Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Kinachoogopa kufa ni mwili, kwa sababu mwili asili yake ni dunia, bali wacha Mungu wanatumaini maisha ya umilele na Kristo katika roho
Unaweza kuthibitisha kauli yako?

It's Scars
 
Nilitamani nizungumze na wewe kwa lile ulilo na ujuzi nalo,
lakini nahisi huna ulijuwalo,
kwa hiyo huenda nikapoteza muda na wewe,
Hatua ya kusema hakuna Mungu ni hatua muhimu kwa Kiumbe kama wewe,
Inaonesha uhitaji wako wa Nguvu inayoweza kushindana na yale yaliyokushinda.
Hata hivyo,ujuwe kuwa Kuunda chombo kama ndege ili iweze kuruka angani si jambo dogo.Lakini kwa akina sisi wengi wetu hatujuwi hata pa kuanzia.
Kuendesha Ndege au meli nayo pia ni fani,kwa asiyejuwa ,ni usiku wa kiza kwake.
Sasa wewe unataka kumjadili Mungu Alieumba Kila kitu,na inaonesha wajuwa kuwa yupo lakini hujajuwa namna ya kumfikia nakumjuwa .
Huwezi hadi uelezwe na wale wenye kumjuwa.
Usipolitaka hilo,endelea kutukana.
Maana karamu ya fisi (mzoga), ni ujinga ulioje kwa Nyati mla majani.
Na sauti ya mbawa za mbu akiwa na raha zake,ni maudhi kwa Binadamu pamoja na udogo wake.
Hivi ndivyo dunia ilivyotofautiana kwa ujuzi na mahitaji ya viumbe.
Elimu haina kikomo,bali Akili zetu zina ukomo wa kujuwa mambo.

Aise unachamba kuliko hata left hand

Umesema siwezi hadi nielezwe na wale wanaomjua. Nataka kujua je wewe ni miongoni mwa hao wanaomjua?

It's Scars
 
Hajadiliwi kiboya wakati tayali ushatumia neno boya?

Iwe MUNGU, Mungu, MUNgu, nk hata nimuandike kwa namna gani hiyo haifanyi awepo

Unajua ukisema mungu wa waisrael unakuabali kuwa wewe ni mtumwa kwa kuabudu mungu wa taifa la wenzako??

Unafikiri ni raisi kuwashawishi waisrael kusema mungu wa wanyakyusa? Kwasababu hawataki kuwa watumwa wa miungu yenu

It's Scars
Wewe mungu wako ni wa kabila gani, au ni lucifer mwenyewe maana ligi unayoendesha humu siyo kawaida
 
Kwani wewe unao watoto nyumbani?
Hivi wakikusea na kuhamaki nao au kuwachapa ,inamaanisha kuwa huna upendo?
Au kufanya vile ndio unawarekebisha ili wawe watoto wazuri huko baadae?
sasa hapa lipi usilolifahamu kwa mungu,?
Hivi wewe unajuwa dhumuni la kuwepo kwako hapa ulimwenguni?
Unajuwa kwanini umekuwa mwanadamu na si panya wala mende?
Unaonaje ungelikuwa Mwanamke malaya watu wakawa wanapanda na kushuka kama mwendo kasi?
Au unaonaje ungelikuwa Kichaa ukawa unakula majalalani?
Au ,.......au....
Hivi ulichagua kuwa hivyo ulivyo?

Na wakati huo baba yao nakua nina uwezo wote wakuwafanya wasikosee bila hata kuwaadhibu??

Kama nitakua baba mwenye sifa ambayo iko kinyume na hapo ntakupa sababu hizi

nikikuambia mimi nimewaadhibu kwasababu sikuwa na ujuzi wowote wa kujua kua watafanya kosa, na vile vile hata kama ningeweza kujua lakini bado sikua na uwezo wote wa kuwazuia wasikosee

Pamoja na hayo yote mimi sina upendo wote wa kustahimili kuona nakosewa bila kutoa adhabu

Hapo utatumia vigezo gani kunipa lawama kua nimefanya kosa kuwaadhibu watoto?

It's Scars
 
Umejuaje huyo ni baba yako?
Kwani tayati ushamjua baba yangu ni nani?

Au Unaota?

wapi nimekuambia flani ni baba yangu mpaka uniulize umemjuaje huyo ni baba yako?

Au roho mtakatifu kakupa jibu la hivyo?

It's Scars
 
Nithibitishe kwa nani? ili iweje?
Kwani hapo umem-quote nani?

