The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
du! Kila nikitaka kuchangi najikuta naachwa.
Tread ina spidi si mchezo.
nafikiri yumo usain bolt humu ndani naye anachangia ndio maana thread inakimbiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du! Kila nikitaka kuchangi najikuta naachwa.
Tread ina spidi si mchezo.
dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa
kura:
chadema - 66,000+
ccm - 50,000+
cuf -12,000+
sorry: mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia sana kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili
Mnaona Mtatiro alivyotaka kulipeleka jimbo kwa CCM.Mnyika kapata kura, 66, 000+
Hawa Ng;umbi kura 50544
Mtatiro...12,000+
KURA:
CHADEMA - 66,000+
CCM - 50,000+
CUF -12,000+
SORRY:
ana bahati mbaaya sana huyu mjeba....kuanzia kuleeee mtera kabwagwa...na nasikia ni shabiki wa simba na liverpoolYuko hapa hapa jamvini bila ku logon. Mimi nimeshamuona lakini ni vigumu sana akajitokeza! Naona anachungulia chungulia na kutoka!
\Mnaona Mtatiro alivyotaka kulipeleka jimbo kwa CCM.
malaria sugu yu wapi jamani