Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Km nilijua 🤣🤣🤣🤣tunataka mademu kitonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km nilijua 🤣🤣🤣🤣tunataka mademu kitonga
Hivi unaujua ukubwa wa nchi ya Rwanda na ukubwa wa mikoa ya Tanzania? Ngoja nikutoe tongotongo kidogo. Mkoa wa Manyara tu unaukubwa wa 44,522 sq.km, na kwa ukubwa ni unashika nafasi ya saba, ikizidiwa na mikoa Kama Tabora, Singida, Songea,Tanga, Lindi na Kigoma. Wakati huo Rwanda ina ukubwa wa 26,338 sq.km.Kama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Mnawapa kichwa Santa hao wanyarwanda,lakini PK mwenyewe anaujua ukweli Kuna Mahali Africa Mashariki huwezi kosea kuwachokoza, PK Hawezi jaribu kukosea hata kurusha jiwe Tz.Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Amani na Upendo wewe unakula unasaza pesa za umma unaenda kula ngono za mitungo Paris watoto wa wenzio wana utapia mlo?Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Mkoa wa Songea upo wapi? Kuna haja ya Walimu wa Geography kufanyiwa usaili wakati wa ajira zao.Kuna mwingine mtangazaji anasema mkoa wa Songea.Hivi unaujua ukubwa wa nchi ya Rwanda na ukubwa wa mikoa ya Tanzania? Ngoja nikutoe tongotongo kidogo. Mkoa wa Manyara tu unaukubwa wa 44,522 sq.km, na kwa ukubwa ni unashika nafasi ya saba, ikizidiwa na mikoa Kama Tabora, Singida, Songea,Tanga, Lindi na Kigoma. Wakati huo Rwanda ina ukubwa wa 26,338 sq.km.
Kiufupi Rwanda inakaribiana kiukubwa na mikoa midogo ya Tanzania Kama Kagera, Geita au Simiyu. Mkoa ambao Rwanda inaweza uzidi kwa ukubwa ni Dar es salaam View attachment 2860589
View attachment 2860593
View attachment 2860594View attachment 2860595m
Majasusi wake wanalala mitaa ya Mzizima wanafanya wanachotaka(operation) wanaondoka unnoticed, unasemaje?Mnawapa kichwa Santa hao wanyarwanda,lakini PK mwenyewe anaujua ukweli Kuna Mahali Africa Mashariki huwezi kosea kuwachokoza, PK Hawezi jaribu kukosea hata kurusha jiwe Tz.
Rwanda haina ukubwa huo unaodai hapa. Eti mikoa mitatu,! Acha mzaha.Kama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Hakuna kipindi vita lilikuwa jambo LA kawaida kama miaka hiyo.Hakika tupo siku za mwisho.
very true ngumu kwa sasa kwa nchi yoyote ya kiafrica kuanzisha vita na nchi nyingine nchi nyingi zinapitia changamoto za kiuchumi hiyo budget ya vita utaitoa wapi? Wakati budget za nchi zenyewe 80% ni misaada its impossible, tanzania tulipigana na iddi amini aftermath ya vita wote tuliiona tulikula hadi ugali wa njanoKama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Imejumuisha mataifa yapendayo vitaKiashiria kuwa EAC ni jumuiya inayoenda kuanguka kabla haijaimarisha misingi
Nipe habari kamiliAmini kijana!
Wameshapatana kinafiki, Kagame huwa akitibua huku anarudisha urafiki kuleHivi yule mzee wa kofia pana walishazinguana na Mr slimu ule urafiki wa kufanana pua na kimo umeishiaje
Rwanda ni ndogo kuliko hata wilaya ya Sikonge iliyo mkoa wa Tabora. Kagame ana dharau na kiburi sana apigwe.Kama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Rwanda iondolewe EAC, kwanza Kagame ameshaacha kuhudhuria vikao vya marais.Kiashiria kuwa EAC ni jumuiya inayoenda kuanguka kabla haijaimarisha
Hivi kuna wilaya yenye ukubwa wa kuizidi rwanda hapa tz kimrabaRwanda ni ndogo kuliko hata wilaya ya Sikonge iliyo mkoa wa Tabora. Kagame ana dharau na kiburi sana apigwe.
Inaangukaje?Kiashiria kuwa EAC ni jumuiya inayoenda kuanguka kabla haijaimarisha misingi
Hizo silaha za kuuza mnazitengeneza kiwanda gani?Acha watwangane ,tukawauzie silaha na chakula , tutajirike
Vita ni fursa