CONFIRMED: January Makamba kugombea Bumbuli

CONFIRMED: January Makamba kugombea Bumbuli

Huu mjadala niliuacha kidogo kwa kuwa niliona kuna watu wanapinga kila hoja inayochangiwa ikionekana inapingana na suala la kumpinga bwana JM.
wiki iliyopita kwenye gazeti la Tazama Tanzania, ukurasa wa mbele kabisa waliandika "MAKAMBA KUMVAA SHELUKINDO", kwenye habari ile kulikuwa na mambo mengi sana ya kumsifia JM na kumshusha mbunge aliyekuwepo, ni kweli kabisa Mzee shelukindo amechoka na hakufanya lolote katika kusaidia maendeleo ya eneo lake, japo yapo machache ambayo nae amechangia.....
Suala kubwa ambalo pamoja na kumsifia sana JM katika habari, wameseme wameshindwa kumpata JM kuthibitisha kuwa anagombea Ubunge kwenye jimbo la bumbuli.
Taarifa za uhakika ni kweli JM anagombea na tayari kashapita jimboni kujitangaza na kashaweka timu ya kumfanyia kazi.
Mambo kadhaa ambayo ninayaping kuhusu ile article ni kama ifuatavyo:
1. kwanza ile ni kampeni ya wazi kwa JM, japo wamejifanya hawajampata kuthibitisha
2.kusema kwamba wananchi wa bumbuli ndio waliomuita JM aje kuwa mbunge wao ni UONGO, JM hajulikani jimboni kabla ya yeye na baba yake kuanza kujinadi, sio mzawa na wala jakakulia jimboni pale na wala hakuna suala ambalo amewahi kulifanya jimboni kabla ya kutangaza nia yake ya kugombea ambalo wananchi wananweza kusema ni zuri.

3. watu wote walioandikwa kwenye habari ile kama ndio waliohojiwa ni watu ambao wamo kwenye kamati ya kumtangaza JM jimboni( shemzigwa,Julius kingazi......) kwahiyo ni propaganda.

4. kusema JM ni mzawa na amekulia jimboni ni uongo kwani watu wa Mahezangulu ambako anatokea baba yake wamemkana kwa kuwa si mzaliwa wa pale na hajakulia pale na mbaya zaidi hata JM mwenyewe kwenye historia yake amekiri kwamba yeye amekulia Bukoba kwa bibi yake,tena akimsaidia bibi yake kuuza pombe za kienyeji, JM ni mtoto wa nje wa mzee makamba, mama yake ni mwenyeji wa bukoba na hili ndio wananchi wanalohoji kwakuwa yeye anadai ni mwenyeji....na ijulikane wazi familia ya mzee makamba inachukiwa sana eneo analotokea kwa tabia za dharau na matusi ya mzee makamba kwa wananchi....na ndio maana mzee makamba mara zote mbili alishindwa kwenye kugombea ubunge....

5. JM kwa mara ya kwanza amefika baadhi ya maeneo ya jimboni mwaka huu na sio kweli kila sehemu wanamfahamu kama nakala inavyosema, mwandishi alikuwemo kwenye safari ile ndio maana ameamua kuandika anavyoona kuwa inampendelea JM.

6. tunaposema watoto wa vigogo wanatumia nafasi za wazee wao vibaya hatuna maana wote na sio kuwachukia, bali inapotokea hali mtoto wa kigogo anagombea nafasi ya uongozi kuna advantage za upendeleo zinatokea ambazo zinamnyima fulsa yule mwananchi wa kawaida mtoto wa mkulima, nitatoa mfano:
i. JM anapigiwa kampeni na viongozi wa chama sasa hivi wakati ambapo sheria za chama zinapinga hivyo kwakuwa bado chama hakijateua wagombea, je hawa wengine watasaidiwa na nani? mpiga kampeni mkuu wa JM ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Lushoto bwana Mahanyu, Mzee shelukindo ameshalalamia hili katika kamati ya siasa na kutaka bwana mahanyu avuliwe uongozi lakni hakuna wakumsikiliza na huyu bwana bado mpaka kesho anafanya kazi hii,na hata pale mwenyekiti wa chama wa eneo moja kwa kuwa hayuko upande wa JM alipokataa JM asifanye kampeni kwakuwa muda bado, alipewa onyo kali kutoka juu, Je unazani kuna usawa hapa?

