CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

Kwamba kuna watu hawaamini kuwa binadamu ni wanyama kama wanyama wengine tu..
Fact we muulize jirani yako kama binadamu ni mnyama uone atavyobisha anasema yeye amekuja special wakati zamani yeye alikua anawindwa kama swala tu akijichanganya simba anamla in short binadamu alikua chini ya sokwe in food chain ila now yeye ndo top

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo naweza kuja hapa.

Nilishamuuliza huko alikoitoa hiyo screenshot, akashindwa kunijibu, nikamwambia utakatifu ni neno lenye mzizi wa kutakata, hata nguo tunafua zinatakata, tunaondoa uchafu na madoa bila imani ya Mungu wala msahafu.

Akakimbia mjadala anakuja huku kuanzisha thread kwa jina langu, cheap bullshyt.

Nyege za kutumia jina la Kiranga kuanzisha thread tu!


Bro katika lugha kuna maneno maalumu kwa wakati maalumu na kwa kazi maalumu.

Ni kweli mzizi wa tamko takatifu ni kutakata au kutakasika. Ila tamko takatifu ni tamko hasa kwa lengo fulani.

Sasa umetolea mfano wa nguo. Embu tunga sentensi ijumuishayo neno nguo na takamko takatifu ili ilete maana.

Tanbihi,hakikisha sifa takatifu iende kwenye nguo.

Hivi nguo ikitakata husemwa ni takatifu ? Bro ! Unasafari ndefu ya maalumati.

Nasubiri sentensi.
 
Unataka kamusi?

Kamusi hii hapa.

Bishana nayo

Kamusi Kuu ya Kiswahili

Baraza la Kiswahili la Taifa. Longhorn Publishers Limited. Toleo la 2015.

Ukurasa wa 977

Takata

Kitendo cha kitu kama nguo kuwa safi bila hata uchafu kidogo.

Safi, kuwa safi

Takatia, takatisha, takatika n.k
Sasa hii maana yako iweke ktk muktadha wa NDOA NI AGANO TAKATIFU.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro katika lugha kuna maneno maalumu kwa wakati maalumu na kwa kazi maalumu.

Ni kweli mzizi wa tamko takatifu ni kutakata au kutakasika. Ila tamko takatifu ni tamko hasa kwa lengo fulani.

Sasa umetolea mfano wa nguo. Embu tunga sentensi ijumuishayo neno nguo na takamko takatifu ili ilete maana.

Tanbihi,hakikisha sifa takatifu iende kwenye nguo.

Hivi nguo ikitakata husemwa ni takatifu ? Bro ! Unasafari ndefu ya maalumati.

Nasubiri sentensi.
Kwa hiyo utakatifu hauwezekani moaka uwe unahusu Mungu?

Unaelewa Buddha ni mtakatifu katika Buddhism na Buddhists hawaamini katika kuwapo kwa Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo utakatifu hauwezekani moaka uwe unahusu Mungu?

Unaelewa Buddha ni mtakatifu na Buddhists hawaamini katika kuwapo kwa Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app


Naona unakuja ninapo pataka. Kabla sijaendelea kwanza kiri hujajibu swali langu nililo kuuliza.

Pili,utukufu wa mabudha ni ubabatifu juu ya tamko utukufu. Kwani ubudha umejengwa katika misingi ya ushirikina na ujinga. Kwa maana hakuna utakatifu wa hakika katika ubudha kama ilivyo dhulma ya maneno mengine yafanyiwavyo.

Pili utakatifu hauji kama kama wengi wanavyojua. Hapa naweka akiba ya kukupa faida baada ya kujibu swali langu nililo kuuliza hapo kabla.
 
Kwa hiyo utakatifu hauwezekani moaka uwe unahusu Mungu?

Unaelewa Buddha ni mtakatifu na Buddhists hawaamini katika kuwapo kwa Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Buddha ambaye wanamuita Mtakatifu, ndiye wanamuamini km Mungu wao na ndo maana wanamuita Mtakatifu.

Anyway, ungejibu swali kwa kutunga hiyo sentence uliyoambiwa

Pia ujue tu kwamba, neno Takatifu lina multiple meanings na kila moja hutumika ktk mazingira yake kipragmatiki.

Maana za neno Takatifu ni pamoja na : clean, clear, glorious, holy, pure, saint, sanctified.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unakuja ninapo pataka. Kabla sijaendelea kwanza kiri hujajibu swali langu nililo kuuliza.

Pili,utukufu wa mabudha ni ubabatifu juu ya tamko utukufu. Kwani ubudha umejengwa katika misingi ya ushirikina na ujinga. Kwa maana hakuna utakatifu wa hakika katika ubudha kama ilivyo dhulma ya maneno mengine yafanyiwavyo.

Pili utakatifu hauji kama kama wengi wanavyojua. Hapa naweka akiba ya kukupa faida baada ya kujibu swali langu nililo kuuliza hapo kabla.
La Kamusi ushalijibu kwanza?

Unaweza kuthibitusha huyo Mungu unayemsema yupo yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La Kamusi ushalijibu kwanza?

