Conspiracy Theory (MIND SPINNING): Sheikh Ponda Issa Ponda hajapigwa na Polisi

mazingira yote yanaonyesha polisi ni wahusika

of course, mazingira yanaonesha polisi kuhusika, they planned and executed their plan. Wewe ulitegmea nani afanye hiyo kazi? Yaani kama hujaelewa ni kwamba Ponda na Polisi na serikali kwa ujumla lao moja na wanajuana, short and clear. Hata hivyo Ousofia jaribu kunipa majibu ya maswali yangu otherwise sioni mantiki ya majibu yako ya jumla jumla unayotoa....
 
kulingana na matukio ya kulipuliwa na mabom kupigwa risasi watu mbele ya polisi, na uchunguzi kuwa wa kisiasa na usio na majibu ya kitaalamu.

100% naamini polis ndio wahusika moja kwa moja.!!

Yes idawa, tukubaliane kwamba polisi na ponda lao moja, hapo tuko pamoja zaidi ya hapo ni fix tupu...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ousofia I get you, napata point yao pia LAKINI jaribu kutafakari zaidi ya hapo, hebu jaribu kupitia hayo maswali yangu hapo juu na tafakari japo kidogo halafu nipe majibu. Usijibu kwa jumla jumla tu.

Unataka kutuaminisha wasuni au CHADEMA walimpiga risasi sasa?
 
Last edited by a moderator:
Yes idawa, tukubaliane kwamba polisi na ponda lao moja, hapo tuko pamoja zaidi ya hapo ni fix tupu...

Shilogile anasema walipiga risasi za baridi
 
Last edited by a moderator:
Haya nieleze huo ukweli unaoujua mjuvi wewe!
Shehe Ponda ni kiongozi ambaye yupo kwa ajili ya kutetea maslahi ya waislamu na watanzania kwa ujumla, harakati zake kamwe hazijawahi kuwa chuki juu ya wstu binafsi wala udini, hahamasishi watu kudhuru watu wengine, ni mtu anayepigania haki na kupinga dhuluma. WE TRUST SHEHE PONDA.
 
Mimi na wewe tunasimamia kitu kimoja. Isipokuwa tu unaposema eti makanisa yanataka auawe, hilo sio kweli, Ponda hajawahi kuwa na ugomvi na makanisa, usimsingizie.
 
Mkuu ficha UPUMBAVU wako sio hekima yako. Ulicho kiandika hapo ni hisia zako za kiudini zilizo wazi huna lolote.

Jiulize maswali haya,
1.wewe umeshapigwa risasi ngp?
2.umeshafungwa mara ngp hvo
vifungo vya ndani na nje kwa ajili ya
kutetea amani na uislamu wenu?
Kama hapana, je,wewe c pamoja na
ponda?
HUYO BWANA NI GAIDI TU KAMA
MAGAIDI WENGINE NA NDIO MAANA
AMEPITA KTK MATATZO HAYO.
 


it was just a message mkuu.hawakutaka kumuua,walitaka ujumbe ufike kuwa wanaweza kumfikia na kumpata wakitaka,so he must behave!
 
Dah! Hebu ngoja kwanza nikale narudi sasa hiv
 
mkuu umenena ila kwa ponda he should go to hell.
 

Mjuvi wewe ni utetezi upi huo? wakati mahubiri yake siku zote yanalenga kupandikiza chuki za kidini rjuzi tu wasichana 2 wa kiingereza wamemwagiwa tindikali sasa hebu tujuze huyu mtetezi wenu huwa anaongea kitu gani?
 
Mjuvi wewe ni utetezi upi huo? wakati mahubiri yake siku zote yanalenga kupandikiza chuki za kidini rjuzi tu wasichana 2 wa kiingereza wamemwagiwa tindikali sasa hebu tujuze huyu mtetezi wenu huwa anaongea kitu gani?
Ni wapi umemsikia Shehe Ponda amehamasisha matumizi ya tindikali?, au ni hisia zenu tu?
 
Mjuvi wewe ni utetezi upi huo? wakati mahubiri yake siku zote yanalenga kupandikiza chuki za kidini rjuzi tu wasichana 2 wa kiingereza wamemwagiwa tindikali sasa hebu tujuze huyu mtetezi wenu huwa anaongea kitu gani?

aisee, sasa tindikali kwa wale wasichana na ponda vinahusianaje?


Kwanza nikiri kwamba nafahamu mrengo wako wa chama unachokisapoti na umekuwa na bidii sana kuitetea humu sijui na huko nje kama unafanya the same, kwa hiyo ninaposikia haya kutoka kwako nashawishika kuamini kwamba mlitaka kuaminisha umma na 'wakubwa' zenu waingereza kwamba aliyemwaga tindikali ni sheilk ponda na mmeshachukua hatua.


If this is true whoever came with this mediocre suggestion hapaswi hata kuwa mjumbe wa baraza la ushauri la familia yake maana yupo too myopic


just too sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…