- Huu mjadala umeuleta kwa nia ya kuharibu jina la huyu kijana na ni kawaida yako kuwachukia vijana wote ambao wazazi wao ni viongozi, ndio maana tunajaribu kukuelimisha kwamba watoto wa viongozi ni wananchi wa Tanzania kama wengine wote na wana haki za anything affordable by our laws kwa kila raia wake.
- Sasa tizama, huyu kijana hajawahi kuwa kiongozi Tanzania, sasa hayo unayoyaita mapungufu wewe umeyapata wapi? kama sio majungu wivu chuki na fitina?
- Either yupo karibu na Rais au hayupo, na kama unajua siasa basi ulipaswa kujua kwamba katika siasa za taifa anything ambacho ni Symbolic Nationally karibu yako ni muhimu sana katika kujinadi mbele ya public, ndio maana kule US kila siku politicians wanasema walikuwa karibu na Reagan, au JFK, kama ulikuwa huelewi hiyo ni kawaida sana kwenye kampeni za siasa.
- Januari yupo karibu na Rais ni fact, amemtuma au hakumtuma ni wajibu wa Rais kukanusha lakini kama Januari amesema kweli (which I doubt) lazima Rais amesikia, sasa kama hahusiki basi anatakiwa kukanusha asipokanusha ni kweli ndio siasa za taifa zilivyo mkuu kama ulikuwa huelewi.
- Hilo ni tatizo la chama chake, ingawa kwenye kichwa chako cha mada hukusema kama anagombea chama gani, sasa unaona tunaposema kwamba una majungu, wivu, chuki na fitina kwa sababu kama hili ni tatizo ni chama chake ndio kinawahusu sio wewe, hayakuhusu haya na hayana anything to do na uwezo wake wa uongozi!
- Januari anao uwezo wa kipesa sio kwa sababu ni mtoto wa Makamba, na pili yeye kuwa na uwezo wa kipesa sio kosa la kisheria, pili kuwapa misaada wananchi anaotaka kuwasaidia sio kuvunja sheria, kuwa au kutokuwa na pesa sio tatizo la mtoto wa Makamba au wa mkulima, haya ndio tunaita majungu na fitina, sasa kama wewe mwenyewe unayetaka uongozi, umeshindwa kutafuta pesa kidogo binafsi au hata ya kuwasaidia wananchi unaotaka kuwasaidia ina maana moja tu kwamba ukipewa uongozi utawapeleka chini an kuwaibia!
- Kijana anayetaka kuongoza ni lazima aweze kusimama mbele ya wananchi na kuwaeleza jinsi alivyohangika na maisha mpaka kufikia uwezo wa kuwa na pesa alizozipata kihalali ambazo anazitumia kwenye kampeni, kama mgombea yoyote hawezi hilo, katika hii nchi ya kibepari basi ni simply kwamba hafai, kwa hiyo hii ya kijana mdogo sana kama Januari kuwa na uwezo wa kipesa tena za halali at his age inapaswa kuwa a plus kwake katika kampeni, unless kama mkuu unaweza kuthibitisha kwamba amezipata kwa njia ya wizi, halafu so far hii habari nzima ni maneno yako tu hakuna popote pa kutihibitisha ukweli wake! Ingawa tunaijadili anyways!
- Wewe unadai una uchungu na taifa lako, unamuona Januari anatoa hongo kama ulivyosema kwenye hii mada yako, sasa kilichokushinda kukusanya evidence na kumfikisha kwenye sheria ni nini hasa? Badala yake umekimbilia huku kuleta majungu, fitina, wivu na chuki zako za binafsi, mwananchi anayependa fair competition angekimbilia polisi pale pale alipoona hongo ikitolewa, acheni kuharibu majina ya vijana wanaotaka kulisaidia hili taifa!
- Hapa sasa ndipo unapoonyesha rangi zako wazi za fitina na chuki, yaani wewe ndiye unayeamua nani awe mbunge huko? Haya ya mtoto na jongoo ni ujinga foolisness, Januari amesoma baba yake hakusoma kama mtoto hizi huwa ni methali za wivu, chuki, majungu na fitina.
- Sasa kama unajua kuwa hatashinda unalia lia nini hapa mkuu, kwani aliyekuambia kugombea ni lazima kushinda nani? Wengine hua wanagombea kuhakikisha kwamba anayeshinda anakumbatia agenda ya maendeleo waliyonayo pamoja na kwamba wanajua watashindwa, hii ya kushinda ua kushindwa ni dhana potofu sana na ni nothing but wivu, fitina, chuki na majungu at best!
- Januari hahitaji kusikiliza this kind of advice, maana movtive yake iko wazi ni wivu, chuki na majungu, ninaamini Januari atakua motivated sana kuendelea na juhudi zake hasa kutokana na this kind of jokes, infact leo nitamtafuta nimpe nguvu zaidi, this is great ina maana moja tu kwamba huko kuna dalili za ushindi!
- Mkuu pole sana, hatuko hapa JF ku-create majungu na hatred kwa waliotuzidi maarifa, infact huwa tuna incourage watu wajifunze kutoka kwa wanaozidi akili na maarifa, badala ya yale mambo ya kizamani ya kuwasubiri chini washuke. Taifa hili la sasa tunawahitaji viongozi kama Januari, ambao katika umri mdogo sana walionao tayari wameshafanya mengi sana binafsi na nationally, na tuko wengi tunao unga mkono vijana wengi kujitokeza kama anavyofanya Januari!
- Ujumbe wangu kwa Januari, si kweli kwamba hapa tunachukia watoto wa viongozi, au watoto wa wazazi wenye uwezo, na wala hatulaumu umasikini wetu kwa walio na uwezo walioupata kihalali, ingawa pia kwa vile hapa ni nyumba ya Demokrasia, ni rahisi sana kwa wenzetu wengine kujichomeka na kueneza sumu za wivu, fitina na chuki zao binafsi!
- Kwenye Demokrasia tunawavumilia na kujaribu kuwaonyesha njia kwa kuwaelimisha!
es!