CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

Kha,Hv waafrika tukoje, kama ww hujashinda lazima uwe umeibiwa?

Inaanzia kwenye Malezi na Utamaduni, ulishawahi kukuta sisi Waafrika tunabishana? Mpaka watu wanapigana na kutoana meno kwa kuwa hakuna mmoja anayekubali kujishusha na kuwa mdogo na kukubali yaishe!

Ukitaka kulijua hili nenda kaangalie timu za mitaani zikicheza, kwanza washabiki wanakuja na viwembe na mapanga, hapo ni lazima washinde, lkn wakifungwa hawakubali lazima refa achanwe na viwembe, kwa hiyo ndio hivyo,

Mimi mitaa ya home jamaa kila siku wanavunjana miguu kwa kuwa tu Manchester United kafungwa na timu fulani, tena utakuta wanabishania kwamba refa aliwapendelea Barcelona, na hao ni wasomi, hapo sasa, kukubali tu Manchester imefungwa na kuondoka kwenda nyumbani haitoshi mpaka vita vianze!


Hivyo wanayoyafanya akina Raila Odinga ni yale yale tunayofanya sisi kila siku mitaani kwetu, maofisini mwetu, kwenye daladala, n.k ni UTAMADUNI na MALEZI tu hakuna lingine!
 
Anaeweza kukataa ushindi wa Uhuru basi hajui takwimu na hajui stronghold za wagombea hao wawili.
Ushindi kwa Uhuru ulikuwa wazi sana

Raila alitumia muda.mwingi wa kampeni kuwattack UhuRuto wao wakatafuta huruma ya wakenya
 
Sahihisho, Kalonzo hakuwa makamu wa PILI wa rais bali alikuwa MAKAMU wa rais! hakuna makamu wa kwanza au wa pili. Ni mmoja tu!

wacha weh...na kalonzo musyoka alikuwa ni nani??acha kutokujua wewe...zanzibar kuna makamu wangapi wa rais??
 
Sahihisho, Kalonzo hakuwa makamu wa PILI wa rais bali alikuwa MAKAMU wa rais! hakuna makamu wa kwanza au wa pili. Ni mmoja tu!

wacha weh...kwani uhuru alikuwa anashikilia nafasi gani? alikuwa ni nani??acha kutokujua wewe...zanzibar kuna makamu wangapi wa rais??
 
Hawa Jamaa kuna Uwezekano Watawangana Tena!
 
Do you think they should stay quite until final result!
Cord can not torelate that! Lets wait and see!

If someone has evidence of any irregularity, why doesn't this person go straight to court instead of addressing the press? Nkt. Tumechoka oh to be politically correct, nimechoka na hii maneno miiiingi ya CORD, kila kukicha!
 
Raila kila siku ww Tu......bad Lucky never Go down...ever'.....
 
wacha weh...kwani uhuru alikuwa anashikilia nafasi gani? alikuwa ni nani??acha kutokujua wewe...zanzibar kuna makamu wangapi wa rais??
Mkuu mbona nimekupa link? Halafu kwani Zanzibar ni Kenya? Kama Zanzibar kuna Makamu wawili wa rais does it go without saying kwamba Kenya kuna makamu wawili wa Rais? Dah, kazi ipo!!!!
 
Hapana.

Si (50+1)%, that is just 51% no need for parentheses.

Katiba inahitaji 50% of votes plus one vote.

Kama ndio hivyo basi Uhuru kashakuwa Rais. Wasiotaka watafute jinsi nyingine ya kuzuia lakini sio kwa kura hizi...
 
Hapo nami naanza kupata wasiwasi huenda mambo yakaharibika, tuombe Mungu awaepushie na madhila hayo
 
Back
Top Bottom