pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Wewe ilikuuma kwanini Kenya ilipofunga mipaka na kuwalazimisha madereva wa Tz wapimwe kwanza kabla ya kuingia nchini Kenya? Au huwa inakuhusu vipi kwenye nyuzi zenu zile za kujimwambafy na kuitumia Kenya kama mfano wa nchi inayofaa kuwaiga kwenye vita dhidi ya Corona?Wewe imekuuma nn?