Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

Ni prediction zako hakuna kitu kama hicho.Majasusi wapo si wa Rwanda hata Nchi marafiki na sisi hivyo hivyo wapo Majasusi wa Tanzania Rwanda na sio Rwanda tu kwenye inchi nyingine zinazohatarisha maslahi yetu, Kwa hiyo sio kitu cha ajabu.Majasusi wa Urusi wapo Marekani na wa Marekani wako Urusi ni vitu vya kawaida Sana katika ulimwengu wa Ujasusi.Kama alivyo mwenyewe PK Kuwa jasusi wa Nchi za Magharibi East and Central Africa ni mambo ya kawaida achaneni na story za vijiweni.
Majasusi wa nChi mpja kwenda Nchi nyingine sio kambo la ajabu maana ndio Diplomasia yenyewe.

Issue ni pale wanapo fana overt operation( tunavyosikia sikia) un noticed.
 
Hajiamini, alimwambia JK atampiga asipotarajia na panapouma, Jk akatuma vijana jamaa kalala kamwagiwa maji anaamka anakuta chumba yake imejaa vijana wa Mwamnyange na Othman. Kapigwe biti kuwa acha utoto fala wewe tutakuja kukupasua afu hao wakasepa , toka hapo hakuwahi Leta dharau kwa Mama Tanzania[emoji3][emoji3][emoji3]
Simple stori kama hivi? Kwamba PSU ya PK ilikuwa imehama Nchi jamaa wa Mwanyange wakaingia tu kama kwao?
Na baada ya Hapo PK akatulia tu?
 
Majasusi wa nChi mpja kwenda Nchi nyingine sio kambo la ajabu maana ndio Diplomasia yenyewe.

Issue ni pale wanapo fana overt operation( tunavyosikia sikia) un noticed.
Ni kweli Mkuu!Ila operation kitengo wanakuwa na info.
 
Mkoa wa Songea upo wapi? Kuna haja ya Walimu wa Geography kufanyiwa usaili wakati wa ajira zao.Kuna mwingine mtangazaji anasema mkoa wa Songea.
Amekosea iyo ni Ruvuma,makao makuu yake ndio songea
 
Ila Rwanda ni nchi ndogo, jeshi imara la kisasa, tuseme kama Israel.
Msimpe Rwanda sifa asiyokuwa nayo...

Rwanda hawawezi kupigana na hizo nchi mbili zikiamua..

Israel iko mbali sana kwa kila aina ya silaha unayoijua.
 
Simple stori kama hivi? Kwamba PSU ya PK ilikuwa imehama Nchi jamaa wa Mwanyange wakaingia tu kama kwao?
Na baada ya Hapo PK akatulia tu?
Ukufuatilia bifu ya Jk na Pk ,Jk alitishwa na afanya kweli tulio kuwa mipakani 2011-2013...haikuwa stori askari kibao wa m23 walikimbilia uraiani kujichanganya na raia kukimbia kichapo cha Jwtz na siraha nyingi ziliokotwa na polisi baada ya kutupwa kwenye rasi (vijiji vidogo mwambao mwa tz) tumeshuhudia na wengi tumewaona
 
Ila Rwanda ni nchi ndogo, jeshi imara la kisasa, tuseme kama Israel.
[emoji23][emoji23]yani rwanda iwe kama Israel,rwanda haina jipya,ina kihelehele tu kama kenya.Jiulize tu Tanzania imepigana nchi ngapi kuzisaidia ukombozi ,south Africa,msumbiji,Comoro,zimbabwe na nyingine nyingi ni vile hatuna maadui thus why tunalinda mipaka vita ni uchumi sio kuanzisha tu. Uchumi wa rwanda mdogo ata rasilimali ndio maana kila jambo likitokea wakwanza kwenda haendi kupigana bali kuiba TU.
 
[emoji23][emoji23]yani rwanda iwe kama Israel,rwanda haina jipya,ina kihelehele tu kama kenya.Jiulize tu Tanzania imepigana nchi ngapi kuzisaidia ukombozi ,south Africa,msumbiji,Comoro,zimbabwe na nyingine nyingi ni vile hatuna maadui thus why tunalinda mipaka vita ni uchumi sio kuanzisha tu. Uchumi wa rwanda mdogo ata rasilimali ndio maana kila jambo likitokea wakwanza kwenda haendi kupigana bali kuiba TU.
We jamaa unazungumzia historia ya Mwaka 60's enzi za Analogy? Lete point nyingine hii imepitwa na wakati.
 
Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Kuigusa tu Tanzania maana yake unataka kuifuta Rwanda, Rwanda anampango wa kutengeneza vinu vya kinyuklia vya uzalishaji umeme, how pale aki divert na kutengeneza bomb, kwa ajili ya usalama wake, although anajulikana kwa mipango yake ya chinichini ya vita vya kuiba mali za nchi nyingine?
AKIFANIKIWA KWENYE MAMBO YA NUKE TU, ATAGEUKA MWIZI HALAFU MTEMI DRC ITAPATA TABU SANA.
 
We jamaa unazungumzia historia ya Mwaka 60's enzi za Analogy? Lete point nyingine hii imepitwa na wakati.
Kwa kuwa umezaliwa 2000s unaona zamani,niambie vita aliyopigana Rwanda ya hivi karibuni kashinda?
 
Kuigusa tu Tanzania maana yake unataka kuifuta Rwanda, Rwanda anampango wa kutengeneza vinu vya kinyuklia vya uzalishaji umeme, how pale aki divert na kutengeneza bomb, kwa ajili ya usalama wake, although anajulikana kwa mipango yake ya chinichini ya vita vya kuiba mali za nchi nyingine?
Hawawezi kuelewa watoto wa juzi,wanajua vita zakina othmanbay tu😂
 
Ila ni kama sisi pia tumeparanganyika sana kiasi kwamba mtu akijipanga anaweza akatupiga vibaya hovyo maana kwa sasa ni kama tuko busy na kula keki ya taifa tu hatujui pia tuna maadui wa nje ila adui yetu mkubwa tunamuona ni vyama vya upinzani tu na wakosoaji wa serikali ya ccm.

Nadhani PK alituondolea Mtikila kilaini sana kwahiyo hatuwezi kumbeza moja kwa moja
Hivi Mtikila alimuondoa yeye?
 
Back
Top Bottom