Unaweza kuthibitusha huyo Mungu unayemsema yupo yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app


Bro jaribu kufata nidhamu za kujadiliana kati yangu mimi na wewe mimi ndio nilianza kukuuliza swali. Wewe hukujibu ukaniuliza mimi swali.

Kuhusu la kamusi umejadiliana na mwingine sio mimi.

Jibu swali langu kisha,uulize suala lingine. Ama kuhusu uwepo wa Mola hili halihitaji mjadala mzee,jambo liko wazi tena sahali na limeshajadiliwa mara kibao.

Ninakukumbusha tu,mimi ndie yule niliyekupa masharti ya kufata ili tujadiliane kuhusu uwepo uwepo wa Mola,lakini unajua ulikoishia. Kwa ufupi huwezi kujadiliana na mimi kielimu juu ya uwepo wa Mola.

Turudi kwenye mada.
 
Bro jaribu kufata nidhamu za kujadiliana kati yangu mimi na wewe mimi ndio nilianza kukuuliza swali. Wewe hukujibu ukaniuliza mimi swali.

Kuhusu la kamusi umejadiliana na mwingine sio mimi.

Jibu swali langu kisha,uulize suala lingine. Ama kuhusu uwepo wa Mola hili halihitaji mjadala mzee,jambo liko wazi tena sahali na limeshajadiliwa mara kibao.

Ninakukumbusha tu,mimi ndie yule niliyekupa masharti ya kufata ili tujadiliane kuhusu uwepo uwepo wa Mola,lakini unajua ulikoishia. Kwa ufupi huwezi kujadiliana na mimi kielimu juu ya uwepo wa Mola.

Turudi kwenye mada.
Wewe una mamlaka gani ya kunipa mimi masharti ya kufuata?

Kinachokupa kiburi cha kufikiri kwamba wewe unaweza kunipa mimi masharti ya kufuata ni kipi?

Nimekujibu swali lako, tatizo, ukiliona jibu utalitambua hili ndilo jibu?

Unaweza kuthibitisha huyo Mungu wako ambaye ndiyo chemko la utakatifu, kiasi kwamba tukisema utakatifu lazima uwe unamhusu yeye, yupo kweli?

Unaweza kuthibitisha Mungu wako yupo na si hadithi tu?
 
Ndoa ni agano lisilostahili uchafu, watu wanaweza kuendekeza uchafu (infidelity) katika ndoa dunia nzima ikaisha kwa UKIMWI.

Huna haja ya Mungu wala dini kuona hilo.
Hii idea ya ndoa ni agano Takatifu imetoka kwa nani? Uchafu unaouzungumzia kuwa hautakiwi kwenye ndoa ni upi haswa na ni nani aliyesema hivyo ni uchafu kwenye ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo naweza kuja hapa.

Nilishamuuliza huko alikoitoa hiyo screenshot, akashindwa kunijibu, nikamwambia utakatifu ni neno lenye mzizi wa kutakata, hata nguo tunafua zinatakata, tunaondoa uchafu na madoa bila imani ya Mungu wala msahafu.

Akakimbia mjadala anakuja huku kuanzisha thread kwa jina langu, cheap bullshyt.

Nyege za kutumia jina la Kiranga kuanzisha thread tu!
Sasa mkuu Kiranga swala la ndoa ni utakatifu kwa nyie anthiet linakuaje hili ni utakatifu gani uliouongelea hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu Kiranga swala la ndoa ni utakatifu kwa nyie anthiet linakuaje hili ni utakatifu gani uliouongelea hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakatifu wa kutotombana tombana ovyo na kuepuka UKIMWi ili damu ya mtu isiathirike na magonjwa iwe safi kwa mfano.

Nikisema ndoa ni agano takatifu lisilotaka uchafu (infidelity) uchafubutaleta matatizo kwenye ndoa juanzia ya kisaikolojia moaka magonjwa.

Hapo bado namuhitaji Mungu na dini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo naweza kuja hapa.

Nilishamuuliza huko alikoitoa hiyo screenshot, akashindwa kunijibu, nikamwambia utakatifu ni neno lenye mzizi wa kutakata, hata nguo tunafua zinatakata, tunaondoa uchafu na madoa bila imani ya Mungu wala msahafu.

Akakimbia mjadala anakuja huku kuanzisha thread kwa jina langu, cheap bullshyt.

Nyege za kutumia jina la Kiranga kuanzisha thread tu!
kumbe huu uzi ni mwendelezo aya mkuu mleta uzi Kiranga kashakuja mjibu sasa maana nilikutaadharisha mapema
 
Siyo naweza kuja hapa.

Nilishamuuliza huko alikoitoa hiyo screenshot, akashindwa kunijibu, nikamwambia utakatifu ni neno lenye mzizi wa kutakata, hata nguo tunafua zinatakata, tunaondoa uchafu na madoa bila imani ya Mungu wala msahafu.

Akakimbia mjadala anakuja huku kuanzisha thread kwa jina langu, cheap bullshyt.

Nyege za kutumia jina la Kiranga kuanzisha thread tu!
kumbe huu uzi ni mwendelezo aya mkuu mleta uzi Kiranga kashakuja mjibu sasa maana nilikutaadharisha mapema
 
Back
Top Bottom