Enlightened one
JF-Expert Member
- Jun 20, 2019
- 349
- 191
Etymology is the study of words by tracking their origin and how they've changed throughout historyNimekujibu mpaka kukupa ukurasa wa kamusi. Kwa etymology.
Unaelewa etymology ni nini?
Wewe nimekutaka uthibitishe kwamba huyo Mungu ambaye unadai utakatifu wa ndoa unatoka kwake yupo.
Umeshindwa.
Huna hoja.
anyway usikimbie swali ww hujanipa maana ya neno HOLY[takatifu] bali umenipa maana ya clean[takata]
toa maana ya neno HOLY ndio tuendelee