Aaaa Mkuu, mbona chama changu hakipo hapa wakati na sie tulisimamisha mgombea... lol...
Hii sredi ina speed ya Mwanga!
Hapo ninakubaliana na wewe mkuu...Kuna haja ya kufanya kama walivyofanya arusha jana
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa
KURA:
CHADEMA -
CCM -
CUF -