CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

ah kumbe urais mtamu namna hii!, Raila povu linamtoka! ananyang'anywa tonge mdomoni
 
Sahihisho, Kalonzo hakuwa makamu wa PILI wa rais bali alikuwa MAKAMU wa rais! hakuna makamu wa kwanza au wa pili. Ni mmoja tu!
 
.......Interesting story.

Kwa historia ya siasa za Africa, ukiona mgombea anaanza kuita press conference wakati kura bado zinahesabiwa huwa ni kielelezo cha kushindwa katika uchaguzi. Hii anafanya hivyo ili kuamsha ari na hamasa kwa wafuasi na wapenzi wake kujiandaa kwa kugomea matokeo (political pre-emptive strike).

Baada ya kura kukaribia kumalizika kuhesabiwa ndiyo anaziona hizo dosari?.

Hizi ndizo siasa zetu, there's nothing new.
 
Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!
 
kwani hata sisi 2010 si mnajua kilichotokea - ila kuibiwa kura mara ya pili lazima uumie sana.
 
.......Interesting story.

Kwa historia ya siasa za Africa, ukiona mgombea anaanza kuita press conference wakati kura bado zinahesabiwa huwa ni kielelezo cha kushindwa katika uchaguzi. Hii anafanya hivyo ili kuamsha ari na hamasa kwa wafuasi na wapenzi wake kujiandaa kwa kugomea matokeo (political pre-emptive strike).

Baada ya kura kukaribia kumalizika kuhesabiwa ndiyo anayaona hizo dosari?.

Hizi ndizo siasa zetu, there's nothing new.
 
Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!
Tatizo la Raila anafikiri alizaliwa awe rais wa Kenya. Zitokea fujo this time ndiye atakuwa amesababisha.
 
Kama n kweli Kalonzo ambaye ni makamu wa Rais Kenya anatuhumu kuibiwa kura na mwenzie Raila Odinga ambaye ndiye waziri mkuu Kenya anadai anaenda mahakaman bas hapo mchezo ushaisha na kwani wanaushahidi ya kwamba Uhuru Kenyatta kashashinda!
 
Akiongea na waandishi wa habari mgombea mwenza wa urais wa muungano wa CORD nchini Kenya Kalonzo Musyoka amedai kuwa wanaoushaidi kuwa wameibiwa kura.Kalonzo ambaye alikuwa makamo wa pili wa rais ktk serIkal iliyomaliza muda wake .

CHANZO: DW

Kumekucha!!! mirakolasi God help oooooh wwwwh


mix with yours
 
Sasa Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu wanalalamikia kuibiwa kura na Serikali wanayoiongoza! Duh!!!!!!!

Sio serikali inayoiba kura, sio kama hapa Tanzania kule kuna tume huru so yeyote anaweza kupenetrate sio lazima Serikali tu
 
Mara ya kwanza walisema tatizo ni safaricom kudoctor the results. Sasa katika hii manula work wanamlaumu nani?
 
sasa wewe kura zimeokotwa jalalani, wakati hata matokeo ya mwisho hayajatanganza, utahesabu huo ni uvhaguzi au kuna kitu kinafanyika?...kila mgombea amelalamika sio Raila tu. Kenyata yeye kamtuhumu balozi wa Uingereza kwa kuwa anajua timu yake ilicho kifanya, Isaack Hassan, mwenyekiti wa tume yeye amekimbila kurudia kuhesabu kura....hiyo ni dalili ya mchezo mchafu wa Waafrika. Siku zote matatizo yapo kwenye utoaji wa matokeo wala hauko kwenye upigaji!!!!!

MUNGU AWAEPUSHIA DHAHAMA WAKENYA.....
 
Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!

Binafsi napenda sana tena sana Uhuru ashinde na ndo itakavyokuwa muda mchache ujao.
Mlengo wa Kati;hivi Raila aligombea kupitia CHADEMA?msaada kwenye tuta.
 
Sio serikali inayoiba kura, sio kama hapa Tanzania kule kuna tume huru so yeyote anaweza kupenetrate sio lazima Serikali tu

Sio kweli unavyosema, hata hiyo tume pia inasimamiwa na kulipwa na Serikali, hata kama wanasema wako huru, ni jukumu la Serikali kuhakikisha hii tume inafanya kazi kwa Uhuru bila kuingiliwa na mtu yoyote, ikiwa ni pamoja na kudhibiti mambo kama haya kutokea, sasa kama Msimamizi Mkuu wa Serikali analia na kulalamikia Chombo ambacho alipaswa kuhakikisha kinakuwa imara, sasa raia wa kawaida afanye nini?
Mimi kwangu hili ni jambo la ajabu sijawahi kusikia ktk maisha yangu kuhusu Serikali!
 
Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!

Hivi CHADEMA wanaingiaje katika hili? Toka juzi naona hii commentary..........somebody help me please!

attachment.php
 
Back
Top Bottom