ii. Chama kinakataza mgombea yeyote kutoa hongo ama namna yoyote ya ushawishi wa kutimia pesa, vitu ama zawadi kwa wapiga kura wakati wa kujitangaza, kwani kwa kufanya hivyo mgombea anaweza akawadisqualified, katika kampeni za JM tayari ametoa pikipiki 3 jimboni, na amekuwa akitoa hela kwa wananchi kila sehemu anayokwenda ili kuwaomba wananchi wa mkubali, ameahidi vitu vingi na watekelezaji ni wajumbe wa CCM, je hili nalo hawajaona? au kwakuwa ni mtoto wa mzee?

iii. JM alipoenda kujitangaza jimboni alipewa kadi za CCM za uwanachama zaidi ya 8000, amabazo zimekabidhiwa bwana Mahanyu ili zigawiwe kwa wanachama wapya wa CCM ili ifikapo siku ya kula maoni wamchague yeye, je chama sikimekataza mgombea kudhamini kadi za wanachama kwa nia ua ushawishi? na hili je? je watoto wasio wa viongozi wana nafasi gani kwenye hili? je hapa panaweza kuwa na ushindani wa haki? au ni kwamba anapewa nafasi kwakutumia jina la baba yake...

najua kwenye hili kuna watakao taka kusema leta ushahidi kwakuwa wako tayari kutetea suala la JM kwa kuwa ni Smart na msomi, lakini pia JM katika maongezi yake mengi na wananchi analiweka mbele sana suala la yeye kuwa KARIBU na raisi kama ndio kigezo pekee kitkacho mpa yeye nafasi ya kuwaletea maendeleo jimboni humo, lakini watu wanahoji kama yeye ni mtu wa raisi kwanini raisi asisubiri akamteua kuwa mbunge kama kweli anamitaji kwenye balaza lake la mawaziri?

lazima tuache ushabiki pale kwenye ukweli na sio kila mtu anayekuwa anampinga JM anachuki binafsi naye, ila lazim ijulikane kwamba anatumia nafasi ya mzee wake tu kama daraja, na hata wapiga kmpeniwake ni watu w mzee makamba wa karibu na hata kwenye baadhi ya mikutano ya siri mzee makamba anahudhuriana kutoa maagizo kama yale ya kutaka mzee shekulamba atolewe kwnye kamati ya kampeni baada ya kuonekana hakubaliki kwenye eneo lake kwenye mkutnao wa morogoro......

labda mwisho niseme tu mwandishi yule alionyesha kana kwamba JM anakubalika sana jimboni kitu ambacho si kweli na hakuonyesha kwamba kuna upinzani wowote isipokuwa kutoka kwa shelukindo kitu ambacho si kweli, JM anapata upinzani mkubwa sana kutoka kwa wagombea wengine na sababu ambazo nimezipata ni kama ifuatavyo;
i. wapiga debe wa JM wengi hawakubaliki katika jamii, na mbaya zaidi ni kumtumia bwana mahanyu kama mpiga kampeni mkuu wakati akijua bwana mahanyu si mwenyeji wa jimbo lile, na hajulikani.
ii. wakati wa kugawa pesa kwa wananchi bwana JM hatofautishi viongozi na wananchi, zipo sehemu alitoa 3000(ngongoi na mgwashi) kwa kila mtu na sehemu hata 1000, viongozi wengi waliona kama ni dharau kwao(huu ni mtazamo wa viongozi wengi,maana natoa tu taarifa).
iii. kila alipotembelea maeneo mengi kwakuwa mwenyeji wake hajulikani basi amekuwa akikutanishwa na watu amabao wengine si viongozi na wazee wa eneo husika, kwa hiyo alijikuta akitumia pesa kuwapa walevi tu.
iv.........................ahhh basi,

IJULIKANE KWAMBA NIA YETU NI KUJENGA NA SI KUBOMOA WALA KUKOMOA.......NAWAKILISHA.....
 
Huyu kijana amekwishafulia, alikwenda Lushoto kwa gia kuwa ametumwa na Rasis na kwamba akichaguliwa atakuwa waziri; sasa juzi Jakaya kasema wazi wazi kuwa watu wanaopitapita kujitangaza kuwa amewatuma ni waongo yeye hajamtuma mtu kwenda kugombea ubunge!! Sasa watu wa Lushoto wameisha stukia hata vijizawadi wapambe wa January wanavyojaribu kugawa wanaambiwa HATUDANGANYIKI!!
 
