Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Serkali baadhi ya maeneo na yako mengi so hilo ulilosema lipo sanaAma kweli tembea uone!
Congo DR, ni sehemu ambayo maeneo mengi ili ufanikiwe kutoboa, ni lazima uwe umehitimu ubabe kwa zaidi ya alama 1000%.
DR, ndilo eneo ambalo maovu, umafia na hata unyama hutendwa hadharani!
Mfano, mgeni usafiripo kwa kupitia mpaka wa Kasumbalesa kwa roli kwenda Lubumbashi, na hata mbele zaidi- hakika uwe sawa kisaikolojia kwa matukio ya kibabe kutoka kwa watoto wa mbwa!
Mateso utayoyashuhudia kuanzia Kasumbalesa na kuendelea, hayasimuliki!
Eneo la urefu wa kilomita mia, usishangae ukatumia wiki na hata mwezi kufika.
Congo DR, ndipo eneo ukibanwa na wamba unaweza uchague ima wachukue kila kitu ndani ya gari ama wewe ufanywe vipande vya nyama na gari ibaki ili iwe shuhuda wa ulikuwa nayo Duniani.
Itoshe kusema, huenda shetani akiwa anaongea na simu husimama DR na kutoa maelekezo. Na hata yeye ( shetani ) usishangae huwa anajiuliza mara mbilimbili kutua hapo.
Ulishajiuliza kwa nini Yesu harejei kama alivyo sema? Huenda jawabu lipo Congo na matukio yake ya kinyama!
Anzia Lubumbashi hadi Kamoto, hakika wewe kama ni mtu lege lege- sikushauri uende!
DR, ndiyo mahali unaweza kufumba macho uombe ile unafumbua, unakutana na kope chini!
DR, wewe mwenye miaka 40 kuchinjwa na kitoto cha miaka 10, wala siyo ajabu. Ila ni ajabu ni endapo kitoto cha miaka 10 kitashindwa kukuchinja wewe mwenye miaka 40.
Congo [emoji119]!
Hakika, Congo siyo Kongowe.
Grand barrier unasema pa kijinga?! Je, ungekutana na ubabe wa Petit barrier?!Hivi bado mtanzania anahitajika kuwa na visa kuingia DRC?. Mwanzoni mwa mwaka huu nikiwa Gisenyi Rwanda nilipanga kuingia Goma, ubabe nilioukuta kule "Grand barrier" kulinifanya niachane na mpango huo.
Nitarudi huko tena mwakani nikiwa nimejipanga kisawa sawa.
View attachment 2680551
Akuogopeshe nani sasa? Wewe si wa kiume, nenda ukajionee.Acha kuogopeshana
Machafuko ya congo=uchawa wa ccm🤔🤔🤔🙄🙄CHAWA huyo wa fisiemu, anatetea mkataba wa MILELE wa bandari ili ajipatie riziki yake
Wangepata kiongozi kama Magu pengine ingewasaidia sana!Wameshindwa kazi, inabidi waondolewe
Hawezi kukupa sababu,maana hajuiHujatupa sababu kwanini kupo hivyoo!??
Si kweli ,twende mie nakuhakikishia ulinzi mwanzo mwisho, na kufikisha hadi kwa wabongo wenzio wanafanya biashara na waliowekeza congo uongee nao haya unayosemaCongo ni kama hakuna serikali
MmmhKwawalioenda Congo walinisimulia Kule Ni nuksi tupu hawananga huruma wale jamaa Si watoto, wakubwa, polisi au jeshi kote wamaweza kukugeuzia kibao mda wwte ule
Yule kakuta nchi umejaa makondoo ndio maana alijifanya mbabe.Wangepata kiongozi kama Magu pengine ingewasaidia sana!