Construction of East Africa's first 3-level flyover to begin next month in Dar

Status
Not open for further replies.

Hohoho. Wewe ni boyoyo tu. That is an adjective i would rather use for you
 
Sure, those are three level interchange, but in Kenyan standards,
 
Hahaa slam!! Tatizo lao hawatembei dunia wajionee wenzao wanavyofanya. Nairobi got its first three level interchange back in 2009! Hio ni miaka minane iliyopita, jamani eehh tzz[emoji3] [emoji3]
Not true
 
uboya tu ndio umewajaa........mmeanza kusema first,mkapinga ati ooh tuleteeni picha,mkaletewa picha,tena mmeanza ooh hiyo niya Kenyan standards tuleteeni ya level tatu juu hatutaki tunnels. ...ujinga
 
Magufail anatutukanisha kwa upungu wake.
 
uboya tu ndio umewajaa........mmeanza kusema first,mkapinga ati ooh tuleteeni picha,mkaletewa picha,tena mmeanza ooh hiyo niya Kenyan standards tuleteeni ya level tatu juu hatutaki tunnels. ...ujinga

Achana na hawa ng'ombe wako na Uswahili mwingi sana.
 
Bado upumbavu wa Traffic rights utaendelea kuwepo kweli wajinga ni wajinga tu hata akienda shule
 
ujue inabidi muwe smart kwenye ubongo kubishana kize ni lack of creativity kuna vitu mna talk pasipo kuwa na big thinking ......popote pale inabidi duniani tuishi kwa ushindani lakini si kwakutoleana mapovu yenye upumba kuzembe kwa mfano mkenye ama mtz akituma picha za sijui izo fly over mnapata faida gani na hata kama mkizipost izo picha kwanin msipost kishikaji na si kwakutambiana ni ivi tukue kiakili hafu nchi zinazoendelea zinamatatizo kweli mbona nchi ambazo zimeshapangika kimaendeleo mfano south africa kwenye head chat zao hawatambi inamaana sis ndyo washamba.....cha msingi ni hivi hskuna serikal iliyolala baina ya nchi mbili....hicho kilichoandikwa ni hoja tu ...
 
wenzako ndio wameleta mada kiushabiki...ukimwaga mboga namwaga ugali.anadanganya but tumuangalie...aaaihh.tutakuumbua tu
 
Mtu akitaka kuleta thread za ushindani basi aweke reference japo ya nchi tano za africa na 5 za dunia ya kwanza. La sivyo unaweza bakia kuwa kituko tu kwa kuleta vioja. Vitu vingine ni vyema ukamute tu vitaonekana.
 
kenyan bana. mnapenda kupandisha mabega sn
we know you are no. one kwenye ayo mambo aggressive no 1 arrogance u a no. 1 ukora..poverty...prostitute...uchizi..vichaa wengi wko kwenu..ujambawazi..u a really no. 1.. big up our neighbour kenya
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…