Huyu kijana amekwishafulia, alikwenda Lushoto kwa gia kuwa ametumwa na Rasis na kwamba akichaguliwa atakuwa waziri; sasa juzi Jakaya kasema wazi wazi kuwa watu wanaopitapita kujitangaza kuwa amewatuma ni waongo yeye hajamtuma mtu kwenda kugombea ubunge!! Sasa watu wa Lushoto wameisha stukia hata vijizawadi wapambe wa January wanavyojaribu kugawa wanaambiwa HATUDANGANYIKI!!

2010 iko kazi ...
 
Kwa jinsi ninavyomfahamu (sio kumwelewa) January, sishangai kupata mapokezi mabovu namna hiyo. Sitasema mengi lakini mengi nayajua kuhusu utendaji wake Ikulu na wa Mzee Makamba kama Katibu Mkuu wa CCM. Sitasema mengi, mengi nayajua, siri yangu.

Nawaunga mkono Wana-Bumbuli kwa KUMKATAA! Kimsingi, hafai! Hata walipwe milioni ishirini, WASIMCHAGUE! Enough is Enough!

./Mwana wa Haki

P.S. Na bado! We know what is going on... HATUDANGANYI-KI!
 
Inawezekana Mkulu ameshamwaahidi unaibu waziri. Ana haki kama mtanzania mwingine lakini je nchi inakuwa ya kifalme sasa?
 
Wana JF,

Napenda kuwauliza nanyi mtoe mawazo yenu,

Ivi mtu anaenda kugombea Ubunge jimbo fulani ni kuwa wana mawazo kuwa President ata mchagua kuwa Naibu au Waziri? na kama hivyo hao wanagombea ubunge na wanamalengo hayo basi hawatufaiii kabisa,

Me nasema twahitaji mbunge ambaye yuko tiali kwa jimbo lake na sio anawaza akawe naibu waziri au waziri.
 
Let us try and be honest here, are you really sure of this considering the way our political system operates ? Kwamba mtoto wa mkulima anayo nafasi sawa na mtoto wa Raisi na Mwenyekiti wa CCM au mtoto wa Katibu Mkuu wa CCM ? Let's not kid ourselves, kwa mambo yanavyoendeshwa Tanzania hili ni kama vile kudai vyama vya upinzani vina safasi sawa na CCM. Kwa mfumo wetu wa utawala huku ni kudanganyana na kuamini hivyo ni kama sawa na kuiga tabia ya mbuni - by burying our heads in the sand.

Mag 3

Tatizo la watz wetu wakiongozwa na hao wataalamu wetu wafikiri kila kinachotekea US au kule aliko lazima linawezekana TZ bila ya kujua aina ya watu tuliokuwa nao. Nahisi kuwe na NECTA za vyuo vikuu sana.
 
Watu wanauliza alishindwa baba yake mara mbili itakuwa yeye asiyejulikana ?

Mzee makamba mwenyewe ameshindwa kumnadi kijana wake baada ya kufukuzwa na wananchi alipoenda kumnadi jm, na cha kushangaza ni kwamba makamba akiwa kama kiongozi wa juu wa chama anampigia debe mgombea wa ccm profesa maji marefu kupitia moja ya jimbo la korogwe akiwa anajua anavunja sheria, profesa maji marefu ni yule aliwahi kuwa mganga na pia mdhamini wa michezo mbalimbali nchini ikiwa boxing na futbol, na inasemekana ni darasa la saba na wananchi wamegundua hilo lakini yeye kwakuwa anaangalia maslahi na chuko binafsi na mbunge aliyepo basi.....na hata mkutano wa jm na wapambe wake jimboni bumbuli ulifanyikia kwenye hoteli ya prof.maji marefu.......links....

Ninaamini wananchi wa bumbuli hata kama hawajui kusoma picha wataiona tu......
 
Umerudi tena

Quote from where?

uliambiwa ulete ushahidi kuwa January alisema/aliandika maneno hayo umeshindwa

let it go man, unazidi kujidhalilisha maana JF style ni KUMKOMA NYANI GILADI na suitegemee useme kitu bila kuja na evidence za kuback up your claims

Tuletee ushahidi
kuwa January Makamba alisema maneno hayo Tafadhali!!!!

