Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Fuatilia kwenye googleNipe habari kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia kwenye googleNipe habari kamili
Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Congo ni wazembe hawako serious na usalama wa nchi yao.Hiyo ilikuwa ahadi ya Tshikedi wakati wa kampeni kuwa akishinda atawamaliza M23!
Hivyo huo sio uvumi ; it’s just a matter of time.
Ni prediction zako hakuna kitu kama hicho.Majasusi wapo si wa Rwanda hata Nchi marafiki na sisi hivyo hivyo wapo Majasusi wa Tanzania Rwanda na sio Rwanda tu kwenye inchi nyingine zinazohatarisha maslahi yetu, Kwa hiyo sio kitu cha ajabu.Majasusi wa Urusi wapo Marekani na wa Marekani wako Urusi ni vitu vya kawaida Sana katika ulimwengu wa Ujasusi.Kama alivyo mwenyewe PK Kuwa jasusi wa Nchi za Magharibi East and Central Africa ni mambo ya kawaida achaneni na story za vijiweni.Majasusi wake wanalala mitaa ya Mzizima wanafanya wanachotaka(operation) wanaondoka unnoticed, unasemaje?
Tushukuru Mungu Tanzania hatuna changamoto za Kiusalama mambo yangekushangaza.
Hii ni Trend so inakuja Africa after UKRAINE THEN PALESTINA AND NOW AFRICA then watarudi tena Ulaya au wataenda ASIA .... so mdogo mdogo kunachafuka kila kona... Ili Mambo Yao YATIMIE. kuhusu Uchumi.... Hao Hao wanatakaowapa PESA NA SILAHA Burundi /Congo ndio watakaowaoa PESA na SILAHA RWANDAReport kutoka British intelligence ni kwamba.. Askari wa Burundi anaingia Congo na kuvaa vitenge vya Congo na kujichanganya na askari wa Congo na kupeleka moto kwa M23 huko Mashariki.
Sasa kama hao wanaopigwa wanakimbilia nyumbani bhas yawezekana labda kuna mpango wa kuwafuata hadi Kwao huko.
Majasusi wake wanalala mitaa ya Mzizima wanafanya wanachotaka(operation) wanaondoka unnoticed, unasemaje?
Tushukuru Mungu Tanzania hatuna changamoto za Kiusalama mambo yangekushangaza.
Ila ni kama sisi pia tumeparanganyika sana kiasi kwamba mtu akijipanga anaweza akatupiga vibaya hovyo maana kwa sasa ni kama tuko busy na kula keki ya taifa tu hatujui pia tuna maadui wa nje ila adui yetu mkubwa tunamuona ni vyama vya upinzani tu na wakosoaji wa serikali ya ccm.Mnawapa kichwa Santa hao wanyarwanda,lakini PK mwenyewe anaujua ukweli Kuna Mahali Africa Mashariki huwezi kosea kuwachokoza, PK Hawezi jaribu kukosea hata kurusha jiwe Tz.
Ndio itakuwa mwisho wa utawala wa kagame. Vita ya kujibu ni Kali Sana kuliko ya kwenda kuvamiaMimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
UN pia ilimtuhumu kagameDRC siku nyingi inalalamika kuwa Rwanda inawahujumu kwa kufadhili waasi, je kwanini iwe rwanda na isiwe nchi nyingine nyingi inazopakana nazo??? Lisemwalo lipo kama halipo basi laja
Rwanda ni Kama ina laana, watusi wametawala miaka 30 baada ya kuwaondoa wahutu. Mwaka huu 2024 kuna dalili ya wahutu kurudi tenaNi muda muafaka sasa umefika...
Hahahaha, wale watoto washakua wakubwa muda wao wa kurudi nyumbani umefikaRwanda ni Kama ina laana, watusi wametawala miaka 30 baada ya kuwaondoa wahutu. Mwaka huu 2024 kuna dalili ya wahutu kurudi tena
Kagame ni tatizo katika ukanda wote huu wa Maziwa Makuu. Akikaa pembeni amanin itatamalaki!Kumekucha.
Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.
Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.
Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Mkikaa kwenye pool table mnajidanganyaga Sana. Huyu PK sio kwamba mjanja Ila watu wake ndio wasariti na hawana shukrani, na kiburi hicho aliwaponza miaka ya 2013-2014, tukamwanzishia operation kimbunga, haikulenga chochote zaidi ya wanyarwanda. Mengine tuachie sisi. Pk several times tumemkalisha sirini sio mpaka uambiwe. Mungu ibariki Tz na Vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama na Amiri Jeshi wake Mkuu.Majasusi wake wanalala mitaa ya Mzizima wanafanya wanachotaka(operation) wanaondoka unnoticed, unasemaje?
Tushukuru Mungu Tanzania hatuna changamoto za Kiusalama mambo yangekushangaza.
Hajiamini, alimwambia JK atampiga asipotarajia na panapouma, Jk akatuma vijana jamaa kalala kamwagiwa maji anaamka anakuta chumba yake imejaa vijana wa Mwamnyange na Othman. Kapigwe biti kuwa acha utoto fala wewe tutakuja kukupasua afu hao wakasepa , toka hapo hakuwahi Leta dharau kwa Mama Tanzania[emoji3][emoji3][emoji3]Rwanda iondolewe EAC, kwanza Kagame ameshaacha kuhudhuria vikao vya marais.
Watoto gani?Hahahaha, wale watoto washakua wakubwa muda wao wa kurudi nyumbani umefika
Mkuu Kwa nje ndivyo ilivyo lakini ni tofauti na Hali ilivyo huko ndani.Misheni ya Mtikila kitengo ilijua.Nakubaliana na wewe Kuwa hatuwezi kumbeza PK.Pk ana maadui wengi Kwa sasa nafikiri kuliko Marais wote wa Africa ni Lazima hawe makini hivyo alivyo 24hrs sawa na sisi tulivyokuwa wakati wa Baba wa Taifa na sera za ujamaa.NB:Wanaoshughulika na Wapinzani Kuna desk lake lakini vitengo vingi.Usiwe na wasiwasi Tuko vizuri.Ila ni kama sisi pia tumeparanganyika sana kiasi kwamba mtu akijipanga anaweza akatupiga vibaya hovyo maana kwa sasa ni kama tuko busy na kula keki ya taifa tu hatujui pia tuna maadui wa nje ila adui yetu mkubwa tunamuona ni vyama vya upinzani tu na wakosoaji wa serikali ya ccm.
Nadhani PK alituondolea Mtikila kilaini sana kwahiyo hatuwezi kumbeza moja kwa moja
Mangi, Tabora ni 76,151 sq km. Rwanda ni 26,338 sq km... Get your facts rightKama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Nilikua Kigali 2010 na pia 2014 niliona haya mapema tuRwanda ni Kama ina laana, watusi wametawala miaka 30 baada ya kuwaondoa wahutu. Mwaka huu 2024 kuna dalili ya wahutu kurudi tena
Kama unajua history ya Rwanda utajua ni watoto gani nawazungumziaWatoto gani?
Ameen ameen ameen.Mkikaa kwenye pool table mnajidanganyaga Sana. Huyu PK sio kwamba mjanja Ila watu wake ndio wasariti na hawana shukrani, na kiburi hicho aliwaponza miaka ya 2013-2014, tukamwanzishia operation kimbunga, haikulenga chochote zaidi ya wanyarwanda. Mengine tuachie sisi. Pk several times tumemkalisha sirini sio mpaka uambiwe. Mungu ibariki Tz na Vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama na Amiri Jeshi wake Mkuu.