Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!


Hainanoma Invisible kura zimempata Mbunge mteule, hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Jamani mimi nilikuwa nasikiliza radio na nimesikia Mnyika kapata kura 96,000 na siyo 66,000 naomba nisaidiwe, Urais hawakutangaza. Mwenye uhakika zaidi atusaidie. All in all mbuge wangu Mnyika hongera sana and you deserve it
 
Habari za uhakika kutoka loyola kituo cha kutangazia matokeo ya ubungo. John Mnyika ndiye mshindi na kwa sasa ni Mbunge mteule wa jimbo la ubungo.
 
Huraaaaaaaaaaaaaaaayyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!! Wamebanaaaaaaaaaaaaaaaaaa, wameachia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hongera Mnyika, Hongera Chadema.
 
Ha ha ha ITV Masakoa anasema eti hajui mshindi ni nani? ha ha ha hajui ni nani alikuwa anazungumza
Hawezi kujua kama rais wake asivyojua kwanini Tz masikini
 
Pfuuuuuuuuuuu!!!!!!!
Swaaaaafiiiii sanaaaaaaaa!!!

Hongera Mnyika.
Hawa watu hawogopi nguvu ya Mungu!!!!!
 
Orait orait nahitaji al-batar kama wawili hivi ili hii siku iende sawa
 
nipeni namba ya mnyika tafadhali mbunge wangu nimpe hongera zake
 
Yeee yebo Hao CCM YEBOYEBO Eheee yebo kumbe CCM yeboyeo weraaa weraaa sitoi bila heraaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…