- Mkulu GT, saafi sana na tupo pamoja sana hapo, kugombea ni haki ya kila mwananchi wa Tanzania, kujinadi kisiasa ni haki affordable by our laws of the land, kama ninawaelewa wengi hapa ni kwamba Tanzania tunahitaji sheria maalum kwa watoto wa viongozi na nyingine kwa ajili ya watoto wa waongozwa, and that kind of thinking is pathetic!

- Wananchi wa Bumbuli ndio peke yao wenye haki ya kuamua nani wanayemtaka na sababu za msingi sio kwa sababu mtoto wa Makamba, yale mambo ya kiognozi mzuri lazima awe mtoto wa masikini Tanzania tumeshindwa kuthibitisha hilo kwa sababu mifano iko wazi kwamba sio kweli watoto wa masikini ndio wamelifikisha hili taifa lilipo sasa, ni haki ya kisheria ya jamhuri Januari kugombea nafasi yoyote ya uongozi katika Tanzania na nafasi aliyonayo sasa inampa an edge maana sio mchezo kuifanyia kazi Presidential Insititution, huyu kila siku ya Mungu anaona siri nzito sana za taifa!

Respect.

FMEs!
 
- Mkulu GT, saafi sana na tupo pamoja sana hapo, kugombea ni haki ya kila mwananchi wa Tanzania, kujinadi kisiasa ni haki affordable by our laws of the land, kama ninawaelewa wengi hapa ni kwamba Tanzania tunahitaji sheria maalum kwa watoto wa viongozi na nyingine kwa ajili ya watoto wa waongozwa, and that kind of thinking is pathetic!

- Wananchi wa Bumbuli ndio peke yao wenye haki ya kuamua nani wanayemtaka na sababu za msingi sio kwa sababu mtoto wa Makamba, yale mambo ya kiognozi mzuri lazima awe mtoto wa masikini Tanzania tumeshindwa kuthibitisha hilo kwa sababu mifano iko wazi kwamba sio kweli watoto wa masikini ndio wamelifikisha hili taifa lilipo sasa, ni haki ya kisheria ya jamhuri Januari kugombea nafasi yoyote ya uongozi katika Tanzania na nafasi aliyonayo sasa inampa an edge maana sio mchezo kuifanyia kazi Presidential Insititution, huyu kila siku ya Mungu anaona siri nzito sana za taifa!

Respect.

FMEs!

Kuna watu wanajishtukia hapa, hata kabla hujasema kitu kuhusu watoto wa vigogo wao washaona umewasema.

Kwa taarifa tu nimembamiza January kwa sababu ya maneno aliyosema ambayo yanamuonyesha kuwa si mtu mwenye kujali wananchi bali ni courtier tu anayetaka kupanda ngazi.

Nchi yenyewe tushawaachia ile kama alivyosema Mwanakijiji. Baba zenu washakula, na nyie mle mpaka vitukuu, kilichobaki kutafuta vitabu vya kibuluu tu usawa huu.

Hujaguswa ushamaka, ukichomwa mkuki je?

Nchi kuwaachia tushawaachia, sasa hata kusema tusiseme?

Laana tupu, si January, si Shelukindo, si nani, CCM nzima laana tupu.
 
Kuna watu wanajishtukia hapa, hata kabla hujasema kitu kuhusu watoto wa vigogo wao washaona umewasema.

- It works both ways na ni none ishu cha muhimu ni haki ya Januari kugombea uongozi, kuwa au kutokwua mtoto wa kigogo au maskini ni absolutely out of the line sheria ya Tanzania ni moja tu kwa wote.

Kwa taarifa tu nimembamiza January kwa sababu ya maneno aliyosema ambayo yanamuonyesha kuwa si mtu mwenye kujali wananchi bali ni courtier tu anayetaka kupanda ngazi.Nchi yenyewe tushawaachia ile kama alivyosema Mwanakijiji. Baba zenu washakula, na nyie mle mpaka vitukuu, kilichobaki kutafuta vitabu vya kibuluu tu usawa huu. Hujaguswa ushamaka, ukichomwa mkuki je? Nchi kuwaachia tushawaachia, sasa hata kusema tusiseme? Laana tupu, si January, si Shelukindo, si nani, CCM nzima laana tupu.

- Yale yale hakuna fundisho nyani bwana hajioni hata siku moja, I mean talking about mibaba mijizi mbona itakuwa aibu sana hapa, kama hoja zimeisha ni bora kuweka kalamu chini kuliko kuanza kujivua nguo na mibaba mijizi! Bwa! ha! ha! ha!


