Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Mbona hata Sasa hivi DR Congo kuna Serikali za Majimbo.

Tatizo la DR Congo siyo kukosekana kwa Serikali za Majimbo, bali tatizo ni KUKOSEKANA KWA WATU WENYE AKILI NZURI ZA KUWEZA KUWAONGOZA VIZURI WATU WENGINE. Tatizo hili lipo karibia katika nchi zote kabisa za Afrika.
Endapo kama kungekuwa na Watu au Viongozi wa nchi wenye upeo mkubwa, wenye akili nzuri kabisa ya Kiuongozi, Basi DRC na Afrika yote kabisa kwa ujumla wake pangekuwa Mahali pazuri zaidi pa kuishi hapa duniani.
Afrika inakufa kwa sababu kuna Watawala Waovu na wasio na akili nzuri ambao Wamekuwa Wakiwatawala Watu badala ya Kuwaongoza.

Kumbuka kauli hii ya Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliyesema kwamba "Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people.They are still under the process of becoming the complete human beings."
Chat GPT

Hapana, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) haina mfumo wa shirikisho (federal system) kama Marekani. Badala yake, DRC ina mfumo wa serikali ya umoja (unitary state) yenye ugatuzi (decentralization).

Hii inamaanisha kuwa, ingawa DRC imegawanywa katika majimbo 26 (provinces), mamlaka kuu bado ipo katika serikali ya kitaifa inayopatikana Kinshasa. Hata hivyo, katiba ya DRC (ya 2006) inaruhusu ugatuzi wa madaraka kwa majimbo haya, lakini si kwa kiwango cha serikali za majimbo kama ilivyo Marekani, ambapo majimbo yana mamlaka makubwa ya kujitawala, ikiwa ni pamoja na kutunga sheria zao wenyewe.

Katika DRC, majimbo yana magavana na mabunge ya mikoa, lakini bado yanategemea serikali kuu kwa maamuzi makubwa na rasilimali. Mfumo huu wa ugatuzi umekuwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na mgawanyo wa rasilimali na mamlaka kati ya serikali kuu na majimbo.
 
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno

Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.

DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.

Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Kweli ile nchi ina wajinga wengi sana. Tshekedi alipoingia madarakani alitakiwa kuanza kuunda jeshi jipya lenye nidhamu na maslahi bora kwa kushirikiana na nchi za SADC. Kwa utajiri wa Congo angeweza kukopa mkopo hata bank ya Africa kwa ajili ya jeshi jipya tu lenye wanajeshi wa kutosha wasiopungua milioni moja. Operation ya kuisafisha Congo ingefanyika kwa muda mfupi sana.

Ujinga wa wakongo unachangiwa na serikali. Serikali ndio inawaunganisha watu. Inaonekana wakongo hawana hisia za utaifa na kila jimbo fulani watu wake wanajifikiria kivyao na kuona mambo ya jimbo fulani hayawahusu.
 
Kiasi tunaishangaa Kongo iliyofikishwa hapo ilipo na Wanasiasa wake na sisi bila katiba mpya ili tujenge Taasisi imara zisizokuwa Chawa wa Raisi tutafikia huko huko ilipofika DRC.
 
Kiasi tunaishangaa Kongo iliyofikishwa hapo ilipo na Wanasiasa wake na sisi bila katiba mpya ili tujenge Taasisi imara zisizokuwa Chawa wa Raisi tutafikia huko huko ilipofika DRC.
Unayemshauri hivi ni Kagame au nani?
 
Imagine bandari Salama inavyoitegemea DRC ila Tz ipo imelala unono😀😀😀 mteja wake mkubwa hapo bandarini anatomaswatomaswa!!!
kiuifupi ni kwamba TZ ilibidi tuwe na mshikamano na Burundi, Malawi, Zambia na Congo DRC.

EAC miyeyusho sana, tunanyonywa tu na KE na RW. Wakati wao ni beneficiaries wa mgogoro DRC. UG yupo tu, hana cha kutunyonya.

Yani huo mchele unaoenda UG na South Sudan, ungeweza ishia DRC.

Hayo mahindi yanayoenda KE, yangeweza ishia DRC.

Zimbabwe anakomaa sana kulima mahindi ila soko kubwa ni DRC.
 
Kongo unahitaji serikali ya Majimbo ... Haiwezekani maeneno Tajiri yapo mbali sana na hakuna maendeleo lakini Kinshasa inatajirika na kupata maendeleo.. Congo DRC inahitaji utawala style ya USA kila jimbo kujitegemea linchi likubwa sana
Congo ina serikali ya majimbo na hiyo inaweza kuwa moja ya sababu ya wakongo kutokuwa na umoja wa kitaifa. Nchi ikiwa na serikali ya majimbo maana yake kila jimbo linajitawala kisiasa na kiuchumi na watu wa kila jimbo wanakuwa na hisia za eneo walilopo na majimbo yenye utajiri yatataka utajiri ubakie hapo hapo, vipi kwa majimbo yasiyo na utajiri. Hadi hapo hakutakuwa na hisia za utaifa. Serikali inatakiwa iwe moja tu na imiliki kila kitu kama ilivyo Tanzania hata mikoa isiyo na utajiri inafikishiwa huduma muhimu kama maji, barabara kutoka kwenye mapato yaliyokusanywa kwenye mkoa mwingine.
 
