Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
ama kweli wapambe nuksi; haki ya mungu looh salaleee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaomtetea Januari, je jamaa ni mshauri au la.Mkuu Malafyale,
Sio kwa niko upande wa kumtetea Januari, bali kukumegea kipande kidogo tuu cha professionalism ya kazi ya mshauri, advisor. Mshauri anatoa ushauri kwa mhusika under fidushiary relationship kama ilivyo kwa daktari na mgonjwa, baba na mwana, mwalimu na mwanafunzi, wakili na mteja etc. Kipimo cha uzuri ama efectiveness ni kwenye end results kwa aliyehudumiwa. Hivyo Jan kama mshauri wa Kikwete, hawajibiki kukueleza mimi wewe na sisi amemshauri nini JK, wala si mimi wewe au sisi tunaoweza kuupima ushauri wake zaidi ya JK mwenyewe. Hivyo please don't waste time kuuliza ameshauri nini au kafanya nini, its on the shoulders za mshauriwa.
- Kuna wasaidizi na washauri, sasa ni vyema kwenye ishu kama hii a Great Thinker ukawa makini katika kuchanganua nani ni nani among wasaidizi wa Rais, maana politically wasaidizi wa Rais ina-cover eneo kubwa sana, mpaka mawaziri wote ni wasaidizi wa Rais,
- Kama Rais ameharibu uchumi anaye mshauri wa uchumi, mshauri wa nje, mshauri wa utawala Januari ni personal asisstant, sio anything else!
Respect.
FMEs!
FMEs na Libaba sasa mnatoka nje ya mada,kumbukeni mada husika ni kuhusu January Makamba na uamuzi wake wa kugombea jimbo la Bumbuli,lkn nyie sasa mmeigeuza mada na kuanza "person attacks"
My summarization;nakubaliana kabisa na Game Theory na FMEs kwenye kipengele ndani ya katiba kinachosema kuwa"kugombea Ubunge kwa kila mtz mwenye umri wa miaka 18 ni haki yake ya msingi na ya kikatiba",na kwa vile January katimiza kigezo hicho hamna wa kumzuia!
- Mkuu historia ya taifa on uongozi hasa ubunge iko wazi sana, sasa labda ungeweka wazi wabunge unaoamini wameweza kazi hiyo kutokana na experience waliyokuwa nayo kabla ya kushika ubunge, na yote waliyoyafanya mazuri kwa wananchi wao na taifa, then ndio utakuwa na ubavu wa kuuliza experience za Januari,Lkn napingana na nyie akina FMEs kwenye ubora wa January akija kuwa mbunge wa Jamhuri ya TZ,kwa vile hajafanya lolote la maana kwenye nafasi yake kama camp-de-aide wa Rais JK,je atafanya nini jipya akija kuwa Mbunge?huo ndiyo wasi wasi wangu!
Anyways tuwaachie wana Bumbuli wenyewe waamue nani anafaa kuwa Mbunge wao!Ila kwangu January ni another CCM's failure candidate maana kwa miaka 5 sasa akiwa pale kama msaidizi wa Rais sijaona hicho alichomsadia!
Ingawaje sikubaliani na mambo mengi anayofanya JK na Ikulu yake, lakini kwenye hili nampa props January kama atagombea ubunge kwa njia hii, sababu ni very easy kusubiri ubunge wa kuteuliwa na rais kama ni kweli rais anataka kumpa uwaziri.
Unampa props pia kwa kwenda kugawa vyerehani ili kujijengea political capital? Una endorse hizo njia za kifisadi za kujikusanyia 'mtaji wa kisiasa'?
Vyerehani vinamsaidia nani jamani?? Kutwa tuko hapa tunapiga kelele umaskini ulioko uko vijijini, sasa unataka mtu apeleke vyerehani kijijini mimi nimseme vibaya?? Hapana mkuu, mimi ni mzaliwa wa Kilimanjaro, na tunahamasisha sana watu kupeleka misaada huko kijijini.
Kama wanakijiji wakiona mtoa vyerehani ndio mkombozi wao, siwezi kuwapinga wanachokitaka.
Mbunge aliyepo posho anazopata na yeye si akatoe mashine za kusaga nafaka, power tillers n.k. ndio kumkomboa mwananchi hivyo.
Kamam January angekuwa anakwenda kupambana na mtoto wa maskini huko kijijini ningeweza kubadili mawazo yangu kwenye hili la kutoa misaada, lakini anapambana na mwenyekiti wa kamati moja ya bunge na mbunge wa muda mrefu, kwa hiyo hapa mimi sioni tabu maana kwa kawaida kama mbunge wa jimbo umefanya uliyotakiwa kufanya kwa kuwa mbunge zaidi ya miaka 10, HUNA LA KUOGOPA na kuondolewa ni kazi sana.
