Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Siyo mkwara mkuu hii nchi wewe itazame tu juu juu ya ndani huwezi ya sikia wala kuyajua ila hao majirani wanajua mziki wake.Mbona kama mkwala boss?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mkwara mkuu hii nchi wewe itazame tu juu juu ya ndani huwezi ya sikia wala kuyajua ila hao majirani wanajua mziki wake.Mbona kama mkwala boss?
Ni baada ya vyovyo vyao vya ujasusi kujuwa mchawi wa Kanda yao ninani na Nini sababu ya vifo vya Marais kadhaa.. itakuwa hali mbaya sana Mungu utunisuriKumekucha.
Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.
Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.
Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Weee Nini labda kama hujuwi mambo ya kijasusiWeeeee!!
Hana huo uwezo rwanda,na akifanya hivyo,atajuta.Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Nasikia ni nchi ya kwanza kwa umaskini dunianiBurundi watulie wasijiingize
Watachakaa zaidi kuliko walivyochakaa sasa.
Ya Ngoswe wa mwachie Ngoswe..
Lkn angalau watu weusi wengi hawajabariki ndoa za mashoga.Mzungu ana laana Ile iliyoshindikana kabisa.Tunajua Israel anasaidiwa na USA na UK
Sasa hapo nani atamsaidia nani?
Halafu muanze kuomba hela kama Zelensky
Na sisi kama kawaida kupokea wakimbizi na kuwapa uji tu wakati tutapokea hela za kuwalisha hata biriyani kila siku na mkate kwa chai asubuhi
Ila mtu mweusi atabaki na laana miaka yote
Kweli kabisa mkuu, kwa hilo bado tuna Imani zetu hata za kimila bado sisi tuna adabu zetuLkn angalau watu weusi wengi hawajabariki ndoa za mashoga.Mzungu ana laana Ile iliyoshindikana kabisa.
Jana kule Zanzibar nilimuona Kagame akiwatizama makomandoo wetu kwa jicho la dharau.Tunajua Israel anasaidiwa na USA na UK
Sasa hapo nani atamsaidia nani?
Halafu muanze kuomba hela kama Zelensky
Na sisi kama kawaida kupokea wakimbizi na kuwapa uji tu wakati tutapokea hela za kuwalisha hata biriyani kila siku na mkate kwa chai asubuhi
Ila mtu mweusi atabaki na laana miaka yote
... unadhifu huficha ulofa, ... vilevile NYODO HUFICHA UOGA WA MTU!Jana kule Zanzibar nilimuona Kagame akiwatizama makomandoo wetu kwa jicho la dharau.
wanatuchosha sana majirani hawa kila siku ni wao tu kelele na kuuwana ujue hata ukikaa makazi ambayo jirani zako muda mwingi ni kupigana inachosha sana na ni hatari kwa malezi ya watoto wako pia..Kumekucha.
Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.
Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.
Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Jana kule Zanzibar nilimuona Kagame akiwatizama makomandoo wetu kwa jicho la dharau.
Jana kule Zanzibar nilimuona Kagame akiwatizama makomandoo wetu kwa jicho la dharau.
Na sisi tunajidhalilisha wenyeweJana kule Zanzibar nilimuona Kagame akiwatizama makomandoo wetu kwa jicho la dharau.