Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Halisemwi ila wewe unalijua? Unaweza tupa a credible source au ndo yale yale "trust me bro"?

Kama tulipewa msaada then kwanini wasitupe na hivi sasa?
Wawe ni mweupe sana.Mambo na mada za saizi yako ni vijiwe vya kahawa na tangawizi.


Mtu usiyejua lengo la TRENI YA SGR unataka tudiscuss mambo makubwa ya kimedani kama haya utayaweza kweli???
 
Wewe unafikiri kuonyesha kisu chako hadharani ni ujanja?
Niambie vita ambayo drones zimeteka nchi!
Urusi yenyewe inapigana man to man kuteka maeneo Ukraine.
Principles za vita, kama hujui, hazijawahi kubadilika!
Mbinu zenu hizo za zama za kale za mawe🤣🤣🤣 hakuna anayewajali kwa sasa. Wenzenu wanafanya kweli nyie mmebaki na PROPAGANDA na stori za kusadikika😆😆😆
 
Vita ya Uganda Tz ilibebwa sana kiinteligencia na USA na UK.Hili lipo wazi na halisemwi😄😄😄Ile habari ya kudaka misaada ya Gadafi kwenda kwa Amini hiyo sio akili za mtu mweusi bhana hiyo tunajua🤗🤗🤗

Sasaivi mtapigwa kama ngoma mkisema muingie mtu bee🤣🤣🤣
Tutapigwa na nani we bwege?
 
Wawe ni mweupe sana.Mambo na mada za saizi yako ni vijiwe vya kahawa na tangawizi.


Mtu usiyejua lengo la TRENI YA SGR unataka tudiscuss mambo makubwa ya kimedani kama haya utayaweza kweli???

Toa a credible source ya US na UK kuhusika vita dhidi ya Uganda acha ngonjera. Mambo ya "trust me bro" ndo habari za vijiweni hizo mimi sio nyumbu kuamini kisa wewe umejisemea tu. Ungejua uhusiano wa TZ na UK wakati huo usingeandika hizi ngonjera.
 
Mbona hata Sasa hivi DR Congo kuna Serikali za Majimbo.

Tatizo la DR Congo siyo kukosekana kwa Serikali za Majimbo, bali tatizo ni KUKOSEKANA KWA WATU WENYE AKILI NZURI ZA KUWEZA KUWAONGOZA VIZURI WATU WENGINE. Tatizo hili lipo karibia katika nchi zote kabisa za Afrika.
Endapo kama kungekuwa na Watu au Viongozi wa nchi wenye upeo mkubwa, wenye akili nzuri kabisa ya Kiuongozi, Basi DRC na Afrika yote kabisa kwa ujumla wake pangekuwa Mahali pazuri zaidi pa kuishi hapa duniani.
Afrika inakufa kwa sababu kuna Watawala Waovu na wasio na akili nzuri ambao Wamekuwa Wakiwatawala Watu badala ya Kuwaongoza.

Kumbuka kauli hii ya Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliyesema kwamba "Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people.They are still under the process of becoming the complete human beings."
Viongozi wa Afrika tuseme Marais wengi wa Afrika ni vibaraka wa wazungu M 23 Wanaua waafrika wenzao ni aibu sana
 
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno

Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.

DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.

Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.

Bila Congo hiyo reli inaenda wapi? Rwanda viherehere tunaweza kupeleka reli bado wakatusumbua. Burundi uchumi mdogo. Utulivu wa congo ni muhimu sana kwetu. Congo ni muhimu kwetu kuliko sisi kwao
 
Bila Congo hiyo reli inaenda wapi? Rwanda viherehere tunaweza kupeleka reli bado wakatusumbua. Burundi uchumi mdogo. Utulivu wa congo ni muhimu sana kwetu
Waache ujinga wajenge nchi yao kuliko kupigana piganaovyo.
 
View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno

Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.

DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.

Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
lé congo vous lovie ́musque.

Marci
 
Bila Congo hiyo reli inaenda wapi? Rwanda viherehere tunaweza kupeleka reli bado wakatusumbua. Burundi uchumi mdogo. Utulivu wa congo ni muhimu sana kwetu. Congo ni muhimu kwetu kuliko sisi kwao

Congo isingekuwepo SGR isingejengwa?

Congo wakianza kutumia Lobito corridor mtaacha ujenzi wa SGR nchini?

Soko la ndani halihitaji SGR? Mazao, watu toka Shinyanga, Kigoma hawastahili SGR?

Mnajua SGR ni upana na ubora wa reli tu hata intra-city trains zinaweza jengwa kwa standad ya SGR?
 
Ebu waeleze hawa wadanganyika wametopea kwenye PROPAGANDA vibaya sana😀😀😀.Watu wapewe passport watoke nje wakatoe tongotongo.Unakuta mtu anabisha mpaka mshipa wa kichwa unamsimami na anabishia vitu ambavyo hajawahi hata kuvuka mpaka🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣inchi ngumu hii walahi!!!

..halafu hawajiulizi Mama Abduli na Tshisekedi wana tofauti gani?

..Mama Abduli angepewa DRC aongoze angepamudu?

..tunawacheka Wacongo, lakini huu UCHAWA unaolelewa Tanzania tunaishi kuwa kama Wacongo.
 
..halafu hawajiulizi Mama Abduli na Tshisekedi wana tofauti gani?

..Mama Abduli angepewa DRC aongoze angepamudu?

..tunawacheka Wacongo, lakini huu UCHAWA unaolelewa Tanzania tunaishi kuwa kama Wacongo.
Waache wanaona urefu wa pua zao.Na mwenye macho haambiwi tazama.l!!!
 
..halafu hawajiulizi Mama Abduli na Tshisekedi wana tofauti gani?

..Mama Abduli angepewa DRC aongoze angepamudu?

..tunawacheka Wacongo, lakini huu UCHAWA unaolelewa Tanzania tunaishi kuwa kama Wacongo.

Congo imeanza kuharibika wakati wa Tshisekedi? Lini Congo ilitulia?

Mleta uzi kasema vizuri Congo ni kubwa jinga haijawahi tulia toka uhuru. Itasaidiwa hadi lini? Congo ijenge uwezo wake wa kujilinda na kujiendesha kama haiwezi watu tugawane maeneo.
 
Umenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Hapakuwahi kuwa na hilo wazi, sababu wote hao ni wapenda madaraka
 
Ilianza na wazo la East African Community, Organisation of African Unity .....etc
Siyo kuunganisha nchi na kuwa taifa moja,watu walipinga united States of africa Ili walinde madaraka yao,maana wasingekua marais
 
Congo imeanza kuharibika wakati wa Tshisekedi? Lini Congo ilitulia?

Mleta uzi kasema vizuri Congo ni kubwa jinga haijawahi tulia toka uhuru. Itasaidiwa hadi lini? Congo ijenge uwezo wake wa kujilinda na kujiendesha kama haiwezi watu tugawane maeneo.

..Zaire haikuwa na machafuko na mauaji kama sasa hivi.

..sisemi kwamba kulikuwa hakuna matatizo. Ninachosema ni kwamba matatizo yao hayakuwa makubwa kama yalivyo sasa hivi.

..Vita ambayo Wacongo wamepelekewa na Rwanda na Uganda imesababisha vifo vya Wacongomani milioni 6 au zaidi.
 
Back
Top Bottom