Mercenary Army
JF-Expert Member
- Jun 2, 2017
- 276
- 641
sijajua mkuu maana dstv hawaoneshiKingamuzi gani wanaonyesha haya mashindano
Wanazingua mi mwenyewe nalipia compact + , alaf mechi donoa donoa za ulaya pekeeHawa jamaa mafala sana sasa mie nalipa 110k alafu simuoni messi kweli
🔥🔥🔥Nimecheki hii game, Argentina bado hakuna wa wa kumzuia
Arg 2 0 Canada
Wanazingua mi mwenyewe nalipia compact + , alaf mechi donoa donoa za ulaya pekee
Hawa ni kama wameamua kutufanyia biashara kwa mazoea.Nimeachana na dstv, hawafai
Time mbaya, ila ilinibidi niamke tu 😄Peru vs Chile saa 9 usiku.
Time mbaya dstv wamebezi kusini mwa jangwa la Sahara hawawez onyesha mechi inaanza satisa usikuHawa jamaa wa dstv wanayaonesha kweli haya mashindano?
Wanazingua tuu mbo 2011 walionyesha banaTime mbaya dstv wamebezi kusini mwa jangwa la Sahara hawawez onyesha mechi inaanza satisa usiku