Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deputy Prime Minister http://en.wikipedia.org/wiki/Musalia_Mudavadi Au kwenu Deputy prime Minister ndo ndo makamu wa Rais?Mudavadi alikuwa na wadhifa gani?
Kha,Hv waafrika tukoje, kama ww hujashinda lazima uwe umeibiwa?
Anaeweza kukataa ushindi wa Uhuru basi hajui takwimu na hajui stronghold za wagombea hao wawili.
Ushindi kwa Uhuru ulikuwa wazi sana
Sahihisho, Kalonzo hakuwa makamu wa PILI wa rais bali alikuwa MAKAMU wa rais! hakuna makamu wa kwanza au wa pili. Ni mmoja tu!
Sahihisho, Kalonzo hakuwa makamu wa PILI wa rais bali alikuwa MAKAMU wa rais! hakuna makamu wa kwanza au wa pili. Ni mmoja tu!
If someone has evidence of any irregularity, why doesn't this person go straight to court instead of addressing the press? Nkt. Tumechoka oh to be politically correct, nimechoka na hii maneno miiiingi ya CORD, kila kukicha!
Kwa hesabu hizi za Tume ya Uchaguzi Uhuru kashapitisha 50% ya kura zote, na kashapata 25% ya counties zaidi ya 24.
Kama matokeo haya yanakubalika Uhuru kachukua urais Kenya.
Kenya Elections 2013 - Daily Nation
ni 50%+1,mshindi anahitaji 6M+votesMkuu,
Katiba inataka at least (50+1)%. Uhuru ana 50.1% kwa hiyo the deal is not yet closed...
Mkuu,
Katiba inataka at least (50+1)%. Uhuru ana 50.1% kwa hiyo the deal is not yet closed...
ni 50%+1,mshindi anahitaji 6M+votes
Mkuu mbona nimekupa link? Halafu kwani Zanzibar ni Kenya? Kama Zanzibar kuna Makamu wawili wa rais does it go without saying kwamba Kenya kuna makamu wawili wa Rais? Dah, kazi ipo!!!!wacha weh...kwani uhuru alikuwa anashikilia nafasi gani? alikuwa ni nani??acha kutokujua wewe...zanzibar kuna makamu wangapi wa rais??
Hapana.
Si (50+1)%, that is just 51% no need for parentheses.
Katiba inahitaji 50% of votes plus one vote.