Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Kubwa Jinga badala ya kujitajirisha, angeorganise jeshi lenye mafunzo idadi ya laki moja tu, PK asingemnyanyasa kama anavyofanywa sasa.
Tatizo waCongo starehe nyingi na hawako serious na kitu chochote.
Sasa inakula kwao.
 
Back
Top Bottom