Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Yes.
Kwani haya ni maneno 2 tofauti.
Gauni na shati ni vitu 2 tofauti
Nahitaji kufahamu tofauti zao ni zipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes.
Kwani haya ni maneno 2 tofauti.
Gauni na shati ni vitu 2 tofauti
Mchawi ni mwaribifuNahitaji kufahamu tofauti zao ni zipi
Mchawi ni mwaribifu
Mganga ni mjengaji.
Ila mganga pia anaweza kuharibu ilhali mchawi hawezi kujenga
Hakuna kafara ya mtu, hizo ni hadithi za wajanja tuSawa mkuu kwahiyo kutoa kafara ya uhai wa mtu hiyo kazi ipo upande gan kati yao?
Hakuna kafara ya mtu, hizo ni hadithi za wajanja tu
Ukiona mganga ameweka tangazo mpaka kwenye nguzo ujue na yeye mwenyewe HANA CONNECTIONWale wa kwenye mabango?
Ukiona mganga ameweka tangazo mpaka kwenye nguzo ujue na yeye mwenyewe HANA CONNECTIONWale wa kwenye mabango?
Mwaka ushausha huo, tupia hapa namba za mtaalamu wako unayemkubali kwenye ndumba zako
1. Waganga wa kupata likes nyingi
2. Waganga wa kupata ubunge wa kuteuliwa
3. Waganga wa kupata pisi kali ma- C.E.O
4. Waganga wa kula mgahawan bure
5. Waganga wa kupasua pepa
6. Waganga wa kutokuombwa hela na mademu
7. Waganga....
8. Waganga...
9. Waganga wakupata ofa nyng baa
10. Waganga wa kupanda daladla bila nauli
Najua kuna magwiji humu. Hepu tupeni uzoefu wenu CONNECTION
Uzi tayari cc Bujibuji ki2kombora Mshana Jr As Salafiyyu91
Ni ndugu mojaHatari sana. Kuna tofauti kati ya mganga na mchawi ?
Naomba namba mkuuKuna afande mwenzangu alitimuliwa kazi , kaliwa pesa na waganga njaa wa Dar. Kaenda Muheza huko ndani katoa misimbazi miwili tu siku hiyohiyo akapigiwa simu aende kupiga kazi faster
Kwa mganga katoka saa mbili usiku , saa tatu usiku anagongewa simu
Poa. Takurushia pmNaomba namba mkuu
Weka hapa...kuna baadhi ya mods wataitakaPoa. Takurushia pm
Ipi hiyo? Hebu share nasi kidogoKuna mganga Yuko Mwanza ndani huko karibu na Gamboshi. Yule Babu kaiva saaana. Ashantoleaga password moja kibabe saana.
Kama kuna mtu kakuudhi sana na unataka kumrestisha in trouble 2waxilianeMwaka ushausha huo, tupia hapa namba za mtaalamu wako unayemkubali kwenye ndumba zako
1. Waganga wa kupata likes nyingi
2. Waganga wa kupata ubunge wa kuteuliwa
3. Waganga wa kupata pisi kali ma- C.E.O
4. Waganga wa kula mgahawan bure
5. Waganga wa kupasua pepa
6. Waganga wa kutokuombwa hela na mademu
7. Waganga....
8. Waganga...
9. Waganga wakupata ofa nyng baa
10. Waganga wa kupanda daladla bila nauli
Najua kuna magwiji humu. Hepu tupeni uzoefu wenu CONNECTION
Uzi tayari cc Bujibuji ki2kombora Mshana Jr As Salafiyyu91
Fanya conection mkuuKuna mganga Yuko Mwanza ndani huko karibu na Gamboshi. Yule Babu kaiva saaana. Ashantoleaga password moja kibabe saana.
HurushiPoa. Takurushia pm
Password ya kitu gani mkuu?Kuna mganga Yuko Mwanza ndani huko karibu na Gamboshi. Yule Babu kaiva saaana. Ashantoleaga password moja kibabe saana.
Naomba no yake mkuuKuna afande mwenzangu alitimuliwa kazi , kaliwa pesa na waganga njaa wa Dar. Kaenda Muheza huko ndani katoa misimbazi miwili tu siku hiyohiyo akapigiwa simu aende kupiga kazi faster
Kwa mganga katoka saa mbili usiku , saa tatu usiku anagongewa simu
Kama ulipata no naomba na mm tafadhaliNaomba namba mkuu