Mh kwani wamemaliza kuhesabu?
Tatizo la Raila anafikiri alizaliwa awe rais wa Kenya. Zitokea fujo this time ndiye atakuwa amesababisha.Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!
Akiongea na waandishi wa habari mgombea mwenza wa urais wa muungano wa CORD nchini Kenya Kalonzo Musyoka amedai kuwa wanaoushaidi kuwa wameibiwa kura.Kalonzo ambaye alikuwa makamo wa pili wa rais ktk serIkal iliyomaliza muda wake .
CHANZO: DW
Sasa Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu wanalalamikia kuibiwa kura na Serikali wanayoiongoza! Duh!!!!!!!
Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!
Anaeweza kukataa ushindi wa Uhuru basi hajui takwimu na hajui stronghold za wagombea hao wawili.Mara ya kwanza walisema tatizo ni safaricom kudoctor the results. Sasa katika hii manula work wanamlaumu nani?
Sio serikali inayoiba kura, sio kama hapa Tanzania kule kuna tume huru so yeyote anaweza kupenetrate sio lazima Serikali tu
Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!