Connection ya namba za waganga wakali Bongo


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna afande mwenzangu alitimuliwa kazi , kaliwa pesa na waganga njaa wa Dar. Kaenda Muheza huko ndani katoa misimbazi miwili tu siku hiyohiyo akapigiwa simu aende kupiga kazi faster
Kwa mganga katoka saa mbili usiku , saa tatu usiku anagongewa simu
Naomba namba mkuu
 
Kuna mganga Yuko Mwanza ndani huko karibu na Gamboshi. Yule Babu kaiva saaana. Ashantoleaga password moja kibabe saana.
 
Kama kuna mtu kakuudhi sana na unataka kumrestisha in trouble 2waxiliane
 
Kuna afande mwenzangu alitimuliwa kazi , kaliwa pesa na waganga njaa wa Dar. Kaenda Muheza huko ndani katoa misimbazi miwili tu siku hiyohiyo akapigiwa simu aende kupiga kazi faster
Kwa mganga katoka saa mbili usiku , saa tatu usiku anagongewa simu
Naomba no yake mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…