Halafu kwa upande wa CCM, nashangaa sana wabunge wanaolalamika kuwa kuna watu wanatembeza pesa kuwangoa. CCM imebadili taratibu za kupata wagombeaji huko majimboni, na kura za maoni safari hii zitapigwa na wananchi wa jimbo zima. Sasa kweli mtu anaweza kuonga jimbo zima mbunge uliyefanya kazi yako kwa ufanisi utolewe?? Hapana, mimi nasema mbunge aliyefanya kazi ipasavyo na aliyekaribu na wananchi , anatakiwa akaribishe wagombeaji wengi wa aina hii ili jimbo linufaike na yeye ni kiasi cha kuwaeleza vizuri wananchi wake na kama anakubalika atapeta tu.
Disclaimer:: I'm not endorsing anyone in this jimbo even though I'm a little bit biased towards the new generation.
Vyerehani vinamsaidia nani jamani?? Kutwa tuko hapa tunapiga kelele umaskini ulioko uko vijijini, sasa unataka mtu apeleke vyerehani kijijini mimi nimseme vibaya?? Hapana mkuu, mimi ni mzaliwa wa Kilimanjaro, na tunahamasisha sana watu kupeleka misaada huko kijijini.
Kama wanakijiji wakiona mtoa vyerehani ndio mkombozi wao, siwezi kuwapinga wanachokitaka.
Mbunge aliyepo posho anazopata na yeye si akatoe mashine za kusaga nafaka, power tillers n.k. ndio kumkomboa mwananchi hivyo.
Kamam January angekuwa anakwenda kupambana na mtoto wa maskini huko kijijini ningeweza kubadili mawazo yangu kwenye hili la kutoa misaada, lakini anapambana na mwenyekiti wa kamati moja ya bunge na mbunge wa muda mrefu, kwa hiyo hapa mimi sioni tabu maana kwa kawaida kama mbunge wa jimbo umefanya uliyotakiwa kufanya kwa kuwa mbunge zaidi ya miaka 10, HUNA LA KUOGOPA na kuondolewa ni kazi sana.
Halafu kwa upande wa CCM, nashangaa sana wabunge wanaolalamika kuwa kuna watu wanatembeza pesa kuwangoa. CCM imebadili taratibu za kupata wagombeaji huko majimboni, na kura za maoni safari hii zitapigwa na wananchi wa jimbo zima. Sasa kweli mtu anaweza kuonga jimbo zima mbunge uliyefanya kazi yako kwa ufanisi utolewe?? Hapana, mimi nasema mbunge aliyefanya kazi ipasavyo na aliyekaribu na wananchi , anatakiwa akaribishe wagombeaji wengi wa aina hii ili jimbo linufaike na yeye ni kiasi cha kuwaeleza vizuri wananchi wake na kama anakubalika atapeta tu.
Disclaimer:: I'm not endorsing anyone in this jimbo even though I'm a little bit biased towards the new generation.
JM kutoa misaada kwao kuna shida gani jamani?...........cha msingi kujiuliza ni kama nguvu/juhudi hiyo ni yake kihalali.........
Sitegemei mshikaji wangu afanye "BIASHARA YA MANYANI"........hii simulizi kama sikosei ilitolewa na Mwanakijiji.............
Tumjadili Januari kama mtu anayejitegemea,Hatutokuwa tunamtendea haki Januari kama tutakuwa tunamuhusisha na kauli za Baba yake (Mzee Yusuph).Januari ana haki kikatiba kugombea Ubunge!Tumpe ushirikiano kama mwenzetu baada ya kumkatisha tamaa.
Haya bana naona watu mna condone tabia za kifisadi fisadi in the name of misaada vijijini. Hamjiulizi watu wanatoa wapi hizo hela za kununulia vitu vyote hivyo. Oh well...it is what it is....kwanza sisi wengine si wabongo tena wala nini. Mtajiju....
- Lakini ithibitishwe kwanza kama ni kweli ametoa, maana so far ni speculation tu! au?
Respect.
FMEs!
- Mkuu Moelex, saafi sana, mimi ninaomba mtu mmoja hapa amtaje mbunge mmoja tu, wa kuchaguliwa na wanachi ambaye hajawahi kutoa hata senti moja kwa wananchi katika kugombea ubunge wa jimbo na akawa mbunge anyways? Mention just one!
Respect.
FMEs!