Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Kumekucha.

Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.

Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.

Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
 
Kumekucha.

Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.

Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.

Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Acha watwangane ,tukawauzie silaha na chakula , tutajirike
Vita ni fursa
 
Report kutoka British intelligence ni kwamba.. Askari wa Burundi anaingia Congo na kuvaa vitenge vya Congo na kujichanganya na askari wa Congo na kupeleka moto kwa M23 huko Mashariki.

Sasa kama hao wanaopigwa wanakimbilia nyumbani bhas yawezekana labda kuna mpango wa kuwafuata hadi Kwao huko.
 
Kumekucha.

Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.

Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.

Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Kiashiria kuwa EAC ni jumuiya inayoenda kuanguka kabla haijaimarisha misingi
 
Back
Top Bottom