- Can we talk about mibaba mjizi? Bwa! ha! lijitu halijaguswa tayari lishaanza kujihami inachekesha sana! kama huna hoja acha hii avenue you know kwamba ni self destructive sijui kwanini huwa unaianza anyways!

Respect.

FMEs!
 
January makamba yupo soni, lushoto, jimbo la bumbuli (linaloshikiriwa na shelukindo) leo hii akijinadi kwa wapiga kura.

January ambaye alishaanza kujitangaza jimboni humo kwa kumwaga pesa na pikipiki za kampeni leo aliwasubiri watu wa soni wamalize kuswali ili apate nafasi ya kusalimia, lakini kitendo hicho kilichukiwa na wengi na wengi kuondoka bila kutaka kumsikiliza.

Jioni hii anaenda kutembelea shule mpya ya waislamu ambapo mwanzo alichangia shilingi laki moja ya ujenzi.

Safari ya january imekumbwa na vikwazo vingi kwani amekuwa akipata mapokezi mabovu moja ni vijana kukataa vifaa vya michezo kama jezi na kumuambia hawahitaji.....

Mapokezi haya mabaya ya January ambaye anasema ametumwa na rais kuchukua jimbo hilo, yanasababishwa na chuki waliyokuwa nayo wananchi dhidi ya baba yake mzee Makamba ambaye mara ya kwanza naye alitimuliwa na wananchi alipojaribu kumnadi kijana wake....

Wengi wamekuwa wakisema January hajulikani na si mwenyeji wa eneo hilo japo baba yake ni mkazi na alishawahi kugombea jimbo hilo zaidi ya mara 2 na kushindwa.

Wadau wanasema january atatumia jeri ya pesa, wakati wananchi wanasema hawadanganyiki tena......

Mzee Shelukindo nae amekuwa akizomewa kila anapokwenda jimboni, wananchi wamemuambia basi kwa kuwa kwenye kampeni za 2005 yeye na mke wake waliomba na kuahidi ingeuwa ni awamu ya mwisho hatagombea tena pamoja na kutofanya lolote jimboni humo.......

Naona wana-JF wameshaanza kujitokeza..... Tumuunge mkono January!?

Ningefurahi kupata uchambuzi yakinifu kutoka kwa wazoefu hapa jamvini.....

MtazamoWangu Re: CONFIRMED: January Makamba kugombea Bumbuli
Watu wanauliza alishindwa baba yake mara mbili itakuwa yeye asiyejulikana ?
Mzee makamba mwenyewe ameshindwa kumnadi kijana wake baada ya kufukuzwa na wananchi alipoenda kumnadi jm,

- Duh JF bwana kaazi kweli kweli!

ES!
 
- It works both ways na ni none ishu cha muhimu ni haki ya Januari kugombea uongozi, kuwa au kutokwua mtoto wa kigogo au maskini ni absolutely out of the line sheria ya Tanzania ni moja tu kwa wote.


- Yale yale hakuna fundisho nyani bwana hajioni hata siku moja, I mean talking about mibaba mijizi mbona itakuwa aibu sana hapa, kama hoja zimeisha ni bora kuweka kalamu chini kuliko kuanza kujivua nguo na mibaba mijizi! Bwa! ha! ha! ha!


- Can we talk about mibaba mjizi? Bwa! ha! lijitu halijaguswa tayari lishaanza kujihami inachekesha sana! kama huna hoja acha hii avenue you know kwamba ni self destructive sijui kwanini huwa unaianza anyways!

Respect.

FMEs!

January kashawaambia Watanzania, including you, kwamba "A million flies cannot be wrong, they eat shyt". The masses of Tanzanians cannot be wrong, they all vote CCM. Vote CCM = Eat shyt.

You eat shyt. Huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa. Mnategemea atafanya kipya?
 
Hvi familia ya Makamba si ndio hii iliyokwisha kununuliwa na MAFISADI? Watu wa tanga wanataka kutuletea fisadi mwingine atakae kaa bungeni kutetea maslahi ya akina rostam na lowasa................kibaya zaidi eti amng'oe shelukindo kweli inaingia akilini watz?

Hawa ndio wakupigwa mawe kwani hizo ni mbinu za yusuf makamba akisapotiwa na mafisadi lowasa rostamu na wala nchi shirika wao...

