Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu japo simuungi mkono lakini kumwita Rais wa JMT mpumbavu ni ukosefu wa adabu uliovuka mipaka.Kwa hiyo rais wenu magufuli ni pumbavu wa mwisho kwa kusema corona haiko.
Haya mataifa mengine ni ya Shetwani?Hili ni taifa LA Mungu, tunalindwa na Mungu pekee. Nyie Endeleeni kutegemea wanadamu wenzenu.
Mkuu sasa hivi hatupimi na wagonjwa wanatakiwa kibaki/kuugulia nyumbani sasa unaposema wamepungua una maana gani?Nimemsikiliza hotoba zote zote hakuna mahali magu alisema corona imeisha. Anachosema ni kwamba imepungua na watu waendelea kuchukua precautions zote. Usipende kumuingizia mtu maneno wakati unajua unadanganya
Duh! Kama kuna nch imejichokea kwenye hili la corona basi ni Tz, yaani wakuu wote wanapishana kauli, hakuna anayesema kimoja na mwenzake, halafu wataalam wote walishajipigia kimya. Mkulu kasema juzi corona imefutika kabisa kwao, wazri wa masuala ya afya akasema wamesalia wanne, waziri mkuu jana akasema wamesalia 66, wananchi nao hamna cha tahadhari tena, full misongamano, halafu idadi kubwa ya raia wao wanaojaribu kuingia kwenye mataifa majirani wanakutwa na kirusi.
Serikali: Kwa sasa Tanzania ina wagonjwa 66 wa Corona nchi nzima ndani ya mikoa 10 na mikoa 16 haina wagonjwa
Halafu yote hayo, video zinaendelea kutupiwa kwenye mitandao, kama hii ya BBC ambayo madaktari wa Tz wanaeleza ukweli wa hali ilivyo japo kwa kujificha.
Pambaneni na hali yenu....Ya Tanzania hayawahusu...hayo ya wanaosemekana eti ni madaktari wa TZ wakibwabwaja hiki na kile na ambao hawaoneshi sura zao anaweza kuwa yeyote yule...inawezekana pia ni wewe mwenyewe MK254...Hizo picha zinazodaiwa eti ni mazishi ya usiku tumezizoea kwani zilianza kunyeshwa mitandaoni kitambo..You can say anything you want ...TZ doesn't care...sisi tunasonga mbele nyie endeleeni na lockdown yenu...huku TZ msije kwani mnaweza kuambukizwa Corona...na sisi huko Kenya hatuji tunaogopa tusije tukawaambukiza Corona...mind your own business..Juni 29 tunafungua shule zote na hata mambo ya harusi tunaruhusu...nyie endeleeni na kupima maambukizi kwani Hilo halituhusu..
Hakuna MTZ mwenye akiliatang'ang'ania kuingia Kenya...MTZ huwa hapendi dharau..kufa ni mapenzi ya mwenyezi Mungu...ukiwaombea Watanzania wafe wewe ndiye unaweza kutangulia kufa..usitajetaje ovyo kifo kwa kuwaombea kifo...it shows how arrogant you are...Ingekua mnajifia huko wenyewe hayangetuhusu, ila sasa mnang'ang'ania kutuletea balaa yenu hiyo kwa kutaka mvuke mpakani bila ya kupimwa.....Mngekua kisiwa bila kuchangia mipaka na majirani mngeachwa muhangaike huko na umaskini wenu huu unaosababisha mjichokee kwenye hili la coron.
Hakuna MTZ mwenye akiliatang'ang'ania kuingia Kenya...MTZ huwa hapendi dharau..kufa ni mapenzi ya mwenyezi Mungu...ukiwaombea Watanzania wafe wewe ndiye unaweza kutangulia kufa..usitajetaje ovyo kifo kwa kuwaombea kifo...it shows how arrogant you are...
In fact MK254 nimeanza kuwa na Shaka na uelewa wako wa issues mbalimbali...nimeshtushwa na comment hii ...nilidhani naongea au kujadiliana in writing na mtu mwelewa lakini nafikiri wewe ni mtu Fulani hivi wa kibera...TZ haina ugomvi na Rwanda, Zambia, Malawi, Msumbiji, Uganda Wala Burundi au DRC..TZ in this part of Afrika ndiyo kimbilio la wananchi wa nchi jirani...hata Kenya siyo adui wa TZ...tatizo la Kenya ni wivu, arrogance, majivuno na ujivuni usio na maana wa baadhi ya watu wake...TZ haina njaa...you are talking about umaskini wa TZ...this shows how some Africans are very stupid kucheka umaskini wa waafrika wenzao as if wao ni matajiri...I have in Kenya several times na nafahamu umaskini wa Kenya ulivyo...Ni maskini hohehahe..majority of Kenyans do not even a piece of land..Basi mbaki na njaa zenu huko acheni kung'ang'ania kuingia kwenye mataifa ya watu, mumekua na ugomvi kuanzia Zambia, Rwanda kote mpaka Kenya, kaeni huko huko na corona wala hautaskia tukiwasema.
