CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,045
Reaction score
3,389
Naaaaaaam

Ndugu wanajamvi,

Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.

Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.

Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu mrembo Shombe aliyetokea kunihusudu mimi mume wa mtu.

Naona kama ndoto.. Mtoto Shombe Shombe kazama kwangu, kanichagua kati ya wengi.. Nami nina mke - JamiiForums

Kiranga alijitokeza na kunipa ushauri ambao moja kwa moja ni ushauri wa Kimungu. Maneno aliyoyasema Kiranga ni hayo hapo chini kwenye screenshot.

Kiranga ktk ushauri wake huo alisema kuwa, ' NDOA NI AGANO TAKATIFU '.

Sasa kwa hali ya kawaida, ni atheist gani anaamini ktk utakatifu?? Utakatifu huo anauamini kutoka kwa nani?

Ni dhahiri kabisa huyu jamaa anamwamini Mungu maana utakatifu hautoki popote zaidi ya kwa Mungu.

Siku zote anatuigizia hapa, leo kajianika mwenyewe.

Screenshot_2018-08-25-11-50-38.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naaaaaaam

Ndugu wanajamvi,

Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.

Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.

Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu mrembo Shombe aliyetokea kunihusudu mimi mume wa mtu.

Naona kama ndoto.. Mtoto Shombe Shombe kazama kwangu, kanichagua kati ya wengi.. Nami nina mke - JamiiForums

Kiranga alijitokeza na kunipa ushauri ambao moja kwa moja ni ushauri wa Kimungu. Maneno aliyoyasema Kiranga ni hayo hapo chini kwenye screenshot.

Kiranga ktk ushauri wake huo alisema kuwa, ' NDOA NI AGANO TAKATIFU '.

Sasa kwa hali ya kawaida, ni atheist gani anaamini ktk utakatifu?? Utakatifu huo anauamini kutoka kwa nani?

Ni dhahiri kabisa huyu jamaa anamwamini Mungu maana utakatifu hautoki popote zaidi ya kwa Mungu.

Siku zote anatuigizia hapa, leo kajianika mwenyewe.

View attachment 846447

Sent using Jamii Forums mobile app

Mjina Mrefu

Umekimbia mjadala kule nilipokubana kuhusu definition ya utakatifu na kukuelezea hata nguo tunafua zinatakata bila kuhitaji msahafu wala Mungu.

Umekimbia, hujajibu hoja kule, umekimbilia kudaka screenshot na kuileta huku.

I don't appreciate that shyt.

That shyt is wack.

Get off my dilsnick already.
 
Mimi sijui alimaanisha nini anaweza kuja apa akakuuliza utakatifu ni nini ukataja unavyoelewa na yeye akataja kwa maana aliyokuwa akimaanisha ndipo anapowakamatiaga watu hapo
Siyo naweza kuja hapa.

Nilishamuuliza huko alikoitoa hiyo screenshot, akashindwa kunijibu, nikamwambia utakatifu ni neno lenye mzizi wa kutakata, hata nguo tunafua zinatakata, tunaondoa uchafu na madoa bila imani ya Mungu wala msahafu.

Akakimbia mjadala anakuja huku kuanzisha thread kwa jina langu, cheap bullshyt.

Nyege za kutumia jina la Kiranga kuanzisha thread tu!
 
Ha ha ha.
Kiranga ni complex. Relax ndio utamuelewa vizuri
I appreciate that.

Siku nikija kutoa lecture ya kuelezea Claude Levi-Strauss' "Myth and Meaning: Cracking the Code of Culture" mlangoni itabidi tuweke mtihani wa kuingia, maana kuna watu hawana sophistication beyond lowest common denominator of basic public taste.

Yuck!
 
Back
Top Bottom