Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Tshombe alihusika.R.I.P Patrice Lumumba balaa lilianzia baada ya kuuwawa Lumumba kwa usaliti wa kina Mobutu.
Kuna watu wamechagua DRC iwe hivyo ili isiweze kusimamia madini yake. Kwa namna ilivyo na serikali isiyo na nguvu katika eneo lote la nchi ndivyo wengine wanavyonufaika.Ama kweli tembea uone!
Congo DR, ni sehemu ambayo maeneo mengi ili ufanikiwe kutoboa, ni lazima uwe umehitimu ubabe kwa zaidi ya alama 1000%.
DR, ndilo eneo ambalo maovu, umafia na hata unyama hutendwa hadharani!
Mfano, mgeni usafiripo kwa kupitia mpaka wa Kasumbalesa kwa roli kwenda Lubumbashi, na hata mbele zaidi- hakika uwe sawa kisaikolojia kwa matukio ya kibabe kutoka kwa watoto wa mbwa!
Mateso utayoyashuhudia kuanzia Kasumbalesa na kuendelea, hayasimuliki!
Eneo la urefu wa kilomita mia, usishangae ukatumia wiki na hata mwezi kufika.
Congo DR, ndipo eneo ukibanwa na wamba unaweza uchague ima wachukue kila kitu ndani ya gari ama wewe ufanywe vipande vya nyama na gari ibaki ili iwe shuhuda wa ulikuwa nayo Duniani.
Itoshe kusema, huenda shetani akiwa anaongea na simu husimama DR na kutoa maelekezo. Na hata yeye ( shetani ) usishangae huwa anajiuliza mara mbilimbili kutua hapo.
Ulishajiuliza kwa nini Yesu harejei kama alivyo sema? Huenda jawabu lipo Congo na matukio yake ya kinyama!
Anzia Lubumbashi hadi Kamoto, hakika wewe kama ni mtu lege lege- sikushauri uende!
DR, ndiyo mahali unaweza kufumba macho uombe ile unafumbua, unakutana na kope chini!
DR, wewe mwenye miaka 40 kuchinjwa na kitoto cha miaka 10, wala siyo ajabu. Ila ni ajabu endapo kitoto cha miaka 10 kitashindwa kukuchinja wewe mwenye miaka 40.
Umafia uliopo DR, siyo makalio eti kila mtu anayo.
Congo, 🙌!
Hakika, Congo siyo Kongowe.
Imezidi,kuna mahali hata rais hajui km ni humo nchini kwake anaongoza.Kwamba misitu imezidi idadi ya watu?
DuhNa Tshombe alihusika.
Hii habari ya RT juu ya Congo na Lumumba inauma sana
===
![]()
'We have suffered because we were Negroes': It took this man 200 days to become a legend in the fight against Western exploitation
Sixty-three years ago, the first prime minister of an independent Congo, Patrice Lumumba, was brutally murdered on the orders of the Westwww.rt.com
Kwa hatua za kuwanyonga hao vibaka huenda italeta unafuu.hii nchi ili ipone inahitaji igeuzwe military base nchi nzimaa
Nchi ni kubwa kuliko Marekani a urusi ? Ni ujinga wa wasfrika!Sababu ni ukubwa wa nchi... Na sehemu kubwa kuna misitu ya giza..
DRC kuna sehemu nyingine Serikali hawana habari napo
Umeamini?Congo hatari tupu
Eneo kubwa ni pori.Nchi ni kubwa kuliko Marekani a urusi ? Ni ujinga wa wasfrika!
Hatari tupu.Imezidi,kuna mahali hata rais hajui km ni humo nchini kwake anaongoza.
Hiyo nchi kumbe ni kubwa sana kuzidi USA aisee noma sana,Nchi ni kubwa kuliko Marekani a urusi ? Ni ujinga wa wasfrika!
Wewee hatari sana aiseeImezidi,kuna mahali hata rais hajui km ni humo nchini kwake anaongoza.
South Sudan ni ka Nchi kadogo sana, hata Jimbo la Katanga linaizidi South Sudan kwa ukubwa wa Eneo.Toka nakua mpaka Leo ni Kongo au Sudan ni vita tu na Mweshimiwa ninaemjua ni Sariva kiirl mpaka Leo hakuiishi vita tu
Ni nchi kubwa sana kuliko uchumi wa DRC...Nchi ni kubwa kuliko Marekani a urusi ? Ni ujinga wa wasfrika!