Congo DR ni sehemu ambayo hata shetani hujiuliza mara mbili kwenda

Congo DR ni sehemu ambayo hata shetani hujiuliza mara mbili kwenda

Sababu ni ukubwa wa nchi... Na sehemu kubwa kuna misitu ya giza..

DRC kuna sehemu nyingine Serikali hawana habari napo
Uongo, sababu za kuwepo kwa vurugu zisizoisha nchini Congo DRC au Zaire siyo ukubwa wa nchi Bali ni KUKOSA AKILI NZURI KWA WATU WEUSI WENGI HAPA DUNIANI.
Tatizo lililopo Congo DRC pia lipo karibu katika nchi zingine zote za Afrika, na hata kwenye baadhi ya nchi zingine zilizopo nje ya Afrika ambazo zinatawaliwa na watawala weusi wenye asii ya Afrika.
Mbona Marekani ni nchi kubwa sana kwa geographical area lakini mbona hakuna mapigano kama Congo DRC????
 
Uongo, sababu za kuwepo kwa vurugu zisizoisha nchini Congo DRC au Zaire siyo ukubwa wa nchi Bali ni KUKOSA AKILI NZURI KWA WATU WEUSI WENGI HAPA DUNIANI.
Tatizo lililopo Congo DRC pia lipo karibu katika nchi zingine zote za Afrika, na hata kwenye baadhi ya nchi zingine zilizopo nje ya Afrika ambazo zinatawaliwa na watawala weusi wenye asii ya Afrika.
Aiseee!
 
Naona umeandika kwa uchungu sana japo umeandika kwa upande mmoja tu wa Kongo...
Ila ujue kuna watz wengi kule tena wakawaida tu na wengi wamepatia maisha.
Kuna washikaji wanasafirisha mazao na bidhaa nyingine kwenda kongo na kurudi na bidhaa zingine vikiwemo vitenge na wapo vizuri.
Ila ni ukweli Nchi haijatulia ila ujue sio yote yenye hayo matatizo ya Unyama!....
Ndugu yangu hao wapo mjini mjini na tambua alipo shetani na malaika huwa.
 
Pia nasikia wana tabia ya kufira wageni wao huwezi kuwa mgeni mpaka wakuingilie kama ilivyokuwa kwa wenyeji wa sadoma wakijua u mgeni katika malango yao wanataka wakujue
 
Sasa nikueleze tu mji wa kisavu kunawaka toka juzi akupitiki ni mapanga tu
 
1 September 2023, vikwazo vya Visa vimetolewa kwa raia wa Tanzania kuingia Congo na kinyume chake ni ukweli.
 
Ama kweli tembea uone!

Congo DR, ni sehemu ambayo maeneo mengi ili ufanikiwe kutoboa, ni lazima uwe umehitimu ubabe kwa zaidi ya alama 1000%.

DR, ndilo eneo ambalo maovu, umafia na hata unyama hutendwa hadharani!

Mfano, mgeni usafiripo kwa kupitia mpaka wa Kasumbalesa kwa roli kwenda Lubumbashi, na hata mbele zaidi- hakika uwe sawa kisaikolojia kwa matukio ya kibabe kutoka kwa watoto wa mbwa!

Mateso utayoyashuhudia kuanzia Kasumbalesa na kuendelea, hayasimuliki!

Eneo la urefu wa kilomita mia, usishangae ukatumia wiki na hata mwezi kufika.

Congo DR, ndipo eneo ukibanwa na wamba unaweza uchague ima wachukue kila kitu ndani ya gari ama wewe ufanywe vipande vya nyama na gari ibaki ili iwe shuhuda wa ulikuwa nayo Duniani.

Itoshe kusema, huenda shetani akiwa anaongea na simu husimama DR na kutoa maelekezo. Na hata yeye ( shetani ) usishangae huwa anajiuliza mara mbilimbili kutua hapo.

Ulishajiuliza kwa nini Yesu harejei kama alivyo sema? Huenda jawabu lipo Congo na matukio yake ya kinyama!

Anzia Lubumbashi hadi Kamoto, hakika wewe kama ni mtu lege lege- sikushauri uende!

DR, ndiyo mahali unaweza kufumba macho uombe ile unafumbua, unakutana na kope chini!

DR, wewe mwenye miaka 40 kuchinjwa na kitoto cha miaka 10, wala siyo ajabu. Ila ni ajabu endapo kitoto cha miaka 10 kitashindwa kukuchinja wewe mwenye miaka 40.

Umafia uliopo DR, siyo makalio eti kila mtu anayo.

Congo, 🙌!

Hakika, Congo siyo Kongowe.
Ubeligiji ndo mother wa hayo yote
 
Back
Top Bottom