Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
ohooo!Wewe Choko umenifuata na huku? Kama hujui maana ya umuhimu wa bandari mlaumu mama yako kwa kukuzalia baa na kuishia kuchunga mbuzi baada ya kutelekezwa na baba yako, kumbafu wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohooo!Wewe Choko umenifuata na huku? Kama hujui maana ya umuhimu wa bandari mlaumu mama yako kwa kukuzalia baa na kuishia kuchunga mbuzi baada ya kutelekezwa na baba yako, kumbafu wewe
Mtoto amezaliwa baa na kuishia kuchunga mbuzi atajulia wapi umuhimu wa bandari? Nchi hii kuna MAZUZU wengi sanaohooo!
Waingie mkataba na dpwWameshindwa kazi, inabidi waondolewe
Uongo, sababu za kuwepo kwa vurugu zisizoisha nchini Congo DRC au Zaire siyo ukubwa wa nchi Bali ni KUKOSA AKILI NZURI KWA WATU WEUSI WENGI HAPA DUNIANI.Sababu ni ukubwa wa nchi... Na sehemu kubwa kuna misitu ya giza..
DRC kuna sehemu nyingine Serikali hawana habari napo
Aiseee!Uongo, sababu za kuwepo kwa vurugu zisizoisha nchini Congo DRC au Zaire siyo ukubwa wa nchi Bali ni KUKOSA AKILI NZURI KWA WATU WEUSI WENGI HAPA DUNIANI.
Tatizo lililopo Congo DRC pia lipo karibu katika nchi zingine zote za Afrika, na hata kwenye baadhi ya nchi zingine zilizopo nje ya Afrika ambazo zinatawaliwa na watawala weusi wenye asii ya Afrika.
Si tu roho mbaya bali wana uishi ubaya!Wana roho mbaya sana...
Ndugu yangu hao wapo mjini mjini na tambua alipo shetani na malaika huwa.Naona umeandika kwa uchungu sana japo umeandika kwa upande mmoja tu wa Kongo...
Ila ujue kuna watz wengi kule tena wakawaida tu na wengi wamepatia maisha.
Kuna washikaji wanasafirisha mazao na bidhaa nyingine kwenda kongo na kurudi na bidhaa zingine vikiwemo vitenge na wapo vizuri.
Ila ni ukweli Nchi haijatulia ila ujue sio yote yenye hayo matatizo ya Unyama!....
Du!Sasa nikueleze tu mji wa kisavu kunawaka toka juzi akupitiki ni mapanga tu
Ubeligiji ndo mother wa hayo yoteAma kweli tembea uone!
Congo DR, ni sehemu ambayo maeneo mengi ili ufanikiwe kutoboa, ni lazima uwe umehitimu ubabe kwa zaidi ya alama 1000%.
DR, ndilo eneo ambalo maovu, umafia na hata unyama hutendwa hadharani!
Mfano, mgeni usafiripo kwa kupitia mpaka wa Kasumbalesa kwa roli kwenda Lubumbashi, na hata mbele zaidi- hakika uwe sawa kisaikolojia kwa matukio ya kibabe kutoka kwa watoto wa mbwa!
Mateso utayoyashuhudia kuanzia Kasumbalesa na kuendelea, hayasimuliki!
Eneo la urefu wa kilomita mia, usishangae ukatumia wiki na hata mwezi kufika.
Congo DR, ndipo eneo ukibanwa na wamba unaweza uchague ima wachukue kila kitu ndani ya gari ama wewe ufanywe vipande vya nyama na gari ibaki ili iwe shuhuda wa ulikuwa nayo Duniani.
Itoshe kusema, huenda shetani akiwa anaongea na simu husimama DR na kutoa maelekezo. Na hata yeye ( shetani ) usishangae huwa anajiuliza mara mbilimbili kutua hapo.
Ulishajiuliza kwa nini Yesu harejei kama alivyo sema? Huenda jawabu lipo Congo na matukio yake ya kinyama!
Anzia Lubumbashi hadi Kamoto, hakika wewe kama ni mtu lege lege- sikushauri uende!
DR, ndiyo mahali unaweza kufumba macho uombe ile unafumbua, unakutana na kope chini!
DR, wewe mwenye miaka 40 kuchinjwa na kitoto cha miaka 10, wala siyo ajabu. Ila ni ajabu endapo kitoto cha miaka 10 kitashindwa kukuchinja wewe mwenye miaka 40.
Umafia uliopo DR, siyo makalio eti kila mtu anayo.
Congo, 🙌!
Hakika, Congo siyo Kongowe.