Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wetu Hawa wanaolia mama, mama, mamaa Kila siku unadhani kuna wanachoelewa?A weak DRC means business kwa washindani wetu.Kenya na Rwanda wanataka kuibypass Tz SGR.Rwanda akiimiliki EASTERN CONGO the game is over!!!Soko lote la BURUNDI NA DRC LITAANGUKIA KWA KENYA,UGANGA NA RWANDA.
📌📌📌Tz ilitakiwa iwe imeshaplani kusimika kibaraka wetu hapo DRC.Na kuwa ready kulitetea soko la CONGO at any cost.
Hao akili zao wanadhani Yale makopo kuukuu wayopitisha uhuru ni silaha za kisasa, yaani sisi ni weupe sana hamna kitu, nchi Haina hata MRAP Moja.Rwanda washaanza kutumia mpaka silaha mpya za kivita kama drones na air defence system.Nyie mmekalia PROPAGANDA za enzi ya IDD AMIN ambapo kwa sasa mambo yamebadilika sana.Proxy wars ndio kila kitu mmejipangaje wazee😄😄
kila nikimkumbuka rafiki yangu Mammadou Ndala, nahisi dunia uwanja wa fujo, ni mkongo pekee ambae kama angefanikiwa angeiokoa DRC, bahati mbaya wakamuwahi rafiki yangu😭View attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno
Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.
DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.
Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Hiyo man to man unadhani wanapigana na hayo magole yenu ya mwaka 1940? Hiyo vita ya ukraine hujaona kwa kiasi kikubwa drone zimetumika kuliko vita yoyote?. Jeshi letu linunue silaha za kisasa waachane na Yale makopo ya kizamani.Wewe unafikiri kuonyesha kisu chako hadharani ni ujanja?
Niambie vita ambayo drones zimeteka nchi!
Urusi yenyewe inapigana man to man kuteka maeneo Ukraine.
Principles za vita, kama hujui, hazijawahi kubadilika!
😄😄😄😄tatizo hawataki kuchalenjiwa na kuambiwa ukweli.Military drills za maana hakuna yaani sisi tukisema tuingie vitani uchumi utasagika ungaunga kama sembe😄😄😄🙌🙌🙌Hao akili zao wanadhani Yale makopo kuukuu wayopitisha uhuru ni silaha za kisasa, yaani sisi ni weupe sana hamna kitu, nchi Haina hata MRAP Moja.
Jeshi letu limekaa kizamani sana,
Hakuna maana kubishana na viGnZ ambavyo hata gobole havijui ni nini!Hiyo man to man unadhani wanapigana na hayo magole yenu ya mwaka 1940? Hiyo vita ya ukraine hujaona kwa kiasi kikubwa drone zimetumika kuliko vita yoyote?. Jeshi letu linunue silaha za kisasa waachane na Yale makopo ya kizamani.
Na Ndombolo juu!lé congo vous lovie ́musque.
Marci
Kwasababu umekosea ushahidi wa kuthibitisha ubora wa jwtz. Hutohotaji Google kugundua udhaifu na uzamani wa jwtzHakuna maana kubishana na viGnZ ambavyo hata gobole havijui ni nini!
Reli ya SGR itatumika tu, liwepo Kubwa Jinga au la!Bila Congo hiyo reli inaenda wapi? Rwanda viherehere tunaweza kupeleka reli bado wakatusumbua. Burundi uchumi mdogo. Utulivu wa congo ni muhimu sana kwetu. Congo ni muhimu kwetu kuliko sisi kwao
Mkuu mbona unajibaraguza?Mbinu zenu hizo za zama za kale za mawe🤣🤣🤣 hakuna anayewajali kwa sasa. Wenzenu wanafanya kweli nyie mmebaki na PROPAGANDA na stori za kusadikika😆😆😆
Tafuta maziwa, unywe ulale!Kwasababu umekosea ushahidi wa kuthibitisha ubora wa jwtz. Hutohotaji Google kugundua udhaifu na uzamani wa jwtz
Sahihi kabisa..DRC is a failed state.
Utawala uliopo huko upo dhaifu Sana.
Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo pia lipo dhaifu Sana kupita kiasi.
Jeshi la DRC lipo uchi wa mnyama kwa Utawala wa Rwanda.
Kuna uasi wa chini chini usiokwisha ndani ya Jeshi la DRC.
Wanajeshi wengi sana wa DRC pia ni Wapiganaji wa Siri wa M23.
Viongozi wengi wa Serikali ya DRC pia ni Mawakala wa Siri wa Utawala wa Rwanda na Vikosi vya Waasi wa M23.
Try to imagine: General Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi hiyo ya DRC, lakini baadaye Mwanajeshi huyo alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi ya Rwanda.
Ndo shida yenu mnataka sifa tu ukweli aaahhhh🤣🤣🤣🤣Mkuu mbona unajibaraguza?
Wewe fanya kujikuna, uone moto!
Kama jambo hilo litaleta Kutengamaa kwa Amani nchini Congo DRC bora iwe hivyo.Wakongo wanaoongea Kiswahili wameanza kushikwa huko Kinshasa inawabidi waongee Lingala Kongo inaenda kugawanyika vipande viwili. West vs East.
Likolo bienNa Ndombolo juu!
Mleta mada anaongea kama mtoto mdogo asiyejua kitu, analaumu mayenu!Congo DRC ni wateja wazuri wa bandari salama. Tusipojiingiza kwenye migogoro yao basi, machafuko yakakithiri, kukawa hakuingiliki basi tegemea yafuatayo:
1. Wamiliki wa malori wengi watashindwa lipa mikopo yao.
2. Bei za malori ndani ya nchi zitashuka as malori mengi yanayoenda nje ya nchi yatakuwa forced kufanya shughuli za ndani.
3. Madereva wengi na wasaidizi wao watakosa ajira, mnyororo wao ni mrefu sana.
4. Bandali salama itakosa mapato ya mizigo ya Congo DRC.
5. Clearing and Fowarding agents watakosa deals za kuwaweka mjini.
6. Madereva wa transit watakosa ajira.
7. Sekta ya ujenzi itadorora sana, hardwoods tunategemea sana toka Congo DRC.
Etc