Ona hapa mnavyotia aibu, mnang'ang'ania kuingia Zambia ilhali mumezuiwa, hamna aliyevaa barakoa mumekua kitovu cha corna ukanda huu, yaani nyie mnatia aibu Afrika.
![]()
Acha upumbafu wewe na wapumbavu wenzakoKwa hiyo rais wenu magufuli ni pumbavu wa mwisho kwa kusema corona haiko.
Nahisi una kwashakoo mbulula weweMkuu sasa hivi hatupimi na wagonjwa wanatakiwa kibaki/kuugulia nyumbani sasa unaposema wamepungua una maana gani?
Duh! Kama kuna nch imejichokea kwenye hili la corona basi ni Tz, yaani wakuu wote wanapishana kauli, hakuna anayesema kimoja na mwenzake, halafu wataalam wote walishajipigia kimya. Mkulu kasema juzi corona imefutika kabisa kwao, wazri wa masuala ya afya akasema wamesalia wanne, waziri mkuu jana akasema wamesalia 66, wananchi nao hamna cha tahadhari tena, full misongamano, halafu idadi kubwa ya raia wao wanaojaribu kuingia kwenye mataifa majirani wanakutwa na kirusi.
Serikali: Kwa sasa Tanzania ina wagonjwa 66 wa Corona nchi nzima ndani ya mikoa 10 na mikoa 16 haina wagonjwa
Halafu yote hayo, video zinaendelea kutupiwa kwenye mitandao, kama hii ya BBC ambayo madaktari wa Tz wanaeleza ukweli wa hali ilivyo japo kwa kujificha.
vile raia wakenya wanavyosburi corona hiisheHawa Wabangi wanakuanga na akili finyu sana.
In fact MK254 nimeanza kuwa na Shaka na uelewa wako wa issues mbalimbali...nimeshtushwa na comment hii ...nilidhani naongea au kujadiliana in writing na mtu mwelewa lakini nafikiri wewe ni mtu Fulani hivi wa kibera...TZ haina ugomvi na Rwanda, Zambia, Malawi, Msumbiji, Uganda Wala Burundi au DRC..TZ in this part of Afrika ndiyo kimbilio la wananchi wa nchi jirani...hata Kenya siyo adui wa TZ...tatizo la Kenya ni wivu, arrogance, majivuno na ujivuni usio na maana wa baadhi ya watu wake...TZ haina njaa...you are talking about umaskini wa TZ...this shows how some Africans are very stupid kucheka umaskini wa waafrika wenzao as if wao ni matajiri...I have in Kenya several times na nafahamu umaskini wa Kenya ulivyo...Ni maskini hohehahe..majority of Kenyans do not even a piece of land..
Huko kutulia umeagana nakoWachina kuikimbia Kenya sio issue kubwa maana sisi hatufanyi ujinga kama wa kwenu kujichokea na kuacha kuendelea kupambana dhidi ya corona, tunaitangaza kama ilivyo, iwe ikulu au gheto.
Hivyo tunaitangaza ilivyo ndio kama ukiona kama vipi ihame nchi urudi kwenu kisha utakuja siku itatulia, ila nyie hapo mnang'ang'ania muingie kwenye nchi za watu bila kupimwa.
Safi sana mzee waendelee na mambo yao ya tz hayawahusu.Sisi huku mambo msawano tuu kuanzia tarehe 29 kila kitu mwakemwake.Wao waendelee na Lockdown yao na wasije huku na sisi hatuendi maana tutawaambukiza.Pambaneni na hali yenu....Ya Tanzania hayawahusu...hayo ya wanaosemekana eti ni madaktari wa TZ wakibwabwaja hiki na kile na ambao hawaoneshi sura zao anaweza kuwa yeyote yule...inawezekana pia ni wewe mwenyewe MK254...Hizo picha zinazodaiwa eti ni mazishi ya usiku tumezizoea kwani zilianza kunyeshwa mitandaoni kitambo..You can say anything you want ...TZ doesn't care...sisi tunasonga mbele nyie endeleeni na lockdown yenu...huku TZ msije kwani mnaweza kuambukizwa Corona...na sisi huko Kenya hatuji tunaogopa tusije tukawaambukiza Corona...mind your own business..Juni 29 tunafungua shule zote na hata mambo ya harusi tunaruhusu...nyie endeleeni na kupima maambukizi kwani Hilo halituhusu..