Ulivyokua unaandika "wacha Mungu wanatumaini maisha ya umilele na Kristo katika roho" ulikua unakusudia nini?

It's Scars
 
Kwani hapo umem-quote nani?

Ulivyokua unaandika "wacha Mungu wanatumaini maisha ya umilele na Kristo katika roho" ulikua unakusudia nini?

It's Scars
Aliyeanza kum-quote mwenzake ni nani? sijawahi kufanya mjadala na devil worshiper wewe ndo ulijipendekeza ku-quote post zangu mbili nikakupa za uso ili urudi kuzimu ukajipange upya..
 
Michezo anacheza nani?

Kwani hiyo dua anaeifanya ni nani dhidi ya nani?

Nimekikuambia mimi nimeshuhudia spoderman akipita kwenye maghorofa ya huku kitaa utakubali kwasababu nimekuambia mimi nilishuhudia??

Ni mara ngapi umesikia watu wakipotosha umma makanisani kwa kujifanya wanaponya mapepo halafu mwisho wa siku wakaumbuka??

Mimi nimemskia jamaa mmoja anaitwa mwaipopo ambaye alikua mchungaji ila kwa sasa ameslimu kawa muislamu. Mwaipopo amekua akihadithia uongo aliokua akiufanya pindi ambapo yuko ukristo akijidai kutoa mapepo kumbe ni drama.

Kwanini unafikiri si rahisi kwa uislamu kufanya drama kama hiyo kwa kivuli cha dua?

It's Scars
Na ndiyo maana nilikuwa nakwambia sikungumzii masheikh wala wachungaji nilijua ulikuwa unataka kunipeleka huko.

Twende dogo tutaelewana tu.

Unakubali kwamba haya matatizo yapo kweli? Bila kujari husababishwa na majini wala kuwa ni magonjwa ya akili,nachotaka kujua ni je unakubali kuwa haya matatizo yapo kweli ?
 
Dini ni aina ya siasa lengo lake mama ni kumtawala mtu
Mimi niliacha kuamini dini miaka karibu 7 iliyopita angalia sasa hivi hivi wanavyotapata ombeni mtapewa ombeni basi wagonjwa wa corona wapone wakina gwajima mwamposa wezi wakubwa na kodi inaitwa sadaka
Jinsi ulivyoandika unaonesha wazi huelewi maana ya neno "dini".
Na allah naye hayupo

Mpaka hapo tuko pamoja siyo?

It's Scars

Qur'an 112:
112_1.gif

1. Sema: Yeye Allah ni wa pekee.

112_2.gif

2. Allah Mkusudiwa.

112_3.gif

3. Hakuzaa wala hakuzaliwa

112_4.gif

4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
 
Tumia logic katika kuhoji

Kwani habari za mungu haziwezi kuwekwa kwenye movie na bado tukazijadili?

Tukiweza kujadili habari za mungu ambazo ziko katika mfumo wa movie utakuabali kua mungu hayupo kwasababu habari kupitia movie ni uongo??



It's Scars
Movie zenye kuhusu Mungu zipo kibao,hata hiyo sijui god must be crazy imehusishwa Mungu. Habari za Mungu si wazo la kufikirika kutoka kwenye movie kama ilivyo kwa spiderman,masuala ya spiderman inaishia kwenye movie huko ndiko yalipoanzia na kuishia na ndiyo maana nakwambia hakuna utata juu ya spiderman.
 
Jinsi ulivyoandika unaonesha wazi huelewi maana ya neno "dini".


Qur'an 112:
112_1.gif

1. Sema: Yeye Allah ni wa pekee.

112_2.gif

2. Allah Mkusudiwa.

112_3.gif

3. Hakuzaa wala hakuzaliwa

112_4.gif

4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
Mm najua maana ya dini
Dini maana yake njia
 
Mwamposa..

Mzee wa upako..

Babu wa Loliondo..

Mwingira...

Kakobe...

Bulldozer....

GeoDavie..

Mmekuwa msaada mkubwa sana kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya uponyaji.

Mmekuwa mkijisifia sana kuhusu nguvu za kuponya mlizokuwa nazo.

Leo, waziri mkuu Italy ame declare kwamba wananchi wa Italy wamepoteza tumaini. Kwamba wamemwachia Mungu

Leo vifo vilivyotokana na Corona virus ni 800+

Ndio Muda wenu wa kudhihirisha kile mnachokuwa mkihubiri muda wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom