CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

Nimekujibu mpaka kukupa ukurasa wa kamusi. Kwa etymology.
Unaelewa etymology ni nini?
Wewe nimekutaka uthibitishe kwamba huyo Mungu ambaye unadai utakatifu wa ndoa unatoka kwake yupo.
Umeshindwa.
Huna hoja.
Etymology is the study of words by tracking their origin and how they've changed throughout history

anyway usikimbie swali ww hujanipa maana ya neno HOLY[takatifu] bali umenipa maana ya clean[takata]
toa maana ya neno HOLY ndio tuendelee
 
Etymology is the study of words by tracking their origin and how they've changed throughout history

anyway usikimbie swali ww hujanipa maana ya neno HOLY[takatifu] bali umenipa maana ya clean[takata]
toa maana ya neno HOLY ndio tuendelee
Yani hata baada ya kukulazimisha utafute maana ya etymology unauliza swali hili?

Unaelewa etymology nini?

Au ume copy paste tu?
 
Yani hata baada ya kukulazimisha utafute maana ya etymology unauliza swali hili?
Unaelewa etymology nini?
Au ume copy paste tu?
[emoji117]Nilifikiri kiranga ni mtu mwenye IQ kubwa,kumbe ni scarecrow Tu ,aliye na ujuzi mkubwa wa kudodge na kukimbia maswali aliyo ulizwa kwa kupachika maswali yake yasiyo maana{e.g mantiki ni nini,Etymology ni nini}
ambayo hata akijibiwa anaendelea na ubishi bila kujibu previous questions

kiranga is a non reasoning fool,imbecile,idiot[emoji22]

kama mm muongo jibu swali langu nq sio kuongeza swali juu ya swali [emoji10]
 
[emoji117]Nilifikiri kiranga ni mtu mwenye IQ kubwa,kumbe ni scarecrow Tu ,aliye na ujuzi mkubwa wa kudodge na kukimbia maswali aliyo ulizwa kwa kupachika maswali yake yasiyo maana{e.g mantiki ni nini,Etymology ni nini}
ambayo hata akijibiwa anaendelea na ubishi bila kujibu previous questions

kiranga is a non reasoning fool,imbecile,idiot[emoji22]

kama mm muongo jibu swali langu nq sio kuongeza swali juu ya swali [emoji10]

Kujadiliana na mjinga ni jambo gumu sana kama kuusimamisha muda.

Huyo achana nae atakupotezea muda na hana analo lijua lolote juu ya kamusi wala misingi ya lugha.

Alivyo tangu siku za nyuma ndivyo alivyo hivi leo,akiona swali au hoja ni ngumu badala ya kukosoa au kujibu hoja ana uliza tena swali.

Kule nyuma nilimjibu kuhusu mantiki alivyo ona amekosa pakutokea akauliza tena swali. Yaani ana haha.
 
Bro katika lugha kuna maneno maalumu kwa wakati maalumu na kwa kazi maalumu.

Ni kweli mzizi wa tamko takatifu ni kutakata au kutakasika. Ila tamko takatifu ni tamko hasa kwa lengo fulani.

Sasa umetolea mfano wa nguo. Embu tunga sentensi ijumuishayo neno nguo na takamko takatifu ili ilete maana.

Tanbihi,hakikisha sifa takatifu iende kwenye nguo.

Hivi nguo ikitakata husemwa ni takatifu ? Bro ! Unasafari ndefu ya maalumati.

Nasubiri sentensi.
Kwaiyo na MTAKATIFU PAPA BENEDICT 16 nae ni Mungu???
Kiranga
 
Huyo Buddha ambaye wanamuita Mtakatifu, ndiye wanamuamini km Mungu wao na ndo maana wanamuita Mtakatifu.

Anyway, ungejibu swali kwa kutunga hiyo sentence uliyoambiwa

Pia ujue tu kwamba, neno Takatifu lina multiple meanings na kila moja hutumika ktk mazingira yake kipragmatiki.

Maana za neno Takatifu ni pamoja na : clean, clear, glorious, holy, pure, saint, sanctified.



Sent using Jamii Forums mobile app
Na papa wa kanisa la Roma nae ni Mungu? Mbona wanamwita mtakatifu?

Kiranga
 
[emoji117]Nilifikiri kiranga ni mtu mwenye IQ kubwa,kumbe ni scarecrow Tu ,aliye na ujuzi mkubwa wa kudodge na kukimbia maswali aliyo ulizwa kwa kupachika maswali yake yasiyo maana{e.g mantiki ni nini,Etymology ni nini}
ambayo hata akijibiwa anaendelea na ubishi bila kujibu previous questions

kiranga is a non reasoning fool,imbecile,idiot[emoji22]

kama mm muongo jibu swali langu nq sio kuongeza swali juu ya swali [emoji10]

Tatizo unafikirifikiri tu bila mpango.

