Copa America 2024 in USA

Copa America 2024 in USA

You can't believe Kaka na Marcelo hawakuwahi kucheza Copa America
Nafikiri kaka alicheza 2007 marcelo ndio sijui...

Hata hivyo hii michuano miaka ya Nyuma Brazil walikuwa wanaitumia kama sehemu ya kupatia uzoefu tu kwa wachezaji wao hasa wale waliokuwa hawapati nafasi ya kucheza world cup...

Na ndio maana ulikuwa unaona mtu kama Luis Fabiano kwa mara ya kwanza alicheza world cup 2010 baada ya Ronaldo kustaafu, lakini kwenye michuano ya Copa America alicheza tangu 2004 na mwingine Douglas Maicon RB moja mahiri sana, na yeye alichelewa kupata nafasi ya kucheza World Cup sababu ya uwepo wa CUF ila alianza kuichezea timu ya taifa ya Brazil tangu 2003 na huku kwenye Copa America alikuwa ndio beki wao wa kulia kipindi kile wanachukua mara mbili mfululizo.
 
Tarehe kama ya leo miaka 22 iliyopita Ronaldo Luis Nazario Delima mzaliwa wa Rio de jeneiro aliiongoza Selecao kutwaa ubingwa wa dunia wa tano kwa kuibwagiza Ujerumani 2-0 kwenye mchezo wa fainali.
1719756268068.jpg
 
Nafikiri kaka alicheza 2007 marcelo ndio sijui...

Hata hivyo hii michuano miaka ya Nyuma Brazil walikuwa wanaitumia kama sehemu ya kupatia uzoefu tu kwa wachezaji wao hasa wale waliokuwa hawapati nafasi ya kucheza world cup...

Na ndio maana ulikuwa unaona mtu kama Luis Fabiano kwa mara ya kwanza alicheza world cup 2010 baada ya Ronaldo kustaafu, lakini kwenye michuano ya Copa America alicheza tangu 2004 na mwingine Douglas Maicon RB moja mahiri sana, na yeye alichelewa kupata nafasi ya kucheza World Cup sababu ya uwepo wa CUF ila alianza kuichezea timu ya taifa ya Brazil tangu 2003 na huku kwenye Copa America alikuwa ndio beki wao wa kulia kipindi kile wanachukua mara mbili mfululizo.

Kaka hakucheza 2007, Copa lilikuwa kwa ajili ya wachezaji wa daraja la pili, Ni mashabiki wa Messi ambao wamekuwa obsessives na hilo kombe
 
Back
Top Bottom