Conspiracy Theory (MIND SPINNING): Sheikh Ponda Issa Ponda hajapigwa na Polisi

lane
Umetoa maelezo mengi ila mpaka sasa nashindwa kuelewa dola hii inanufaika vipi na hizi mind spinning unazoziongelea? Juzi tu makamu wa raisi wa Zanzibar alitoka kuongelea kauli za uchochezi na Ponda leo tena dola ifanye conspiracy kwa manufaa ya nani? Serikali inajua kabisa Ponda ni sumu ndani ya jamii ni mchohcezi wa kidini na hata tukio la kumwagiwa tindikali kwa wale wasichana wa Zanzibar limehusishwa na kauli zake; huyu mtu serikali walimchekea sana na si yeye tu wapo wengi wanaotumia dini; huu ni wakati muafaka wa kuondoa hizi fitina za kidini; anayetaka kuongea siasa na avue majoho ya kidini; huu upuuzi umeachiwa kwa muda mrefu; suala la alikiwa wapi lazima atakuwa alipata matibabu ya kuzuia kuvuja damu na ikibidi pia alazimishwe kusema wapi alikuwa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ousofia I get you, napata point yao pia LAKINI jaribu kutafakari zaidi ya hapo, hebu jaribu kupitia hayo maswali yangu hapo juu na tafakari japo kidogo halafu nipe majibu. Usijibu kwa jumla jumla tu.

iwe kwa kupoteza attention au kubadili mijadala,lakin polisi wamempiga risas shekhe ponda,lakini pamoja na hayo soma gazeti la mananchi la leo walieleza baada ya shekh ponda kupata jeraha nini kilifuata
 
Last edited by a moderator:
Sio kweli.
 
Kiundani inaonekana polisi ndio wausika lakini mbona unatoa maelezo na kutengeneza mazingira ya tikipo kuwa shuhuda ,risasi kupigwa randomly; hunauakika?uoni maneno yako yanachafua fikra zako na kuonekana husie na busala.andika kitu cha uhakika tupate ukweli
 
LaanatuLLAH ziwe juu yako uliyekuja na theory+assumption ambazo ht ktk real life haiwezekani.
 
Lane..! Pole sana, Hata nilipoipitia sred yako nikatambua lazima Jamvi litakumwagikia vibaya. Ngoja nikwambie, Kwenye joto kama Hili si vema Sana Kuweka ujuzi wa kuandika ambacho hukijui sawasawa.

Unaposema polisi hawajamnyuka RISASI Basi wasomaji tulitarajia mwenzetu utatueleza nani kamnyuka RISASI au kitu gani Chenye ncha Kali kimemjeruhi. Sasa tukisoma mlolongo wa Hoja yako unasema polisi haijamnyuka RISASI Bali ni mind spinning, So what!?!?!?? Hoja inayojichanganya inakuletea Aibu yote hii..

Itoshe sasa kuwa Na matukio haya nchini.. Lazima tuyakemee
 

Uvivu wa kufikiri unao wewe utayari wa vyombo vya magharibi ni kwa sababu ripota wake ni wale wanaochochea udini hapa Tanzania. Hao ndio wanaopeleka habari hata za uongo. Beti Mkwasa aliwahi kuripoti sauti ya America juu ya Maandamano ya Waislamu waliobeba mapanga na majambia katika jiji la Dar katika kadhia ya Hijab ilihali hakuna hata Mwislamu aliyebeba hata Kiwembe tu. Tunaujua huu upuuzi wenu. Na kiukweli anayosema conspiracy ni kweli kabisa kwa sababu Makanisa yanataka Sheikh Ponda auawe kwa kunyongwa au kwa kupigwa risasi kwa sababu Sheikh ni mwiba kwa tawi la makanisa linajifanya chombo cha kiislam-BAKWATA.
 
huyu ponda amepigwa risasi kitaalam ndio maana huku sikia kuna mtu wa pembeni alidhurika tena aliempiga ni good sniper. kuhusiana na hii ya kupoteza mambo mengine na weza kulikubali kwani ndio tz bongo lifestyle yetu hiyo..

Get well soon sheikh ponda
 
Kapigwa na nani? Sema wazi tuelewe maana ni kweli kapigwa. Picha hizo hapo juu ni udhibitisho.
wanasema kapigwa risasi ya kifua, mbona kifua kimekaa kimdororo hakionyeshi tundu la risasi !?


 
Lane!!

Was there a random shooting???!!!
Why just a single shot???!!!!Have you ever fired a gun???!!!!
Are you aware of fatality ranges and bullet placement as per per your claim. ."amepigwa na wafuasi wake" is the bullet still in his body????? Can it be identified??!!!If yes do you have archive???!! What if jugulars were the target???!!!!

Maswali yako mengi sana kwenye tukio kuliko mwangwi mnaoanza kuutengeneza crime scene ndio inaweza kitoa nini ni nini sio ninavyoona mimi,haya ni mawazo yangu,and other conspiratory claims of that nature!!!!!
 
wanasema hii pia ni pic ya jeraha la Ponda mbona sura imefichwa kusudi

 
As far as the whole system is concerned in this issue, it is also my impression to say kupigwa kwa Ponda was planned!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
It is Idiot for Tanzanian state Organs to plan to assassinate a half dead citizen.
 
Yap hata mimi nahisi moja ya lengo ilikua ni kuimpress wamagharib baada ya saga ya tindikali
 
wanasema hii pia ni pic ya jeraha la Ponda mbona sura imefichwa kusudi



Haya ndo maswali sasa yenye hoja.
Is this the right shoulder???!!!

May be walitumia simu yenye uwezo mdogo...much cud be done as well
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…