Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
FMES == CCM propaganda machine ndani ya JFNafikiri FMES hayupo nchini la siyo angekuwa anazileta za jikoni!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FMES == CCM propaganda machine ndani ya JFNafikiri FMES hayupo nchini la siyo angekuwa anazileta za jikoni!!
Hii naona itaenda kwenye . Dakika za nyongeza zinaishia
kibabu kile hakina jipya....na mishati yake ya majani....tangu atapeli watu na mradi wa majuu kapoteaNafikiri FMES hayupo nchini la siyo angekuwa anazileta za jikoni!!
Kuna sredi nyingine hapahapa inayohakikisha jambo hili...Achaneni na Invisible!
Hivi hapo Ubungo ni dar Es Salaam au Tanzania?
Mbona hatupewi habari? Agggggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrr:doh::doh::doh::doh::doh:
Kuna sredi nyingine hapahapa inayohakikisha jambo hili...Achaneni na Invisible!
dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa
kura:
chadema -
ccm -
cuf -
sorry: mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia sana kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili