Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Niliona katika video moja jamaa kawatatufa waganga na waganguzi na kawaleta pale Ikulu ili wamsaidie katika kupigana hiyo vita. Kama akina Kinjekitile wanatoa uaguzi wao kwamba watashinda vita hiyo. Katika Karne ya 21 bado watu, tena wakubwa, wana Imani za risasi kugeuka maji!
Mweee alifanya kama Nebkadineza? 🤣🤣🤣
 
Ilianza na wazo la East African Community, Organisation of African Unity .....etc
Siyo kuunganisha nchi na kuwa taifa moja,watu walipinga united States of africa Ili walinde madaraka yao,maana wasingekua marais

US of Africa ni ndoto na wazo la kufikirika tu halina uhalisia hata kidogo.

Africa nchi nyingi bado ni nchi (countries) wala si mataifa (nations). There's a significant difference btn the two. Nchi nyingi bado haziwezi kujitawala zenyewe internally leo ziunganishwe itakua ni kupika bomu kubwa zaidi.

Kuna sababu za kiusalama na kiuchumi ambazo hazisapoti unification of Africa. Unaunganisha vp nchi kama Somalia, Congo, Sudan, Nigeria, Mali, Niger, Libya etc kuwa nchi moja? Congo tu hapo rais anaishi Kinshasa hajui kinachoendelea Goma wala Lubumbashi utadhani sio ndani ya mipaka ya Congo. Hata lugha wanazoongea ni tofauti.

Africa is so diverse with different cultures, traditions, languages, values haiwezekani kuunda nchi moja kwenye bara lenye utofauti mpana kiasi hiki. Tunaweza tumia hizi tofauti kuboresha umoja wetu ila sio kuwa nchi moja (Strength in diversity).
 
Wakati Anaingia walimsifia sana, wakasema Kabila hataki kuondoka madarakani, Kanisa katoliki wakamlilia sana huyu, sasa kaingia hata ajulikani ni rais au mwanamuziki?
 
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno

Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.

DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.

Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Shida yetu ni kudhurumiana wenyewe kwa wenyewe,haiwezekani nifanye kazi nilipwe kiduchu. Harafu hakuna soko la bidhaa limekaa vizuri,ni Bora hao vita Iko wazi lakini sisi vita ya dhurma.inatia laana mpaka nchi imedumaa
 
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno

Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.

DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.

Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Wachoweza wa congo kukata viuno na kupaka Carolite
 
Kongo wamekwama sababu ya corruption na nepotism, haya ni miongoni mwa mambo yanayoondoa umoja kwenye taifa.

Kelele zinazosikika nchini kila siku mara abdul, mara mama nani, tusipobadili mwelekeo kama taifa tutajikuta tumekwama sawa na Kongo.
Acha kuchomekea upumbavu wako kafanye siasa majukwaani
 
U
Tz tukubali tumepoteza ushawishi na mbinu tumekalia PROPAGANDA ZA MISSION ZA MWAKA 47.Na watoto wetu wenyewe UG, RW na BU. Wameanza zereu za wazi wazi maana wanatuona kama kibabu kilichojichokea.

Nchi iliyokuwa kimbilio leo anaachwa anapewa Rwanda😀😀😀.Lile swala la Msumbiji kutoa tenda kwa RW lilikuwa tusi kubwa kidiplomasia na kimedani.

📌📌📌Tubadilike tuachane na sera za ukombozi wa PAN- AFRICA NA mambo kama hayo.Dunia ya leo watu wanataka kujua msimamo wako ni upi mambo ya vuguvugu yanatuonyeshea hatupo serious!!!

Kama tusipobadilika hawa watu wa BAHIMA EMPIRE.Will spread mpaka huku.Its not safe anymore ukizingatia mtoto wa M7 haeleweki hatabiriki,Kagame nae vilevile.
Umeandika utumbo bora ungekaa kimya
 
Umenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Stori za kijiweni
 
Mbona hata Sasa hivi DR Congo kuna Serikali za Majimbo.

Tatizo la DR Congo siyo kukosekana kwa Serikali za Majimbo, bali tatizo ni KUKOSEKANA KWA WATU WENYE AKILI NZURI ZA KUWEZA KUWAONGOZA VIZURI WATU WENGINE. Tatizo hili lipo karibia katika nchi zote kabisa za Afrika.
Endapo kama kungekuwa na Watu au Viongozi wa nchi wenye upeo mkubwa, wenye akili nzuri kabisa ya Kiuongozi, Basi DRC na Afrika yote kabisa kwa ujumla wake pangekuwa Mahali pazuri zaidi pa kuishi hapa duniani.
Afrika inakufa kwa sababu kuna Watawala Waovu na wasio na akili nzuri ambao Wamekuwa Wakiwatawala Watu badala ya Kuwaongoza.

Kumbuka kauli hii ya Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliyesema kwamba "Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people.They are still under the process of becoming the complete human beings."
Nasaport 100%
 
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa sababu kubwa iliyopeleea DRC kufika hapo walipo ni mgawanyiko wa wao kwa wao ndani ya nchi ukichagizwa na mataifa ya nje.
Kiukweli nachelea kusema hata sisi tusipokuwa waangalifu tunaelekea huko.
Mgawanyiko unaofukuta kati ya wanaotaka mabadikiko na wale ambao hawataki mabadiliko unaweza kutufikisha pabaya.
Tufahamu pia kwamba mataifa ya nje yakishaona kuna hali ya mgawanyiko ndio nayo yanachochea zaidi hali hiyo kwa maslahi yao.
Hapo ndo wagogo wanasema ni point of no return kwa maana Mambo yanakuwa tayari yameharibika.
Cha kufanya kwa Sasa ni kuondoa hizi tofauti zetu kwa amani.
Shida Mimi ninayoiona ni nani atakubali kulegeza msimamo kati ya haya Makundi.
Nadhani kuna haja ya Kila kundi kuja na sababu thabiti ni kwa nini linasimamia linachokiamini na kuwaeleza wananchi Ili mwisho wa siku tuwe wamoja kwa kukubaliana la kufanya kama nchi.
Ni swala gumu ambalo linahitaji kujibiwa na hoja nzito na si hoja nyepesi nyepesi tu zinazolenga kufanikisha makengo ya kisiasa ya kundi hili au lile, Bali ziwe hoja zinazolenga kuleta mstakabali wa kuweka nchi pamoja.
 
Mleta mada anaongea kama mtoto mdogo asiyejua kitu, analaumu mayenu!

Tanzania ina maslahi mapana DRC, kuiacha Kinshasa ianguke kuna madhara makubwa ya kiuchumi kwetu.
Sasa wewe ulitaka sisi tufanye nini, wakati rais wao Kubwa Jinga analia lia tu badala ya kupigana vita.
 
Umenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Vijana wa 2000 hawatakuelwa kuwa hili lilitokea miaka ya mwanzoni mwa 60s
 
Umenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Walidhihirisha UBINAFSI wa asili wa mtu mweusi.Leo wote hao hawapo wapo mavumbini huko wanaliwa na funza.Hakuna kitu wameondoka nacho zaidi ya suti zao😀😀😀

Uafrika ni laaanaaa.Afrika imelaaaniwaaaaa!!!!
 
Sasa wewe ulitaka sisi tufanye nini, wakati rais wao Kubwa Jinga analia lia tu badala ya kupigana vita.
Kipindi cha Kikwete tulifanya nini?

JK alituma special force iliyoweka rekodi ya Afrika hadi leo(you can google, ''Tanzania Special forces in the Congo'' ).

M23 hawakutoboa, ndani ya wiki moja walishavuka mpaka na kukimbilia kwa boss wao Kigali.

We can again do the same, na safari hii tukishawafurusha, tuingie mkataba na serikali ya DRC majeshi yetu yabakie huko kuwazuia wasirudi tena, huku tukipata percent ya madini yaliyoko Goma.
 
Sasa wewe ulitaka sisi tufanye nini, wakati rais wao Kubwa Jinga analia lia tu badala ya kupigana vita.
Kwenye hali kama hiyo iliyopo hapo DRC; hata ungekuwa ni ww hungekuwa na la kufanya. Ukizingatia huyo Kubwa Jinga alishindwa kuzisoma alama za nyakati anakabiliwa na makundi 120+ yenye silaha dhidi yake. Na kama hilo halitoshi yupo Mkubwa mmoja wa nchi (Bwn. Tolu) na mwenzake mwingine wanatoa misaada ya hali na mali kwa baadhi ya vikundi hivyo.
 
Kwenye hali kama hiyo iliyopo hapo DRC; hata ungekuwa ni ww hungekuwa na la kufanya. Ukizingatia huyo Kubwa Jinga alishindwa kuzisoma alama za nyakati anakabiliwa na makundi 120+ yenye silaha dhidi yake. Na kama hilo halitoshi yupo Mkubwa mmoja wa nchi (Bwn. Tolu) na mwenzake mwingine wanatoa misaada ya hali na mali kwa baadhi ya vikundi hivyo.
Kubwa Jinga badala ya kujitajirisha, angeorganise jeshi lenye mafunzo idadi ya laki moja tu, PK asingemnyanyasa kama anavyofanywa sasa.
Tatizo waCongo starehe nyingi na hawako serious na kitu chochote.
 
Back
Top Bottom