Tanga msituangushe jamani kuleni mipesa ya mafisadi ila watoseni kwenye kula....kwani kura ni siri ya kila mpiga kura
 
January kashawaambia Watanzania, including you, kwamba "A million flies cannot be wrong, they eat shyt". The masses of Tanzanians cannot be wrong, they all vote CCM. Vote CCM = Eat shyt.

You eat shyt. Huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa. Mnategemea atafanya kipya?

- Evidence please!

Es!
 
- Evidence please!

Es!

wewe hata wakati hii thread inaaza ulibisha kwamba JM hagombei ubunge, sasa hvi kila unachoambiwa unataka ushahidi wewe mbona hutoi ushahidi wa kubisha kwako.....unalazimsha hoja hii iwe ni chuki wa watoto wa wawakubwa....wivu....lazima pale tunapoona kuna mtu anataka kutake advantage ya nafasi yake ili kuwarubuni wananchi tuseme, mungu mkubwa wananchi wa bumbuli wameshaona rangi za january mapema, uongo, ulevi na dharau.....na wameapa kula pesa zake mpaka mwisho lakini ubunge hawampi.....na huwezi kubadilisha misemo ya busara kwamba mtoto wa nyoka ni nyoka....

na kama ukitaka ushahidi, fuatilia kampeni za JM jimboni, timu yake imeshaanza kuparaganyika hata kabla ya muda..
na mzee shelukndo ameshafika jimboni baada ya kusikia michezo michafu inaendelea....ngoja tufuatilie tuone haya mapambano yataishia wapi....
 
wewe hata wakati hii thread inaaza ulibisha kwamba JM hagombei ubunge, sasa hvi kila unachoambiwa unataka ushahidi wewe mbona hutoi ushahidi wa kubisha kwako.....unalazimsha hoja hii iwe ni chuki wa watoto wa wawakubwa....wivu....lazima pale tunapoona kuna mtu anataka kutake advantage ya nafasi yake ili kuwarubuni wananchi tuseme, mungu mkubwa wananchi wa bumbuli wameshaona rangi za january mapema, uongo, ulevi na dharau.....na wameapa kula pesa zake mpaka mwisho lakini ubunge hawampi.....na huwezi kubadilisha misemo ya busara kwamba mtoto wa nyoka ni nyoka....

na kama ukitaka ushahidi, fuatilia kampeni za JM jimboni, timu yake imeshaanza kuparaganyika hata kabla ya muda..
na mzee shelukndo ameshafika jimboni baada ya kusikia michezo michafu inaendelea....ngoja tufuatilie tuone haya mapambano yataishia wapi....
Mjadala unatakiwa uwe kati ya January Makamba na Mzee Shelukindo nani atakuwa mbunge mzuri kwa watu wa Bumbuli. Wewe unamtetea Mzee Shelukindo wakati amekuwa mbunge kwa miaka kibao na hajafanya lolote la maana kwa watu wa bumbuli. Ukweli ambao hautaki kuusema ni kwamba Shelukindo nae hakubaliki sana kule jimboni na watu wamemchoka. Wewe unataka tumuone yeye ndio victim wa CCM machinery. He is an incumbent, he has to defend his records.

Unajua babu, whenever watu wakishindwa kuongelea issue muhimu wanaleta hoja binafsi. Ooh he is elitist, ana dharau, ni mlevi. As if Mzee Shelukindo yeye ni msafi. And you know for sure ana madhambi yake kibao. Kwanini if somebody is superior kimasomo and intellectually watu wana-ASSUME kwamba ana dharau and he is elitist. You cannot make a judgement on somebody's personality basing on superficial encounters you have had with him. It is a very dishonest way to disagree with somebody.

I understand it is politics, and Shelukindo thinks by FALSELY painting JM as elitist kid, mambo safi, mkate kwa siagi, mboga saba and all that-- is his path to get RE-ELECTED. At the end of the day, he will have to explain to Bumbulians, kwamba what has he done for them as an MP for last 10 years, and why they shouldn't bet on a young, energetic, highly educated, and experienced in behind the scenes governance at his current joboo hapo Ikulu.

If I'm independent bumbuli voter, do I re-elect a 72 years old to his third term who has no sustained track record of bringing any maendeleo OR I bet on a 30+ years old kid who has qualified credentials to be a mbunge. Hili ndio swali la msingi. And it is a no brainer.
 
Back
Top Bottom