Habari nzima ya IQ ni a big fad.

Go read Jared Diamond's Pulitzer prize winning book where he writes on this subject katika "Guns, Germs and Steel: The Fates of Human Societies"

Unaelewa hilo?

Umeshindwa au umekataa kuona mzizzi wa takatifu kutoka katika takata, na kwamba takata si habari ya Mungu tu, hata nguo inatakata.

Huyo Mungu unayemsema hata huwezi kuthibitisha yupo.

Huna hoja ya kujadiliana nami.

Na kwa vile ushaanza matusi yasiyo na msingi wala tija, badala ya kukutukana pia, nakuweka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Naaaaaaam

Ndugu wanajamvi,

Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.

Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.

Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu mrembo Shombe aliyetokea kunihusudu mimi mume wa mtu.

Naona kama ndoto.. Mtoto Shombe Shombe kazama kwangu, kanichagua kati ya wengi.. Nami nina mke - JamiiForums

Kiranga alijitokeza na kunipa ushauri ambao moja kwa moja ni ushauri wa Kimungu. Maneno aliyoyasema Kiranga ni hayo hapo chini kwenye screenshot.

Kiranga ktk ushauri wake huo alisema kuwa, ' NDOA NI AGANO TAKATIFU '.

Sasa kwa hali ya kawaida, ni atheist gani anaamini ktk utakatifu?? Utakatifu huo anauamini kutoka kwa nani?

Ni dhahiri kabisa huyu jamaa anamwamini Mungu maana utakatifu hautoki popote zaidi ya kwa Mungu.

Siku zote anatuigizia hapa, leo kajianika mwenyewe.

View attachment 846447

Sent using Jamii Forums mobile app
"Ni agano takatifu ". Tupate tafsiri ya neno agano ili tujue kama takatifu inayozungumzwa hapa Ni takatifu ya Kimungu/Kiroho. Maana hapa Mtoa mada anazungumzia takatifu wa kiroho (hollyness) na kiranga anazungumzia utakatifu wa vitu (cleanness) japo ameamua kupindisha kwa maksudi.
 
Umeshindwa au umekataa kuona mzizzi wa takatifu kutoka katika takata, na kwamba takata si habari ya Mungu tu, hata nguo inatakata.
Niliwahi kukupa kazi ya kutunga sentensi ambayo kuna tamko "takatifu" na kuna nguo,ikiwa takatifu ni sifa inayorudi kwenye nguo. Hili swali hukulijibu na hauta weza kujibu.

Unachotakiwa kujifunza au kujua,maneno hasa kimaana yana sehemu yake na makusudio yake maalumu kulingana na muktadha wa hali,ndio maana kuna istilahi za kifani na istilahi za kilugha,mfano ukimuuliza mkemia maji ni nini kulingana na fahi husika atakujibu kinyume na mtu wa kawaida atakavyo arifisha tamko maji,huu ni mfano wa maana na kuna mfano wa matumizi kama kutumia tamko takatifu katika kitu ambacho kielezewa kwa sifa ya takata au usafi. Ziada ni kuwa tamko "takatifu" ni tamko la kisheria na lina gusa maana maalumu na ai tamko linalo arifiwa kilugha tu. Ndio maana ulishindwa kunga ile sentensi niliyokupa sababu nguo haisifiwi kwa tamko "takatifu".

Muda mali sana,na kupoteza muda katika jambo lisilo wezekana ni uhayawani wa kupigiwa mfano.

Nipo .......
 
Tatizo unafikirifikiri tu bila mpango.
Habari nzima ya IQ ni a big fad.
Go read Jared Diamond's Pulitzer prize winning book where he writes on this subject katika "Guns, Germs and Steel: The Fates of Human Societies"
Unaelewa hilo?
Umeshindwa au umekataa kuona mzizzi wa takatifu kutoka katika takata, na kwamba takata si habari ya Mungu tu, hata nguo inatakata.
Huyo Mungu unayemsema hata huwezi kuthibitisha yupo.
Huna hoja ya kujadiliana nami.
Na kwa vile ushaanza matusi yasiyo na msingi wala tija, badala ya kukutukana pia, nakuweka ignore list.
Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Mimi sijakuuliza maana ya takata nimeuliza Takatifu

Anyway lazima akimbie,amekosa reasoning capacity

anakazania kujibu maana ya takata badala ya Takatifu,

atheists ni wapuuzi wasio jua sababu za msimamo wao
 
Back
Top Bottom