Content ya media nyingi sio kwa ajili ya kuelimisha, uchambuzi wa mpira umetamalaki. Kama jamii tunapaswa kubadilika

Hiyo ni Social engineering, hayo mambo hayatokeitokei tu brother. Fungua macho angalia mbele..
Andika zaidi mkuu....nani anayefanya hio social engineering? Ni serikali? Wafanyabiashara? Watu binafsi? Wazungu? Ni Aliens? Au nani?
Na wanaifanyaje?
 
Andika zaidi mkuu....nani anayefanya hio social engineering? Ni serikali? Wafanyabiashara? Watu binafsi? Wazungu? Ni Aliens? Au nani?
Na wanaifanyaje?
Brother mbona unani tight sana 😂
 
TCRA NA BASATA wapo kwa ajili ya mambo ya kijinga ila za ukweli unaweza kuwekewa vikwazo maana uwezi kueleza shule imekosa madawati.
unataka uzimwe
 
Hapa mbele yangu naangalia mpira wa Simba na Azam (kirumba) baadae nitaangalia yanga na coastal (chamazi) usiku kabisa ni Simba na Azam (amani) mi binafsi ni mpira mpira na Mimi nje ya hapo ni game of throne basi
 
Kwan ni lazima kusikiliza hizo redio?
 
We
Unamiliki redio gani nikuletee proposal ya vipindi elimishi next month?. Ungekuwa mfanyakaz biashara wa hii sekta hata wewe ungekuwa mmoja wao
 
Sasa unadhani hiki kizazi kinataka nini shehe?

Enzi za mazungumzo baada ya habari zimeshapitwa na wakati.
 
We

Unamiliki redio gani nikuletee proposal ya vipindi elimishi next month?. Ungekuwa mfanyakaz biashara wa hii sekta hata wewe ungekuwa mmoja wao
Mkuu narudia tena hio ni kazi ya TBC na Redio Tanzania (watu binafsi na vipindi vyao wana mandate zao) kwa kufanya hivyo ukianza kupangiwa na kukatazwa habari za kuweka au kuweka habari za propanganda utarudi hapa useme hakuna demokrasia ?

In short hapa unaangalia mambo kwa mafungu sasa hivi uwanja ni mkubwa na medium ni kubwa hata wewe unaweza kuanzisha podcast yako ya kufundisha watu 24/7 kama una wateja wateja hao wanaweza wakakufikia bila shida.....

Sasa kulazimisha watu waangalie podcast yako hio ndio itakuwa indoctrination na Big Brother Society
 
Naunga mkono. Ila hawa ni wafanyabiashara wanafuata wateja wao. Wateja wao wengi hawataki serious issues, wanataka mapambio, uchambuzi wa mipira, mipasho, utani, tamthiliya n.k/.Nafikiri ushauri ni kuongeza critical thinking ya Watanzania na seriousness kwenye mabo muhimu. Hiyo imawezekana pale tu elimu yetu na social priorities zitajikita huko.
 
Haya ngoja tuone kama serikali itawa regulate kwa kiwango hicho unacho elezea hapa. Kinacho onekana kwa sasa ni biashara huru na makampuni kuzingatia zaidi maokoto bila kujali walaji tunalishwa nini

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Unajua spinning ili ifanyike hutokana na kinachoendelea katika akili za watu na mawazo yao.

Kinachotangazwa nakuoneshwa ni kile kinachofiti katika brain za watu

Tatizo sio radio Ila tatizo ni watu wanaosikiliza radio.
 
Under capitalism, those who owns media decides the content.
To be safe establish yours or ignore.
 
Radio na vituo vya TV ni kama wamekuwa mawakala wa betting games na vijana wamegeuza hiyo ni ajira
 
Mkuu tulipofikia watu wanaishi Kwa kutegemeana .. ujinga wako Ndio fursa yangu! Hapa Ndio tulipofikia kama Taifa ! Media nazo zimeingia kwenye Mkumbo huu Hatari Kwa Ustawi wa Taifa!
Mimi nimetoka likizo majuzi .. nilikuwa nafuatilia vipindi vya Radio, yaani ni Hatari... Wanajadili Soka , kuanzia saa 2 hadi saa 5! Katikati ya mijadala Kuna matangazo ya Kubeti! Kuna radio moja baadaya mechi ya Simba na Yañga , waliojadili ubovu wa Simba Kwa masaa 2! Kuna Radio Wana Wataalam wa Pori wa Saikolojia, Sosholojia, Anthropoji nk ... Ukisikiliza hadi unaona aibu!
Ila yote haya ni furaha nakicheko Kwa Watawala ... ni Rahisi sana kumtaeala Mjinga!
 
Andika zaidi mkuu....nani anayefanya hio social engineering? Ni serikali? Wafanyabiashara? Watu binafsi? Wazungu? Ni Aliens? Au nani?
Na wanaifanyaje?
Wajanja wanaonufaika na ujinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…