Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Nadhani sasa twatakiwa kujipanga nao wasije wakachakachuliwa bungeni!
 
Ongera jj mnyika, hayo ndo mabadiliko

vipi kawe kwa dada yetu halima mdee
 
Asante Sana kwa ushindi wa kishindo mnyika, nenda ukatufanyie kazi
 
Anasema anawaahidi vijana waliomsaidia kwa kuacha hata kazi zao na kumuunga mkono, anasema wajiamini nao wanaweza kuwa kiongozi kama yeye alivyobahatika.
 
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa

KURA:

CHADEMA - 66,000+
CCM - 50,000+
CUF -12,000+

SORRY: Mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia SANA kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili


Hatufahamu matokeo ya kinondoni, tetesi chadema tuna kura za kutosha kushinda, hakuna organizer kushinikiza people power to prevail!!!!
 
Hii inamaanisha hata CUF wangeungana na CCM, bado kijana angewahundumula!:doh::doh::doh:

hommie hizi lugha zipo kwenye CV yako? au ndo zile zisizo rasmi hazina istilahi:doh:
 
Anasema anawaahidi vijana waliomsaidia kwa kuacha hata kazi zao na kumuunga mkono, anasema wajiamini nao wanaweza kuwa kiongozi kama yeye alivyobahatika.


Mkuu chonde chonde......hebu do ze nidiful kwa kwenda sijui oysterbay wanakotangazia matokeo ya mpiganaji Mdee
 
Jamani Mnyika ameshatangazwa mshindi greeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeet CHADEMA Greeeeeeeeeeeeeeeeeet Tanzanians esp those who voted 4 Chadema
 
Viva John Mnyika. Leo nitalala, juzi na jana nilishiriki kulala na nyie huko Loyola kupitia Runinga hadi nikawa nandondoka usingizi. Sina la kusema, shinikizeni na kawe, ukonga na segerea, pengine hayo mawili ya mwisho Chadema, ingekuwa ssm si wangeshatangaza?
 
Wamebana weeeeeee lakini mwisho wameachia tumepata kamanda huko mjengoni...
 
Bravo Mnyika now tunategemea ahadi zako.....Bravo CHADEMA
 
Saaaaaaaaffffiiiiiiiiiii saaaaaaaaaaaannnnnnnnnnnnnaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ha ha ha ITV Masakoa anasema eti hajui mshindi ni nani? ha ha ha hajui ni nani alikuwa anazungumza
 
Back
Top Bottom