Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Hongera Mnyika Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
Hii naona itaenda kwenye . Dakika za nyongeza zinaishia

hakuna kitu hapa.

hiyo ni gemu ya Chelsea(Chadema) against BlackBurn(CCM).

Watabana wee, mwisho wa siku...................

People's Power will speak volumes
 
Kuna sredi nyingine hapahapa inayohakikisha jambo hili...Achaneni na Invisible!
 
suuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuperiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
UUWhiiiiiiiiiiiiiiiii!!! Sasa Inv inabidi uhamie Kawe chapuchapu baada ya kutuwekea figures hapa!! Congratulation Kijana Mnyika!!
 
Nafikiri FMES hayupo nchini la siyo angekuwa anazileta za jikoni!!
kibabu kile hakina jipya....na mishati yake ya majani....tangu atapeli watu na mradi wa majuu kapotea
 
Neno limetimiaaaaaaa !!!!!!!!!!! Poeple'sssssssssssssssssssssssssss !!!!!!!!!! powerrrrrrrr !!!!!!

Niko ofisini na sasa nachakachua mango juice na konyagi ndogo ( cocktail) !!!!!!!!!
 
Kuna sredi nyingine hapahapa inayohakikisha jambo hili...Achaneni na Invisible!

Kwani wewe hujaona matokeo ya Invisible, check vizuri bro!! sasa tunasubiri figures tu hapa then tuhamie Kawe!!
 
dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa

kura:

chadema -
ccm -
cuf -

sorry: mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia sana kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili

Hatimaye kimeeleweka......!!!! Tanzania yenye neema na demokrasia ya kweli sasa imewadia! Asante Mungu kwa kusikiliza maombi ya waja wako!
 
peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss Mnyikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ehe mungu nimeamini kwa nini masha ilikimbizwa hospital mimi mdau tu kuambiwa matokeo yanatangwaza hali mbaya siwezi fanya chochote. je myika huko hali itakuwaje??. makamanda tukimaliza hapo mchaka mchaka mpaka kawe
 
Congrats JJ Mnyika.....:first::clap2::drum:😛eace:😛eace:
 
live wapo radio 98.0 FM invisible kama Mjengwa bwahahaha
 
Back
Top Bottom