Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.Subutu
tunataka mademu kitongaMimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Fuatilia na subiri uoneTakataka Tu
Rwanda hana ubabe mbele ya DRCMimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Yaaani,Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Aache kupigana na waliomvamia apigane na wasio muhusuMimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Acha watwangane ,tukawauzie silaha na chakula , tutajirikeKumekucha.
Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.
Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.
Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Mikoa gani mitatu?? Labda Dar-es-Salaam, mkoa wako na mkoa wa BwanakoKama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Weeeee!!Rwanda hana ubabe mbele ya DRC
Kiashiria kuwa EAC ni jumuiya inayoenda kuanguka kabla haijaimarisha misingiKumekucha.
Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024.
Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi za uvamizi na Jeshi lake limejiweka tayari.
Mungu tunusuru Waafrika tuishi kwa Amani na upendo.
Amini kijana!Weeeee!!