want, ila utaendelea kudanganya wengine sio mimi, hii mada umeileta kwa sababu ya tabia zako za kawaida za chuki na wivu, huna lolote mkuu siku zote umejaa chuki na wivu!
es!
- Wanacnhi wa Tanzania hasa huko Tanga, mbona walishampa ubunge mtu ambaye alikuwa mwizi anatafutwa US, kwa kukimbia na karibu dola elfu sabini za credit cards, labda wabongo ndivyo tulivyo na huyu mtu akaishia kupewa rushwa na Mwapachu, ili ampishe kiti cha ubunge tena kwa maneno yake mwenyewe yule mtu akiniambia mbele ya mtoto wake anyejifanya kichwa mbele sana hapa sasa, Bwa! ha! ha!
- Kweli ndivyo tulivyo, alijisemea Mkulu Nyani! sasa tuko kuangalia maboriti ya wengine, ya kwetu hatusemi na inachekesha saan kwamba haya yote ni huko huko Tanga. Bwa! ha! ha!
Respect.
FMEs!
baba yake ana ushawishi ktk serikali.
Lakini kama ni kauli na umaarufu tuu, bila vitendo, basi zaidi ya asilimia 75 (75%) ya Wabunge, Wanasiasa na Viongozi wa Tanzania hawastahili kuwa katika nafasi walizonazo na dhamana walizopewa inapaswa wanyang'anywe!
Ushawishi katika Serikali una maana gani? Je ushawishi wa karibu, ndani au katika Serkkali umesadia vipi kuleta maendeleo katika jimbo na wananchi wake?
Ni kwa nini Watanzania wanaendelea kupumbazwa kuwa eti mtu akiwa karibu na viongozi wa Taifa au akichaguliwa kuongoza jimbo, ni muhimu aingie katika madaraka ya Kiserikali au kichama kama wasifu fulani wenye mvuto, ilhali utendaji kazi na hata uhamasishaji wa kuleta maendeleo kwa wanajimbo haupo?
Kuna manufaa gani kujivuna kuwa fulani ni Waziri, Msaidizi wa Rais, Mwenyekiti wa Chama au Binti wa Muasisi wa Taifa ikiwa baada ya kupewa dhamana, wanabakia kuwa ni wanaojitumukia na si majimbo yao?
NI Wabunge wangapi ambao ni mashuhuri wa jina kutokana na vyeo au mahusiano fulani ambao wameleta mafanikio ya kweli katika majimbo yao?
Hii dhana ya kusema mtu ana ukaribu na fulani au ni rafikiwa fulani ni ya kijinga sana. Mtu apimwe kwa matendo na kauli zake, kama anafaa apewe sifa, kama ameonyesha matunda ya kazi aongezewe muda.
Lakini kama ni kauli na umaarufu tuu, bila vitendo, basi zaidi ya asilimia 75 (75%) ya Wabunge, Wanasiasa na Viongozi wa Tanzania hawastahili kuwa katika nafasi walizonazo na dhamana walizopewa inapaswa wanyang'anywe!