Corona: Huu ndio ukweli kwanini Kenya inaiombea mabaya Tanzania

Nyinyi Wakenya wivu wa kike utawaua,bado tu hamwamini.na habari za chini ya kapet ni kwamba,TZ imekataa maombi yore ya Kenya kwenye mazungumzo huko mpakani,ngoja tuone.
 
Kutokuwa nayo ..mnapata stress...mnataka hii nchi ya Asali na maziwa...Hata viongozi wenu wanaimiza haswa shirikisho la Afrika mashariki free border...lkn sisi ni bora tuungane na Somalia lkn sio nyie watu wa Matamaa na Ukabila.
ha ha ha, tuna mashamba ya kulima pia , hata ukitaka kununua yapo mengi zaidi..

Mnajidanganya kuna mtu anataka nchi yenu ... Wakenya hukumbuka nchi ya Tanzania Wakiona ujinga wa Magufuli mitandaoni
 
Mbona CCM inakuuma sana?FYI,CCM ni chama kinachojumuisha watu wa matabaka yore bila kujali ukabila,udini,rangi n.k,huko kwenu Jubilee ni ya wakikuyu na kalenjin tu.mtu kuwa na chama sio dhambi hpa TZ kama ilivyo huko kwenu.
 
Njia waliyotumia wamefeli,na huku deni la taifa lao likiongezeka kwa mikopo waliochukua eti kupambana na corona,sasa wakiangalia the way tuliyochukua na huku tukikataa mikopo,wanataka kutuprove wrong kwa kuwaaminisha raia wao ya kuwa wao wako sahihi,ila kimoyoni wanajua walikosea,nyang'au wamebrainwash ya kuwa na wao ni wazungu
 
Haitangazwi, lakini pia mbona hatuioni hiyo misiba mitaani kwetu? Kama vifo vinatokea kama ilivyokuwa kabla ya Corona.

I believe corona ipo na watu wengi wapo exposed lakini ndo hivyo imeshakuwa kama nyuki wa mashineni.
 
Propaganda ni nini?
Embu nipe maana ya neno propaganda,

Hivi si ni wakenya pamoja na viongozi wenu ndio wanaeneza propaganda kuwa mambo ni mabaya Tanzania?
Propaganda kibongo bongo ni kuikosoa serikali ya ccm hata km unasema ukwel
 
Ndio maana wanatumia nguvu kubwa ikiwemo hata kulipa bloggers wao kwa ajili ya kueneza uwongo kuhusu Tz [emoji23] ili wananchi wao waone mambo ni mabaya Tanzania kumbe ni shwari tu.
 
Ndio maana wanatumia nguvu kubwa ikiwemo hata kulipa bloggers wao kwa ajili ya kueneza uwongo kuhusu Tz [emoji23]
Nguvu wanayotumia kutuchafua ni katika kuficha aibu yao,kwa vile kila mmojawetu alivyochukulia mapambano ya corona,mungiki they are looser kwenye hii battle,so wanachokifanya ni kuwaaminisha mazoba wao kama wao ndio wako sahihi huku ukweli wakiujua
 
Tayari jiwe keshchora formation tamu kabisa, "sio lazima kumpima corona mtu aliyekufa"
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Tayari jiwe keshchora formation tamu kabisa, "sio lazima kumpima corona mtu aliyekufa"
 
Stop quoting quote zangu sitaki shobo za wenye akili fupi.
Lazima niwachome[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Km hutaki usi comment kenyan section, as long mtanzania ata comment hku, nikiwa na dose yake namquote ili imfikie
 
Hahaha! Hongereni majirani baada ya WB na IMF kuwapa mkopo,naona EU imewapa msaada mwingine wa Ksh.7.8 billion ili mwendelee kutangaza idadi!
Endelea kuona tu hku ukijitia upofu na kuijifanya huzioni formation za jiwe
 
Lazima niwachome[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Km hutaki usi comment kenyan section, as long mtanzania ata comment hku, nikiwa na dose yake namquote ili imfikie
TZ forum, kama vp,ondoka!
 

Umezika ndugu zako wangapi kwa corona? Acha kushabikia ukibwengo wa wakenya, wakenya siku zote ni mapimbi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…