Congo ina serikali ya majimbo na hiyo inaweza kuwa moja ya sababu ya wakongo kutokuwa na umoja wa kitaifa. Nchi ikiwa na serikali ya majimbo maana yake kila jimbo linajitawala kisiasa na kiuchumi na watu wa kila jimbo wanakuwa na hisia za eneo walilopo na majimbo yenye utajiri yatataka utajiri ubakie hapo hapo, vipi kwa majimbo yasiyo na utajiri. Hadi hapo hakutakuwa na hisia za utaifa. Serikali inatakiwa iwe moja tu na imiliki kila kitu kama ilivyo Tanzania hata mikoa isiyo na utajiri inafikishiwa huduma muhimu kama maji, barabara kutoka kwenye mapato yaliyokusanywa kwenye mkoa mwingine.
Kuwepo kwa Serikali za Majimbo nchini DRC siyo sababu ya kuibuka kwa Mgogoro huu uliopo huko.

Tatizo la DR Congo siyo kutokana na kuwepo kwa Serikali za Majimbo, bali tatizo ni KUKOSEKANA KWA WATU WENYE AKILI NZURI ZA KUWEZA KUWAONGOZA VIZURI WATU WENGINE. Tatizo hili lipo karibia katika nchi zote kabisa za Afrika.
Endapo kama kungekuwa na Watu au Viongozi wa nchi wenye upeo mkubwa, wenye akili nzuri kabisa ya Kiuongozi, Basi DRC na Afrika yote kabisa kwa ujumla wake pangekuwa Mahali pazuri zaidi pa kuishi hapa duniani.
Afrika inakufa kwa sababu kuna Watawala Waovu na wasio na akili nzuri ambao Wamekuwa Wakiwatawala Watu badala ya Kuwaongoza.

Kumbuka kauli hii ya Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliyesema kwamba "Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people.They are still under the process of becoming the complete human beings."
 
DRC imepoteza dira
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno

Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.

DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.

Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
 
kiuifupi ni kwamba TZ ilibidi tuwe na mshikamano na Burundi, Malawi, Zambia na Congo DRC.

EAC miyeyusho sana, tunanyonywa tu na KE na RW. Wakati wao ni beneficiaries wa mgogoro DRC. UG yupo tu, hana cha kutunyonya.

Yani huo mchele unaoenda UG na South Sudan, ungeweza ishia DRC.

Hayo mahindi yanayoenda KE, yangeweza ishia DRC.

Zimbabwe anakomaa sana kulima mahindi ila soko kubwa ni DRC.
Hivi, African Union (AU) ina faida gani hasa kwa Wananchi wa kawaida wa nchi za Afrika??
 
kiuifupi ni kwamba TZ ilibidi tuwe na mshikamano na Burundi, Malawi, Zambia na Congo DRC.

EAC miyeyusho sana, tunanyonywa tu na KE na RW. Wakati wao ni beneficiaries wa mgogoro DRC. UG yupo tu, hana cha kutunyonya.

Yani huo mchele unaoenda UG na South Sudan, ungeweza ishia DRC.

Hayo mahindi yanayoenda KE, yangeweza ishia DRC.

Zimbabwe anakomaa sana kulima mahindi ila soko kubwa ni DRC.
Hatujielewi tumekalia siasa za kulambana lambana na kusifu ujinga ujinga.
 
Nchi yenye wajinga wengi Afrika ni DRC

Linchi ligawanywe tu na majirani zake

Angola wachukue chao,
Rwanda wachukue chao,
Burundi wachukue chao,
Brazaville wachukue chao,
Uganda wachukue chao,
Tanzania wachukue chao

Nchi haijiwezi
Umesahau Zambia mkuu, maana wao pia wanapakana na DRC nadhani upande ule wa Lubumbashi
 
Hatujielewi tumekalia siasa za kulambana lambana na kusifu ujinga ujinga.
Wakati Rwanda ana promote bandari ya Mombasa, haonyeshi interest ya kujiunga na SGR yetu, tayari mkataba tushasaini na Burundi na ujenzi wa Reli unaanza mara mwaka huu.
 
Kama DRC wanataka kumaliza vita inabidi watimize madai ya M23.kama wataendelea kuwabagua banyamulenge wasahau amani.Pamoja na kuwa DRC wanaujinga lakini hata TZ ni jinga tu Kwa mambo ya hovyo yanayofanyika nchini
 
Wakati Rwanda ana promote bandari ya Mombasa, haonyeshi interest ya kujiunga na SGR yetu, tayari mkataba tushasaini na Burundi na ujenzi wa Reli unaanza mara mwaka huu.
Wanadiplomasia wa Tz nilianza kuona hawana wanachofanya pale kila balozi badala ya page zao za kimtandao au wizara wawe wanatangaza vitu kama scholarships na ajira za huko walipo.Kukuza elimu na ajira nje ya mipaka.


Ila utakuta page za mabalozi(vyeo vya shukrani kwa uchawa badala ya kupeleka Majasusi nguli wa kiuchumi na kidola)wapo wanakazi ya kupiga picha location mpya mpya walizotembelea,kusifusifu na kuabudu wengine wamejigeuza motivational speakers wanakazi ya kujaza quotes za watu mashuhuri kwenye page zao.

Taifa hili limepotea nafasi za ubalozi wanapewa watu nyorinyori ambao hawana chochote cha kusaidia hii nchi.Ubalozi Tz umekuwa sehemu ya kwenda mapumziko😬😬😬😬
 
Tz ilitakiwa iwe giant kiuchumi na kijeshi Africa mashariki na kati.

Huu ujingaujinga wa mazungumzo kila siku usingekuwepo.Ilitakiwa tuwe na base maeneo yote korofi ila ndo hivyo Kenya na Rwanda wameona fursa wameichukua.Kenya kaenda Haiti Rwanda yupo msumbiji.Tz ipo inasubiri kutumwa kwa mgongo wa UN😂😂😂
 
Back
Top Bottom