Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa

KURA:

CHADEMA -
CCM -
CUF -

Kaka hivi sasa ni saa nne na nusu, na uliahidi kutupa matokeo ndani ya dakika kumi kuanzia saa mbili na nusu asubuhi. Sasa vipi kuna nini hadi sasa????. Habari zilizopo ni kuwa Delaying tactic inatumika kwa lengo la makusudi ili kuwafanya Chadema waanzishe fujo, na polisi wapanze mvua ya mabomu na uchaguzi ufutwe. Kiasi naanza kuyaamini haya maneno!!!
 
Du hizi presha ndo zimesababisha leo kutwa nzima naendesha.
Ni msimu wa winter hapa ila kijasho hakinikauki tangu asubuhi.

Tupe matokeo kaka walau tuvute pumzi!
 
dah,,taarifa za Star Tv ni kwamba Tume imeahirisha hadi saa tano kamili

Mkuu Invisible ni kweli hii kitu? dah:doh::doh:
 
Kwani wanatoa hotuba kama vile tuko kwenye kuhitimisha mbio za Mwenge? Mwenge wenyewe Slaa kasema ataupeleka jumba la Makumbusho!
 
Hivi hapo Ubungo ni dar Es Salaam au Tanzania?

Mbona hatupewi habari? Agggggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrr:doh::doh::doh::doh::doh:
 
Du hizi presha ndo zimesababisha leo kutwa nzima naendesha.
Ni msimu wa winter hapa ila kijasho hakinikauki tangu asubuhi.

Tupe matokeo kaka walau tuvute pumzi!

mbavu sina.

invisible vip bwana?

na wewe unakuwa mtu wa kupandisha presha watu kweli?
 
NYU usitupandishe presha, saa ngapi maana kuja jamaa nlikua nao pale na hawajanipa update????
 
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa

KURA:

CHADEMA -
CCM -
CUF -

SORRY: Mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia SANA kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili


Du mpaka umekuwa Visible sasa!
 
Invi haaminiki ngoja tusubiri dataz za FMES
 
Back
Top Bottom